Frank digital actor

Frank digital  actor follow ❤️🙏 share ❤️💚 rate 💕 comment ✍️ like💕 always active ✔️ 🙏❤️🙏
(1)

07/05/2024
30/03/2024

Let's all shift to tiktok and follow this celebrity known as franko642

27/03/2024

Follow I follow back

U
26/03/2024

U

26/03/2024

Follow I Follow you back immediately

My Sweet Wife🥰💢 Ep 1 🌟⚡Before tufunge ndoa na Val wasee wa kwao hawakuwa wananitaka😆Nilikuwanga maskini wa kutupwa😆Alafu...
26/03/2024

My Sweet Wife🥰💢 Ep 1 🌟⚡

Before tufunge ndoa na Val wasee wa kwao hawakuwa wananitaka😆Nilikuwanga maskini wa kutupwa😆Alafu broake Mike Nilikuwanga nimekula Dem yake😆Sa waliishi kubisha😏On my wedding day her parents and relatives didn't turn up🙄Niliaibika but nilicarry on na kumwoa Val🙄Tulikuwa tunapendana nae K**a Kobe na makamasi😆Alikuwa Dem mwenye maadili 🙄Licha ya kukanywa na wazaziwe alitia nta masikioni na tukaoana🙄As time went by nilipata kazi then pia akaandikwa ju alikuwa amesomea ualimu😅Mi nami Nilikuwa contractor kwa mjengo but Nilikuwa naingiza dooh si kidogo😆Sa wasee wa kwao kuona hivo wakaanza kuniinamia na kuomba niwasaidie😅😅But Nilikuwa nikijitia kiburi kidogo😅😅

*Val nae alikuwa mchapa kazi😏alikuwa akitoka shuleni saa kumi na nusu🙄anaingia kwa nyumba anafanya kazi zote then anapika tunakula alafu tunakula😅Nilikuwa nikienjoy maisha😅pia alikuwa mzuri wa ku🍆💦😅Badala ya Mimi kumkula tuseme alikuwa ananikula🍆💦😆Akichoka nami Sasa naanza kumkula😆hatukuwa na mtoto coz ndipo Tulikuwa tumemaliza tu 6 months in marriage 🙄Mamangu aliishi kutuzushia ju alikuwa anadai mjukuu😆😆

*Mathee:JB!!JB!!Kwani huyu Msichana ulimleta akae hapa K**a kaburi🙄kwani haanzi kutema?🙄
JB:Aaah chorea mum🙄kila kitu kitakuwa poa🙄
Mathee:Ama huna nguvu za kiume?🙄6 months zoote na haanzi kula mchanga?🙄ama huwa hakupei?🙄
Kumbe Val alikuwa ameskia🙄akatoka nje huku akilia😭😭
Val:JB!!kwani mamako anakaaje?🙄And you support her!!🙄
JB:Nope swirry🙄am just trying to make her understand us😏just calm down and...
Mathee:Swirry kitu gani🙄K**a hazai arudi kwao😏Wakati wetu mtu angeoa tu anamaliza one week ashaanza kutematema🙄kwani siku hizi hamuingiani?🙆Mi mjue nataka mjukuu🙄na K**a haiwezekani hapa nanyi mtahama🙄JB Kumbuka Wewe ndo mkubwa🙄Bright ni mdogo wako na yupo na watoto watatu🙄kwani huoni aibu Wewe🙄Tumia akili vizuri🙄usiwe mjinga K**a babu yako🙄
JB:😭ok mum nimekuelewa🙄just give me time tutasort..

To be continued..

09/02/2024

Anyone available

29/11/2023

Thanks

08/11/2023

New episode Coming soon

Address

Nairobi

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00

Telephone

+254794734193

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Frank digital actor posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share