Amoro Japheth

Amoro Japheth GOD FIRST 🙏🥇,HOT 🥵 STORIES
IPO SIKU NITAKUWA BIGWIG✊
JUST AN ICON LIVING ⭐
(2)

💖 STELLA 💖         🧑🏽‍🦰  🎬Part 10 Nilianza kujiuliza sa tunaenda wapi🤔🤔..Tina alikuwa anaongea na Stella wakicheka na me...
12/07/2025

💖 STELLA 💖
🧑🏽‍🦰
🎬Part 10

Nilianza kujiuliza sa tunaenda wapi🤔🤔..Tina alikuwa anaongea na Stella wakicheka na me nimetulia tu hapo nyuma ya gari pekeangu😂😂..Baada ya Dakika chache Gari lilisimama..azin tina akapark gari pale kando ya njia tukiwa tu town but sasa sikujua penye tulikua🥺🥺azin tulikuwa place sijawai fika..
Tina na Stella walishuka kwa gari then Nikafunguliwa mlango pia mimi nikashuka kisubmarine🥳🥳..Tina alinishika mkono tukaingia kwa club fulani ilikuwa pale kando😳😳. nikashangaa hawa wanaenda Club tena na Stella ndio ametoka tu hosc sai😂😂💔.. Zilikuwa saa sita za mchana. niliamuwa liwalo na liwe kisubmarine tukaenda na Tina huku Stella ametufwata nyuma hadi ndani ya hiyo club.. hapo ndani kulikuwaa kumewekwa loud music na pia lights zilikuwa zinawaka blue😳😳..(discolight)ukiwa huko ndani ungedhani ni usiku kumbe ni mchana😂😂..
watu walikua wameketi wakijinice na pombe na drinks zingine then watu wengine walikuwa wanadance🦸🏿‍♀💃🕺..kwanza kulikuwa na dem mmoja mnono hapo alikuwa akidance na amevaa tu panty pekeake😁😳🙄..Nilimwangalia kisubmarine nikajiuliza sasa huyu wazazi wake wako hai kweli🤔🙄?

Tulienda na tina wangu tukaketi pale kwa counter🤗🤗 Stella aliketi kando yangu but mbali kidogo na sisi..Tina aliangalia weita then akapoint chupa fulani KUBWA ilikuwa pale akaambia huyo weita""ebu tupatie hizo mizinga chupa mbili🤗"" mimi sikujuwa mizinga ndio nini😂nilikuwa najuwa tu mzinga ya kuvuga nyuki🙄.but hata hivo nilikuwa sure tina anabuy p@mbe coz tulikuwa kwa club...

Weita alileta hiyo p@mbe na glass akaweka hapo..Tina akachukuwa chupa moja🍾akagonga nyuma🫴then akafunguwa akanimwagia yangu kwa glass.akamwagia Stella then pia akajiwekea yake😁..Kabla tuanze kukunywa Tina akapigiwa simu😳so ikabidi atuache hapo na Stella akatuambia "kiasi tu narudi"then akatoka inje🙄🙄..vile Tina alitoka inje me nae nikazubaa kidogo nikiangalia vile watu wanadance kisubmarine 🤗🤗Kugeuka nikaona Stella nik**a alikuwa anaweka kitu kwa p@mbe ya Tina😳😳 Stella alishtuka then akajifanya nik**a hakuna kitu amekuwa anafanya😁😁...mara hiyo hiyo Tina akarudi.........✍️

🔥🔥🔥cheza na like💥💥 mnipee 200+ next part loading

🔥 Jirani 💦 EPISODE 6🔥Essy : Carl😍Me : YesEssy : I just came to say thank you so much for the dressMe : It's okay.. you'r...
12/07/2025

🔥 Jirani 💦
EPISODE 6🔥

Essy : Carl😍
Me : Yes
Essy : I just came to say thank you so much for the dress
Me : It's okay.. you're welcome
Essy : Napika chapo so nimesema nikuletee tatu hapa..then nipee dish nikuletee stew
Me: Wow thanks maze😂

Akachukua dish akaniletea stew ya nyake hapo nikajipin na chapo moja then the remaining nikaweka kando. Milly akaamka mabadae k**a ameamka kudishi hata hajui zimetoka wapi😂💔.

