Ohokmusic1

Ohokmusic1 OHOKMUSIC1 Creator Singer🎤 / Kenya ) Talented Musicians🎬

🤟🫵🫵
17/05/2026

🤟🫵🫵

08/05/2026

OHOKMUSIC1 Creator Singer🎤 / Kenya ) Talented Musicians🎬

Ex WA Boss amejaa ngori Nani Mbaya🤣
06/05/2026

Ex WA Boss amejaa ngori Nani Mbaya🤣

TOA MAONI: Athari za mvua zinaendelea kushuhudiwa kwenye maeneo mbalimbali. Je, uko wapi na umeathiriwa kivyovyote na mv...
02/05/2026

TOA MAONI: Athari za mvua zinaendelea kushuhudiwa kwenye maeneo mbalimbali. Je, uko wapi na umeathiriwa kivyovyote na mvua?
Beatrice Maganga atasoma maoni yako mwishoni mwa Habari za Kina saa saba mchana.

27/04/2026

1 like. " #1 "

27/04/2026

4 likes, 1 comment. "Veganny Harstedum - Bado (Official Music visualize)"

Msanii kutoka Kenya,  , ameibua mjadala mtandaoni baada ya kueleza kushangazwa na watu wanaomfuata kwenye DM kuomba msaa...
26/04/2026

Msanii kutoka Kenya, , ameibua mjadala mtandaoni baada ya kueleza kushangazwa na watu wanaomfuata kwenye DM kuomba msaada, ilhali hawajawahi kuonyesha sapoti kwa kazi zake za muziki.

Akizungumza kwa utani lakini kwa ujumbe mzito, Khaligraph amesema mara nyingi hupokea maombi kutoka kwa watu wanaojitambulisha k**a mashabiki wake, wakidai wanahitaji msaada wa kifedha. Hata hivyo, anachofanya kwanza ni kuchunguza kwenye profile zao ili kuona k**a wamewahi kushare au kupromote nyimbo zake.
Amesema mara nyingi anakuta watu hao wamekuwa wakipost kazi za wasanii wengine k**a Diamond Platnumz na Fally Ipupa, lakini si zake.
Kwa msisitizo, Khaligraph ameweka wazi kuwa haoni mantiki ya kumsaidia mtu ambaye hajawahi ku-support kazi zake, akiwashauri wale wanaopendelea kusapoti wasanii wengine kwenda kuomba msaada kwao pia.

"Mnakuja DM eeh Khaligraph Mimi ni shabiki Yako naomba nisaidie sijala kitu, kitu Cha kwanza Huwa nafanya naangalia profile Yako nione umeshawahi nipost nyimbo yangu kwenye profile Yako? napata umepost wakiona Diamond na Fally Ipupa Itabidi Fally Ipupa wakusaidie

Haiwezekani uje uniombe nikusaidie wakati hujawahi post Ngoma yangu mahala wafate kina diamond na Fally Ipupa" Amesema Khaligraph 😂

Kauli hiyo imezua hisia mseto mtandaoni, huku baadhi wakimuunga mkono kwa kusema sapoti ni kitu cha pande mbili, na wengine wakiona anapaswa kusaidia bila kujali nani anam-support.

Mwanaume mmoja alihukumiwa kifungo cha miaka 7 gerezani kwa kuiba mamilioni ya pesa. Baada ya kukaa gerezani kwa miaka 2...
26/04/2026

Mwanaume mmoja alihukumiwa kifungo cha miaka 7 gerezani kwa kuiba mamilioni ya pesa. Baada ya kukaa gerezani kwa miaka 2, alipokea barua kutoka kwa baba yake:

"Mwanangu mpendwa, umeniacha katika uzee na ugonjwa. Wakati wa kuandaa shamba umefika, na sina mtu wa kunisaidia kulima. Natamani ungalikuwa hapa unisaidie kulima na kupanda mahindi. Tutaonana tena, Mungu akipenda."

Yule kijana akajibu: "Baba, tafadhali usilime hilo shamba kwa sasa mpaka nitakapotoka gerezani. Pesa zote nilizoiba nimezifukia kwenye hilo shamba."

Kwa sababu barua zote za wafungwa husomwa na maafisa wa gereza, asubuhi iliyofuata baba aliamka na kukuta zaidi ya askari magereza 100 wakichimba na kulima shamba lile. Walimaliza shamba zima lakini hawakupata kitu.

Kijana akamwandikia tena baba yake barua: "Baba yangu mpendwa, natumai ulifurahia msaada niliokutumia. Sasa nenda kapande mahindi yako." 🤣🤣🤣🤣🤣followVybzqid Browniefor more

Address

Nairobi

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Ohokmusic1 posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Ohokmusic1:

Share

Category