Hijrah TV

Hijrah TV T

Karibu Hijrah TV – Njia ya Kuelewa Uislamu na Maisha ya Kipenzi Chetu Mtume Muhammad ﷺ

Hijrah TV ni jukwaa la kipekee kwa watu wa dini zote wanaotafuta kuelewa Uislamu na mafundisho ya kipenzi chetu Mtume Muhammad ﷺ (Rehema na Amani ziwe juu yake).

08/08/2025

Asalaam aleikum ikhwa tal imaan wal Islam

Poleni kwa yaliyotokea jana — kulikuwa na jaribio la kudukua akaunti zetu. Tafadhali puuzilia mbali machapisho machafu yaliyoweza kuonekana, hayakutoka kwetu. Tunachukua hatua kuhakikisha usalama wa taarifa zetu.

Ahsanteni kwa uelewa wenu.

12/07/2025

🕌 Taarifa Muhimu kwa Masjid Zote za Nairobi 🕰️
Kuhusu Muda Sahihi wa Adhāna – Haswa kwa ‘Asr na ‘Ishā’

Imeonekana kuwa baadhi ya masjid hapa Nairobi zimekuwa zikitoa adhāna kabla ya kuingia kwa muda wa swala, haswa katika swala za ‘Asr na ‘Ishā’ – jambo hili linahitaji kurekebishwa kwa haraka.

⚠️ Tafadhali fahamuni: Kulingana na fiqhi sahihi ya madhehebu yote, ikiwemo madhehebu ya Shāfiʿī, adhāna inayotolewa kabla ya muda wake ni batili.
Yeyote atakayeswali kabla ya muda wa swala kuingia kwa kutegemea adhāna ya mapema, huenda akawa ametenda dhambi na swala yake isikubalike.

❗ Kuna baadhi ya wafuasi wa Shāfiʿī wanaodai kuwa inaruhusiwa kutoa adhāna mapema kidogo — hii ni kutoelewa kwa usahihi.
Hata katika madhehebu ya Shāfiʿī, hairuhusiwi kuswali kabla ya muda wa swala kuingia.

📌 Kwa hivyo, tunazihimiza masjid zote – haswa hapa Nairobi – kuzingatia yafuatayo: • ✅ Tumia ratiba sahihi na iliyothibitishwa.
• ✅ Hakikisha muadhini anasubiri hadi muda kamili uingie kabla ya kuita adhāna.
• ✅ Angalieni kwa makini muda wa ‘Asr na ‘Ishā’, kwani ndiyo swala zinazokumbwa sana na adhāna ya mapema.

Tuilinde ibada zetu kwa kutenda kwa uangalifu na uaminifu katika masuala ya Dini.

وَاتَّقُوا اللَّهَ وَيُعَلِّمُكُمُ اللَّهُ
Mcheni Allah, naye Allah atakufundisheni.

إِنَّا لِلَّٰهِ وَإِنَّا إِلَيْهِ رَاجِعُونَ😢😢Kwa nyoyo ziliojaa huzuni ila zimeridhia qadhaa na qadar ya Allaah s.w.. t...
10/07/2025

إِنَّا لِلَّٰهِ وَإِنَّا إِلَيْهِ رَاجِعُونَ😢😢
Kwa nyoyo ziliojaa huzuni ila zimeridhia qadhaa na qadar ya Allaah s.w.. tunasikitika kuondokewa na Qadhi mkuu wa Kenya Sheikh Abdulhaleem Husein..

Allaah amueke pema na atupe badali ya kheri.. ameen..

انا لله وانا اليه راجعونA huge loss for the Ummah. Syed Muutaman, the son of the great Syed Ustadh Muhammad bin Shareef ...
23/04/2025

انا لله وانا اليه راجعون

A huge loss for the Ummah. Syed Muutaman, the son of the great Syed Ustadh Muhammad bin Shareef Said al Beidh, رحمة الله عليه

May Allah Almighty raise his ranks and join him with his pious ancestors and to the Beloved of Allah, RasulAllah ﷺ
Ameen

Al Faatiha

📖 Ayah of the DaySurah Ar-Rahman (55:13)"Basi ni lipi katika neema za Mola wenu Mlezi mtakalolikataa"✨ Kumbusho fupi lak...
20/04/2025

📖 Ayah of the Day
Surah Ar-Rahman (55:13)
"Basi ni lipi katika neema za Mola wenu Mlezi mtakalolikataa"

✨ Kumbusho fupi lakini yenye uzito —
Tupe moyo wa kutafakari juu ya neema zisizo na idadi za Mwenyezi Mungu. Kila pumzi, kila baraka, ni ishara ya rehema Yake isiyo na kifani.

The Kadhi of Nakuru Sheikh Abdulaziz Tito Kunyuk has passed away. Inna lillahi wa inna ilayhi rajiun May Allah have merc...
31/12/2024

The Kadhi of Nakuru Sheikh Abdulaziz Tito Kunyuk has passed away. Inna lillahi wa inna ilayhi rajiun

May Allah have mercy on his soul and grant him the eternal abode in paradise, Jannatul Firdaws

29/10/2024
Innalillah waina ilayhu rajuun SHEIKH SALIM MUBARAKA GAHRAN
21/08/2024

Innalillah waina ilayhu rajuun

SHEIKH SALIM MUBARAKA GAHRAN

WELCOME  M***I MENK TO KENYAMwaalikwa nyote jumamosi 3rd February 2024Saa 12:00pm-1:00pmAtakuwa masjid- al huda- south -...
26/01/2024

WELCOME M***I MENK TO KENYA
Mwaalikwa nyote jumamosi 3rd February 2024
Saa 12:00pm-1:00pm
Atakuwa masjid- al huda- south -B- Nairobi

KESHO INSHA ALLAH
25/01/2024

KESHO INSHA ALLAH

Assalam Aleykum my brothers and sisters in Islam and friends of Muslims. For early preparation of this Ramadhan, Bondeni...
18/01/2024

Assalam Aleykum my brothers and sisters in Islam and friends of Muslims. For early preparation of this Ramadhan, Bondeni Mosque is requesting for your Iftar Sadaqa which will enable those who are not eble to feed themselves to be fed Inn Shaa Allah. Your contribution will be highly appreciated.

Address

Nairobi Cbd
Nairobi

Telephone

+254700102683

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Hijrah TV posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Hijrah TV:

Featured

Share