Milly : Wueh na hizi nazo ni tamu hata nitakula supper kweli😂💔.
Me : Mbona ukose😂

Kiasi hivi Essy ameingia 😂

Essy : Nimekujia tray yangu Carl i hope umemaliza hizo chapo
Milly : Wait whaaat?😳💔..kwani ni chapo za nani nimekua nakula
Essy : Umeziskia aje babygirl..najua kupika pia soo
Milly : I feel like vomiting😤
Essy : Carl see you later
Milly : Yani babe umefika mahali hadi pa kunilisha chakula ya madem wako🥺💔
Me : We uliuliza ama ulianza kudishi😂💔

Milly akaishia kwake akarudi na towel

Milly : Babe wacha nipige shower hapa kwako.. you know your house is like mine
Me : Hayaa😂

Kuingia bathroom pia mimi nikafika huko. Nikamtoa hio towel

Milly : Babe si wacha nioge kwanza please babe
Itaendelea...

Mnipee 200+likes next episode ikam

💖 STELLA 💖        🧑🏽‍🦰Part 9Niliangalia Stella kwa macho pia yeye akaniangalia🥰🥰 kisubmarine wadau adi nikafeel rungu ya...
11/07/2025

💖 STELLA 💖
🧑🏽‍🦰
Part 9

Niliangalia Stella kwa macho pia yeye akaniangalia🥰🥰 kisubmarine wadau adi nikafeel rungu ya moi imeanza kusimama🍆🍆..Roho ikaanza kudunda na nikaanza kupumua na nguvu_🥶🥶 Stella alianza kunipapasa kwa mkono na vile kamkono kake ni kasoft🥰🥰
Nilikuwa nafeel disign sijawai feel tangu nizaliwe..enyewe pia Stella alikuwa mrembo kupindukia..baada ya kuangaliana kwa macho kwa sekunde chache Stella alifunga macho akaanza kusongesha mdomo wake karibu na wangu😘😘kisubmarine nikajuwa tu hapa mgonjwa anataka kiss😘😂😂🖐..
Ikabidi me adi nikafunga macho then nikasongesha mdomo 😍wangu karibu na wake tayari kupeana kiss😘😘vile midomo zilikaribiana tu hivi BOOM💥🙆‍♀️ Tina na daktari wakaingia. tulishtuka haraka tukajifanya nik**a hakuna kitu ilikuwa inaendelea😂😂. Doctor alivalia zile earphones zake then akaweka kwa kifua cha Stella kuskiza mdundo wa moyo💖..daktari aliangalia Stella kwa mshangao😳😳🥺..

Doctor👨🏽‍⚕️:(akipoint Stella)hey au ok😳?
Stella 🧑🏽‍🦰: yeah🥺🥺Dokta what's happening😳😳kwanza nilifikaje hapa??am I sick??
Doctor👨🏽‍⚕️: come down🖐your are not sick all is well..

Stella alibaki ameshangaa😳😳Tina aliketi karibu na yeye akaanza kumuunda nywele🥰🥰Dokta alichukuwa kalamu na file fulani ilikuwa pale akaandika hapo vitu fulani then akaniambia me nitoke inje kidogo anataka kuongea na tina na Stella..me nilitoka nikasimama pale inje na baada ya kitu k**a dakika tano hivi Tina alitokea na Stella 💖💖

Tina🧑🏽‍🦳: thanks to God🙏 jeff I can't believe Stella is well🙊..
Me👨🏾: we thank God Tina 🙏🙏.
Stella 🧑🏽‍🦰: Tina what happened to me🥺?I only remember when we were in the restaurant🥺..
Tina🧑🏽‍🦳: its a long story Stella..I almost fainted😂😂💔..don't worry I will tell you when we arrive home..

Tulienda tukaingia kwa gari la Tina tukaanza kurudi town..hata sikujuwa k**a alilipa bill ya hospital au hapana😂😂🖐..tukiwa pale kwa gari Stella alikuwa ameketi mbele na Tina then me nimeketi pale nyuma🤗🤗😇..
Stella aliniangalia akaniambia👉 jeff nisaidie simu yako"
me sikumind kisubmarine nikatoa kasimu kangu nikampea😫😌....baada ya dakika chache akanirudishia....

