Don Expo Channel

Don Expo Channel Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Don Expo Channel, Media/News Company, Nairobi.

MEDIA/ NEWS COMPANY
| MUSIC • NEWS • TRENDING STORIES |
| Celebrity life style •| •Celebrity works •| •Celebrity update news |
shop Skin Solutions Ke
For promo/advertising Whatsapp : +254701157440

Staa wa Muziki na Mfanyabiasha kutoka Nchini Nigeria  Kupitia Ukurasa wake wa Instagram Ametangaza Kifo cha Mama yake mz...
07/03/2025

Staa wa Muziki na Mfanyabiasha kutoka Nchini Nigeria Kupitia Ukurasa wake wa Instagram Ametangaza Kifo cha Mama yake mzazi

Khaligraph Jones ametangaza kuwa mradi wake wa kila mwaka wa kurap, "Khali Cartel 5," unaowashirikisha wasanii wa kurap ...
04/03/2025

Khaligraph Jones ametangaza kuwa mradi wake wa kila mwaka wa kurap, "Khali Cartel 5," unaowashirikisha wasanii wa kurap wenye vipaji, utatolewa Alhamisi, Machi 6.

Ikiwa leo Ni mfungo wa kwanza wa mwezi Mtukufu wa Ramadhan staa wa muziki   ametumia mwezi huu wa toba kuwaomba msamaha ...
02/03/2025

Ikiwa leo Ni mfungo wa kwanza wa mwezi Mtukufu wa Ramadhan staa wa muziki ametumia mwezi huu wa toba kuwaomba msamaha watu wote aliopishana nao kwa namna moja ama nyingine

Lakini pia ametumia wasaha huo kumuomba msamaha bosi wake wa zamani Platnumz na kukiri wazi kuwa alichelewa kutambua kuwa hakuna mkamilifu

Nani kiboko kwa live band music?1. Bien  2. Alikiba  3. Mbosso
01/03/2025

Nani kiboko kwa live band music?

1. Bien 2. Alikiba 3. Mbosso

Alikiba amjibu Master j kwa kauli aliyosema kuwa   si mwanamuziki ila ni mbana pua na asingeweza kushindana na   kwenye ...
01/03/2025

Alikiba amjibu Master j kwa kauli aliyosema kuwa si mwanamuziki ila ni mbana pua na asingeweza kushindana na kwenye live band.

Msanii kutoka Nchini Kenya .paul.msafi Amemjibu  baada ya kutangaza vita na Msanii atakae anzisha Fujo kwenye Tamasha la...
28/02/2025

Msanii kutoka Nchini Kenya .paul.msafi Amemjibu baada ya kutangaza vita na Msanii atakae anzisha Fujo kwenye Tamasha la Kenya.

Harmonize Yuko Nairobi, Kenya Kuhudhuria Tamasha la Burna Boy."NAIROBI NIKO HAPA! HESHIMA & MAPENZI NINAYO KWA BURNA LET...
28/02/2025

Harmonize Yuko Nairobi, Kenya Kuhudhuria Tamasha la Burna Boy.

"NAIROBI NIKO HAPA! HESHIMA & MAPENZI NINAYO KWA BURNA LETS GO CRAZY KESHO NIMENUNUA TIKETI ZANGU TUONANE HAPO! NATAKA KUMUONA AKIWA AKIWASHA NA KUSHINDA .Imekuwa muda mrefu tuonane na ndugu yangu NA MSANI YEYOTE ATAKE JIFANYA ANALETA VURUGU JUS KNOW IM AROUND ASK ericomondi ANAJUA JINA HILI!!! NIKO MJINI MAZEE

A.)  Diana    B.)Amberray
26/02/2025

A.) Diana B.)Amberray

Machafuko yalizuka   alipokuwa akirekodi albamu yake akiwa jela, na kupelekea kuacha kwanza baada ya watu wake wa karibu...
26/02/2025

Machafuko yalizuka alipokuwa akirekodi albamu yake akiwa jela, na kupelekea kuacha kwanza baada ya watu wake wa karibu Gerezani hapo kuzidiwa na kundi kubwa la wafungwa. !!

