26/03/2024
My Sweet Wife🥰💢 Ep 1 🌟⚡
Before tufunge ndoa na Val wasee wa kwao hawakuwa wananitaka😆Nilikuwanga maskini wa kutupwa😆Alafu broake Mike Nilikuwanga nimekula Dem yake😆Sa waliishi kubisha😏On my wedding day her parents and relatives didn't turn up🙄Niliaibika but nilicarry on na kumwoa Val🙄Tulikuwa tunapendana nae K**a Kobe na makamasi😆Alikuwa Dem mwenye maadili 🙄Licha ya kukanywa na wazaziwe alitia nta masikioni na tukaoana🙄As time went by nilipata kazi then pia akaandikwa ju alikuwa amesomea ualimu😅Mi nami Nilikuwa contractor kwa mjengo but Nilikuwa naingiza dooh si kidogo😆Sa wasee wa kwao kuona hivo wakaanza kuniinamia na kuomba niwasaidie😅😅But Nilikuwa nikijitia kiburi kidogo😅😅
*Val nae alikuwa mchapa kazi😏alikuwa akitoka shuleni saa kumi na nusu🙄anaingia kwa nyumba anafanya kazi zote then anapika tunakula alafu tunakula😅Nilikuwa nikienjoy maisha😅pia alikuwa mzuri wa ku🍆💦😅Badala ya Mimi kumkula tuseme alikuwa ananikula🍆💦😆Akichoka nami Sasa naanza kumkula😆hatukuwa na mtoto coz ndipo Tulikuwa tumemaliza tu 6 months in marriage 🙄Mamangu aliishi kutuzushia ju alikuwa anadai mjukuu😆😆
*Mathee:JB!!JB!!Kwani huyu Msichana ulimleta akae hapa K**a kaburi🙄kwani haanzi kutema?🙄
JB:Aaah chorea mum🙄kila kitu kitakuwa poa🙄
Mathee:Ama huna nguvu za kiume?🙄6 months zoote na haanzi kula mchanga?🙄ama huwa hakupei?🙄
Kumbe Val alikuwa ameskia🙄akatoka nje huku akilia😭😭
Val:JB!!kwani mamako anakaaje?🙄And you support her!!🙄
JB:Nope swirry🙄am just trying to make her understand us😏just calm down and...
Mathee:Swirry kitu gani🙄K**a hazai arudi kwao😏Wakati wetu mtu angeoa tu anamaliza one week ashaanza kutematema🙄kwani siku hizi hamuingiani?🙆Mi mjue nataka mjukuu🙄na K**a haiwezekani hapa nanyi mtahama🙄JB Kumbuka Wewe ndo mkubwa🙄Bright ni mdogo wako na yupo na watoto watatu🙄kwani huoni aibu Wewe🙄Tumia akili vizuri🙄usiwe mjinga K**a babu yako🙄
JB:😭ok mum nimekuelewa🙄just give me time tutasort..
To be continued..