Mnipee 200+likes twende next episode

🔥 Jirani 💦 EPISODE 5🔥Milly : Carl can i ask you something?Me : Okay Milly : What's going on between wewe na Essy ju this...
11/07/2025

🔥 Jirani 💦
EPISODE 5🔥

Milly : Carl can i ask you something?
Me : Okay
Milly : What's going on between wewe na Essy ju this ain't just normal
Me : Hakuna kitu imagine
Milly : Zii Carl I'm not a kid..mimi ni dem na naweza read feelings za dem mwingine pia ju i know how ladies reason
Me : You are overthinking Milly
Milly : Zii yani hadi anabuyiwa dress Carl what was that?
Me : Aliona nimekuongezea doo za sneakers so akakua jealous
Milly : Mbona sasa akue jealous?.. Carl mimi naona hii maneno ikileta vita
Me : Hakuna vita bana stop overthinking😂
Milly : Promise me 😂
Me : I promise
Milly : Nafeel uchovu wacha nijiwekelee hapa kwa bed yako
Me : I need to ask you something too
Milly : Go on babe
Me : Nilikua nauliza k**a unaweza kubali hii relationship ikue open
Milly : You mean an open relationship?..why..hebu explain ju I'm confused.. like why?
Me : As in ile relationship niko na wewe but naweza fu*k manzi mwingine
Milly : Whaat..so you mean pia mimi naweza f**k mse mwingine?
Me : Yeah but hamuezi date ju tutakua bado tunadate..ju manze mimi kukaa na dem moja itakua noma plus nikiendelea kufanya hivo before kukushow you'll get mad at me na tutakua tunagombana daily
Milly : Wacha nilale while thinking about it nikiamka we'll talk about it juu wueh..

Milly akadoz na mimi nikajipin pale kwa lapy kufanya ma 1,2. Essy akaingia
Itaendelea...
Mnipee 200+likes next episode ikam

💖 STELLA 💖part 8Tina alishindwa kusimama akapiga magoti  akilia😭😭..Tina🧑🏽‍🦳: (akipiga magoti)Dokta what's going on🥺🥺? pl...
10/07/2025

💖 STELLA 💖

part 8

Tina alishindwa kusimama akapiga magoti akilia😭😭..
Tina🧑🏽‍🦳: (akipiga magoti)Dokta what's going on🥺🥺? please speak to me 🙏..
Doctor👨🏽‍⚕️:(akishika mkono wa Tina na kumwamusha)I don't know how to explain this😪😪 your friend is in a very bad situation😪😪you can visit her en see her in room 5

Tina kuskia hivo aliamka akatoka mbio na me nikamfuata nyuma hadi kwa room yenye Stella alikuwa amelazwa😪😪..tuliingia tukapata Stella amelazwa bed😪😪..
Stella alikuwa ametulia nik**a amekufa😭😭.. Tina aliketi pale kando yake akamshika mkono akilia😭😭..

Tina🧑🏽‍🦳: Stella please amka😭😭sina Rafiki mwingine .. please don't leave me🙏🙏..

Nilishika tina kwa mabega nikamwambia "stop crying Tina😪"she is not dead..she will be OK plz stop crying😪. Tina alisimama akaface ukuta..

Tina🧑🏽‍🦳: jeff you will not understand😭 Stella is more than a sister to me..I don't understand what's going on🥺🥺..
Me👨🏾: take it easy tina😭..let's pray for her she will get well🙏🙏..

Nilisongea polepole nikaketi pale kando ya kitanda karibu na Stella.. Nikajikuta nimeshika Mkono wa Stella huku nikidondokwa na machozi😭hata sikujuwa nilikuwa nalia nini coz me sikuwa najuana na Stella.. Nilishika mkono wa Stella nikamwangalia kwa uso then nikamwambia""Stella please don't die🙏🙏you friend is not ready to lose you please don't go😪😪😓we still need you Stella"" vile Nilimaliza kuongea hivo kidogokidogo Stella akasneeze mara moja then akaamuka😲😳😱Tina alishtuka sana akatoka mbio kuenda kuita doctor🏃🏃.me nilibaki nimeshika mkono wa Stella 💖..
Stella aliniangalia kwa macho nikafeel tofauti sana🥰😊Tuliangaliana na Stella bila kuongea huku tumeshikana mikono☺😚..

Itaendelea...
Mnipee 150+likes twende next episode

🔥 Jirani 💦 EPISODE 4🔥Mkuu nilikua natembea kati kati k**a king 😂💔. Essy : Wow Carl cheki ile dress..niliiona TikTok i ha...
10/07/2025

🔥 Jirani 💦
EPISODE 4🔥

Mkuu nilikua natembea kati kati k**a king 😂💔.