Kulingana na TMZ, mapigano yalizuka katikati ya Tory akirekodi wimbo wake kupitia simu ambapo inadaiwa kuwa wafungwa ni k**a wamechoka kumsikia Rapa huyo akirekodi kila siku ambapo wanadai ni usumbufu kwao wanapokuwa wamepumzika.

🤔
25/02/2025

🤔

Wadau ii stori ni ukweli?🤔😂😂😂😂
25/02/2025

Wadau ii stori ni ukweli?🤔😂😂😂😂

Msanii Bahati akimzawadia Diana Marua(mke wake) gari la Ksh milioni 45 aina ya Mercedes Benz Brabus G Wagon kusherehekea...
25/02/2025

Msanii Bahati akimzawadia Diana Marua(mke wake) gari la Ksh milioni 45 aina ya Mercedes Benz Brabus G Wagon kusherehekea mwaka wao wa nane wakiwa pamoja.

Staa wa Muziki  Ameipiga Challenge ya Rapa   kufanya Mazoezi huku akisindikizwa na Magari yake ya Kifahari na Walinzi.  ...
25/02/2025

Staa wa Muziki Ameipiga Challenge ya Rapa kufanya Mazoezi huku akisindikizwa na Magari yake ya Kifahari na Walinzi.

Mwanamuziki  amefunguka kuwa ametumia Shilingi za Tanzania Milioni 56 kukamilisha video yake ya   aliyoiachia siku ya ja...
22/02/2025

Mwanamuziki amefunguka kuwa ametumia Shilingi za Tanzania Milioni 56 kukamilisha video yake ya aliyoiachia siku ya jana

Marioo anasema kuwa pamoja na video hiyo kufanyikia ndani tu (In Door) lakini imekula pesa nyingi

Mamake Notorious B.I.G. Voletta Wallace amefariki akiwa na umri wa miaka 78.Rapa wa New York The Notorious B.I.G., anaye...
22/02/2025

Mamake Notorious B.I.G. Voletta Wallace amefariki akiwa na umri wa miaka 78.

Rapa wa New York The Notorious B.I.G., anayejulikana pia k**a Biggie Smalls, alikufa mnamo 1997 akiwa na umri wa miaka 24 kwa kupigwa risasi. Baada ya kifo cha mwanawe, Wallace alijitolea kuweka kumbukumbu yake hai kupitia utetezi na uanaharakati.

Rapper wa Marekani Tyga aomboleza kifo cha mama yake: "Nakupenda Milele"Mama yake alifariki Januari 18 akiwa na umri wa ...
22/02/2025

Rapper wa Marekani Tyga aomboleza kifo cha mama yake: "Nakupenda Milele"

Mama yake alifariki Januari 18 akiwa na umri wa miaka 53. Rapa huyo alifichua msiba huo wa kusikitisha kwa chapisho la moyoni la Instagram mnamo Ijumaa (Feb. 21).

Rais wa Urusi Vladimir Putin ametangaza nia yake ya kushirikiana na bilionea Namba moja wa Marekani, Elon Musk ili kuend...
22/02/2025

Rais wa Urusi Vladimir Putin ametangaza nia yake ya kushirikiana na bilionea Namba moja wa Marekani, Elon Musk ili kuendeleza maendeleo ya teknolojia.

Putini Alisema kuwa majadiliano ya ushirikiano katika anga tayari yanaendelea. Tangazo hili ni sehemu ya mkakati mpana wa Urusi wa kujumuisha utaalamu wa sekta binafsi katika juhudi zake za uvumbuzi wa kitaifa katika masuala ya anaga za mbali.

Elon musk tayari ni mjumbe wa k**ati ya udadisi na ufanisi katika serikali ya Trump, unadhani Trump ataruhusu??

Good morning "nzi"😂😂😂
22/02/2025

Good morning "nzi"😂😂😂

Address

Nairobi

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Don Expo Channel posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Don Expo Channel:

Share