Prince Hunter

Prince Hunter Prince Leonard󱢏
|Songwriter |Entrepreneur|Businessman |Dreamillionaire
(31)

Kila mtu ako sawa na team amechagua before World cup ianze.. ? unasupport team gani?
11/06/2026

Kila mtu ako sawa na team amechagua before World cup ianze.. ?
unasupport team gani?

Sasa kuna jirani yangu flani alienda club after ameshika salary yake ya 50k..naskia uko alivuruga ajab, saii naskia akiu...
11/06/2026

Sasa kuna jirani yangu flani alienda club after ameshika salary yake ya 50k..

naskia uko alivuruga ajab, saii naskia akiuliza jamaake, eti walishika mizinga ngapi😅. Naskia anaambia ati alilipia waiter rent, akisema yeye ni mwanaume..

wanaume lets drink responsibly, usianze kulewa ufanye vitu utaregret, kuna morio wangu flani ye akilipwa ataenda alewe, asote, after a week anaanza kuomba fare😅eeei ni mbaya

Huku kuna watu wanachota maji wengine wanachota chemical.. 😅
10/06/2026

Huku kuna watu wanachota maji wengine wanachota chemical.. 😅

Nimekaa apa kwa meeting nashindwa vile ii meza kubwa iliingizwa na vile mlango ni ndogo..
10/06/2026

Nimekaa apa kwa meeting nashindwa vile ii meza kubwa iliingizwa na vile mlango ni ndogo..

Izi sides mwalimu wa maths amesema wenye wanachoma shule wachome, amesema tuko nyuma na syllabus..
09/06/2026

Izi sides mwalimu wa maths amesema wenye wanachoma shule wachome, amesema tuko nyuma na syllabus..

Is this really right? Sunapea mrembo za nywele aende qjisort, sio kumsukia nywele since umetoka kwa stingy men associati...
08/06/2026

Is this really right? Sunapea mrembo za nywele aende qjisort, sio kumsukia nywele since umetoka kwa stingy men association.. 😅

Kuna mzee flani nilikuwa nimeona ametrend juu ya kubeba mbwa badala mkidi.. 😅iyo mambo babu ama shosho yangu akiweza ona...
08/06/2026

Kuna mzee flani nilikuwa nimeona ametrend juu ya kubeba mbwa badala mkidi..
😅iyo mambo babu ama shosho yangu akiweza ona atashangaa sana 😅😀

ile chocha walevi uwanga nayo kwa bar unaweza cheka, unaskia methali zingine kali kali ati mchagua pombe sio mlevi.. wal...
08/06/2026

ile chocha walevi uwanga nayo kwa bar unaweza cheka, unaskia methali zingine kali kali ati mchagua pombe sio mlevi..
walevi ni wahenga kivyao

Ofisa alijipata kwa kraim scene, 😅Alipata jamaa akiina mchana, but mseee alisema eti alisahau key ya kwake na gas iliish...
07/06/2026

Ofisa alijipata kwa kraim scene, 😅Alipata jamaa akiina mchana, but mseee alisema eti alisahau key ya kwake na gas iliisha Tv inafaa iende kwa fundi..

Kuna uu jirani alinunua shamba next na kwenye nilishika yangu, sasa akaamua kujenga mansion, so sijui alitafta uu contra...
06/06/2026

Kuna uu jirani alinunua shamba next na kwenye nilishika yangu, sasa akaamua kujenga mansion, so sijui alitafta uu contractor na Foreman wapi..

wameanza kujenga nyumba kidogo inaanza kuinama, Foreman anaambia mzee ati asikuwe na worry, simiti ikikauka, nyumba itasimama wima k**a yangu.. ilibidi wapigane kiasi juu sasa what kind of ujinga is that 😅

Address

Nairobi

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Prince Hunter posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Prince Hunter:

Share