Essy : Wow Carl cheki ile dress..niliiona TikTok i have been thinking about buying it but ni expe
Me : Ni how much
Essy : 1500
Milly : Watu hawana taste kumbe💔.. Carl look at this sneakers aki zinakaa supuu..hello hii ni how much
Seller : 1500 bei ya kuongea madam
Milly : Bei ya mwisho ni how much
Seller : 1350
Milly : I have 1k
Seller : Madam hio haiwezi😂.. ongea na kababa akuongezee 300 nikupee

Kisubmarine huyu mse aliniboo. Milly akaningalia ikabidi nimuongezee hio 300 ashike sneakers. Essy akachange sura once nikajua hapa kutaharibika😂. Tukafatana nao mi nikafanya mastuffs zangu pale nik**ada

Essy : Na mimi Carl unanibuyia nini before turudi?
Me : Unataka nini
Essy : Najua niko na deni yako but this has nothing to do with it
Me : Wacha story mob..we unadai kubuyiwa nini
Essy : Ile dress nilikushow
Milly : Eiii that's too expensive wewe 😳
Essy : Ni wewe unalipa ama?
Milly : Hata nikiwa nayo siwezi jipata
Me : How much do you have Essy nikujenge uongezee
Essy : Sina any.. you know my situation Carl

Tukarudi nikaamua ku sacrifice nikabuy hio dress. Nikawapeleka pale KFC tukadishi tukatoka hadi kejani. Wote wakaingia kwangu💔. Tukachill pale wakaishia kwa mahao zao. Milly akarudi
Itaendelea...

Mnipee 200+likes Wacha uchoyo weka like bana 🤣 next episode coming

💖 STELLA 💖         👩🏽‍🦰  Part 7Watu wote wenye walikuwa hapo walishtuka sana kuona Stella amezirai😳😳..Kulikuwa na mawait...
09/07/2025

💖 STELLA 💖
👩🏽‍🦰
Part 7

Watu wote wenye walikuwa hapo walishtuka sana kuona Stella amezirai😳😳..Kulikuwa na mawaitor hapo wakakimbia kukuja kusaidia..me na Tina tulikuwa tushafikia Stella tukijaribu kumusaidia.. Stella alikuwa amezima tu hata hapumui😭😭Tulijuwa maisha yake yako hatarini so fasta fasta Tina akasema tubebe Stella tumpeleke kwa gari😥😥me nikajiuliza sa tunampeleka kwa gari la nani🤔🤔..
hataivo tulisaidiana na wale weita tukabeba Stella huku Tina akiwa mbele akatupeleka kwa gari fulani Baridi🥶🥶😎aina ya Prado💥💥Tina alifunguwa mlango wa gari tukaingiza Stella kwa hilo gari then Tina akachukua pesa kiasi fulani pale mbele ya gari akapea wale weita alafu akaniambia pia me niketi kwa gari tupeleke Stella kwa hospital haraka..
niliketi kwa gari then tina akaanza kuendesha gari k**a wazimu🥶🥶..hapo ndio nikajuwa kumbe Tina alikuja na gari kunimeet nivile alikuwa amelipark tu pale kwa hotel🤭🤭...within 5mins tulikuwa tushafika hospital💪💪nilishuka nikabeba Stella nikatoka nae mbio huku tina amenifwata nyuma hadi kwa hospital...
Daktari walikuja mbio na kale kagari ka kubeba wagonjwa mahututi🙄🙄..nikalaza Stella hapo then akasukumwa akapekwa kwa room 05 then Docta akatuambia tungojee results pale inje🙆‍♀️🙆‍♀️..

Tulibaki pale inje na Tina huku Tina akiwa anasweat🥶🥶tina alikuwa very confused🙃🙃🤒azn alikua amechanganyikiwa..alikuwa akitembea huku ameshika kichwa chake🙆‍♀️🙆‍♀️..

Me👨🏾: Tina please cool down🙏all shall be well🥺
Tina🧑🏽‍🦳: Jeff please don't tell me to cool down😭😭 Stella is more than my sister😭she is the only true friend I have😭😭.. please God protect Stella 🙏🙏..
Me👨🏾: all shall be well with her tina🙏🙏just have faith..
Tina🧑🏽‍🦳: Noo😭 Stella hajawai faint tangu tujuane😭😭leo ni mara ya kwanza so lazima kuna kitu kisicho cha kawaida😭..

