Ikoomi Tv Kenya

Ikoomi Tv Kenya The Online Media You Can Trust LIKE AND SHARE OUR PAGE

Abed Katue has strongly denied rumors circulating online that he has children hidden somewhere.In a long post on Faceboo...
05/11/2025

Abed Katue has strongly denied rumors circulating online that he has children hidden somewhere.

In a long post on Facebook, Abed clarified that he has no child anywhere, calling the allegations “pure nonsense and madness” made by people seeking attention using his name.

“I don’t have any child with anyone, anywhere, not one, not two, not three,” Abed wrote, adding that if he ever had a child, he would proudly post them daily.

Follow Ikoomi Tv Kenya for more updates

"Akufaaye kwa thiki ndiye Rafiki." Maima inadaiwa alikataa kazi ili kusimama na rafiki yake Sammy Kioko.
04/11/2025

"Akufaaye kwa thiki ndiye Rafiki." Maima inadaiwa alikataa kazi ili kusimama na rafiki yake Sammy Kioko.

Msanii wa Benga Maima anaripotiwa kukataa ofa ya shilingi 30,000 ya kutumbuiza katika hafla ya Serikali ya Kaunti ya Machakos k**a njia ya kusimama na Sammy Kioko ambaye analalamika kwamba serikali hiyo imekosa kumlipa zaidi ya shilingi millioni 19.

Taarifa hizi zimedokezwa na Felix Mambo.

Follow Ikoomi Radio

"Ruto akikuja Machakos mnafaa kumpokea. Yeye ndiye Rais wa Kenya." ~Kalonzo Musyoka ameambia Governor wa Machakos, Wavin...
04/11/2025

"Ruto akikuja Machakos mnafaa kumpokea. Yeye ndiye Rais wa Kenya." ~Kalonzo Musyoka ameambia Governor wa Machakos, Wavinya Ndeti

Sammy Kioko amepata pigo baada ya wafuasi wake kushindwa kujitokeza kwa maandamano yaliyokuwa yamepangwa kufanyika mjini...
04/11/2025

Sammy Kioko amepata pigo baada ya wafuasi wake kushindwa kujitokeza kwa maandamano yaliyokuwa yamepangwa kufanyika mjini Machakos na kwenye ofisi ya gavana, wakidai malipo ya shilingi milioni 19 anazodai kutoka kwa Serikali ya Kaunti ya Machakos.

Licha ya vijana kutangaza kwenye mitandao ya kijamii, maandamano hayo hayakufanyika k**a ilivyotarajiwa. Mji wa Machakos ulisalia katika hali ya utulivu huku askari wa polisi na wa kaunti wakionekana wakilinda maeneo muhimu, ikiwemo ofisi ya Gavana Wavinya Ndeti.

Maandamano hayo yalipangwa kufuatia malalamiko ya Sammy Kioko, aliyedai kuwa kampuni yake haijalipwa na serikali ya kaunti, jambo lililoibua mjadala mkubwa mitandaoni. Hata hivyo, serikali ya kaunti ilitoa kauli ikifafanua kuwa Kioko si mkandarasi wala si mmiliki wa kampuni iliyopokea tenda hiyo.

Baada ya maandamano kukosa kufanyika, sasa swali limebakia ni je, Kioko atalipwa?

Follow Ikoomi Tv Kenya for more updates

Aliyekuwa Gavana wa Nairobi Mike Sonko ameonyesha tena moyo wa wa huruma baada ya kuwalipia bili akina mama 100 waliokuw...
04/11/2025

Aliyekuwa Gavana wa Nairobi Mike Sonko ameonyesha tena moyo wa wa huruma baada ya kuwalipia bili akina mama 100 waliokuwa wamezuiliwa kwenye Hospitali ya Mama Lucy pamoja na watoto wao baada ya kujifungua.

Wamama hao walikuwa hawana uwezo wa kulipa gharama za kujifungua, na hospitali ilikuwa imewazuilia kwa muda.

Baada ya Sonko kusikia kilio chao alitoa shilingi million moja na elfu mia sita akawalipia bill yao na wakaruhusiwa kurudi nyumba.

Follow Ikoomi Tv Kenya for more.

MACHAKOS: Leo, vijana wanapotarajiwa kuandamana Machakos kuhusu sakata la Sammy Kioko na deni la shilingi milioni 19, ku...
04/11/2025

MACHAKOS: Leo, vijana wanapotarajiwa kuandamana Machakos kuhusu sakata la Sammy Kioko na deni la shilingi milioni 19, kumekuwepo na uwingi wa polisi na askari wa kaunti waliotanda katika maeneo mbalimbali ya mji wa Machakos na karibu na ofisi ya Gavana Wavinya Ndeti.

Serikali ya Kaunti ya Machakos imevunja kimya kuhusu sakata la Sammy Kioko na madai ya deni la shilingi milioni 19. Taar...
03/11/2025

Serikali ya Kaunti ya Machakos imevunja kimya kuhusu sakata la Sammy Kioko na madai ya deni la shilingi milioni 19. Taarifa rasmi zinaeleza kuwa Kioko hakuwa mkandarasi wala mmiliki wa kampuni iliyopokea tenda hiyo.

Taarifa hii imetolewa huku vijana wakipanga kufanya maandamano Machakos kuhusiana na suala hilo.

Follow Ikoomi Tv Kenya for more

03/11/2025

Abed Katue ameahidi kulipa shilingi milioni 19 ambazo mchekeshaji Sammy Kioko anadai kutoka kwa serikali ya kaunti ya Machakos inayoongozwa na Gavana Wavinya Ndeti.

Kioko amekuwa akilalamika akisema alipewa kandarasi ya kushona nguo na serikali ya kaunti ya Machakos na kakosa kulipwa.

Kupitia ujumbe aliomtumia Gavana Wavinya, Katue alisema yuko tayari kulipa deni hilo kwa niaba ya serikali ya kaunti, lakini kwa masharti.

03/11/2025

LIVE🔴 Samia Suluhu aapiswa k**a rais wa Tanzania

03/11/2025

After KAMBA FESTIVAL, Machakos are you ready for VUKA FESTIVAL?
Masaku mwakoo mwina vaata. Sherehe tupu

Tumeongea na wasanii wenye walikuwa na shida na BENGA CHAMPIONSHIP.Today in the evening from 8pm, visit Ikoomi Radio tut...
02/11/2025

Tumeongea na wasanii wenye walikuwa na shida na BENGA CHAMPIONSHIP.

Today in the evening from 8pm, visit Ikoomi Radio tutakuwa LIVE tuwapee updates about BENGA CHAMPIONSHIP GAME 2025.

01/11/2025

Principal wa Kalandini secondary kuuya Tala kulea Hon chairman Kamwana ainengana liu wa utethyo sukuluni usu.

Chairman Kamwana ananenganie liu wa utethyo masukuluni 32 ala me Matungulu.

Address

Nairobi
00232-RUIRU

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Ikoomi Tv Kenya posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Ikoomi Tv Kenya:

Share