Tukiwa bado tunaongea kidogokidogo doctor akakuja akiwa amevalia hizo earphones zao kwa shingo😂😂alikuwa mnono then amevaa miwani na hile koti ya white then ameshika karatasi fulani kwa mkono..Tina alikimbia akamkuta na ku.....

Mnipee 200+likes twende next episode mbiombio

🔥 Jirani 💦 EPISODE 3🔥Essy akaishia kwake mbio. Nikapiga shower. Kumada tu hivi Milly ameingiaMilly : Where to babe?Me : ...
09/07/2025

🔥 Jirani 💦
EPISODE 3🔥

Essy akaishia kwake mbio. Nikapiga shower. Kumada tu hivi Milly ameingia

Milly : Where to babe?
Me : Nafika tao kufanya ma 1,2
Milly : Nimekua nawaskia ju mumekua mnaongea na nguvu hata nikaskia jinangu ikitajwa
Me : Hakuna mse ametaja jina yako

Kumbe huyu akiwa hapa kwake anakuaga ametega maskio kisubmarine askie naongea nini na nani😂💔.

Me : So we huniskiza?
Milly : Zii sio hivo..hata mimi pia nataka tuende na wewe tukue watatu sasa
Me : Hizo ni gani sasa
Milly : Ni either uende na mimi ama hakuna mtu anaenda tao

Essy akaingia

Essy : Ooh I'm sorry guys sikujua mnamake out
Milly : Kumake out mlango ikiwa wazi..unathani mimi ni wewe?
Essy : Lakini huyu manzi shidake iko wapi🤔
Milly : Shida yangu ni ati I want you to leave Carl alone
Essy : Hehee😂..uko na mambo wewe mimi nimetokea tu kupeleka Carl tao..inafaa ujue ulinipata kwa hii ploti and there's nothing you can do hautakuja hapa kunipanga
Milly : Before nikuje si ulikua na time yote kukaa na Carl..mbona vile nimekuja ndo sasa unajifanya uko interested kwake?
Me : Guys guys staki kelele mimi naishia tao mbaki hapa mkitupiana maneno
Milly : It's either naenda hio tao pia ama hakuna mtu anatoka hapa
Essy : So utado?

Milly akajipiga kwa hao yake k**a amechange na akatokea😂💔. Kisubmarine tukafatana wote watatu😂💔. Tukafika tao. Hakuna mse alikua anabonga.. walikua tu wanapigana side eyes kisubmarine 😂.

Mnipee 200+likes ndio nilete next episode mbio.

🔥 Jirani 💦 EPISODE 2🔥Faith akatoka akilia akaishia kwakeEssy : Matharau huyo dem alinifanya mbele ya watu i just can't M...
08/07/2025

🔥 Jirani 💦

EPISODE 2🔥

Faith akatoka akilia akaishia kwake

Essy : Matharau huyo dem alinifanya mbele ya watu i just can't
Me : Faith ako na ufala sana
Essy : Talking about tao.. naweza kuja na wewe?

Phone ikaring. Kuangalia ni Clara

Clara : Mambo😍
Me : Poa sana
Clara : I just called to tell you I'm missing you 😂
Me : Mimi niko😂.. you can visit anytime you want😂
Clara : Naweza kuja sleepover one of these days
Me : It's okay bora unishow ukikam
Clara : Poa..na huyo faith ameleta kelele ya ujinga ama?..she asked me to tell you ati umsamehe..some minutes ago she called to apologize
Me : Hadi amekua hapa mi hadi sijakua interested na mambo yake😂💔..umemsamea ama
Clara : Nimemshow I'll think about it..but mimi nikikuja hapo has nothing to do with her.. nitakua nakam kukuona wewe sitawahi kanyaga kwake
Me : She's your friend usiseme hivo😂💔
Clara : Faith is childish aki i can't do that😂

Nikakata call

Essy : Who is that anafanya unasmile hivo
Me : Ooh this is just a friend
Essy : Na anajua aje faith?
Me : She's her friend
Essy : Anaitwa nani..ju najua friends wake wote
Me : Aah we nawe.. siwezi kushow
Essy : Ok.. naweza change tuishie?
Me : Siendi direct tao nafika place kwanza
Essy ; Ama hautaki nikam ju Milly atakujamia?
Me : Naona you want to make me mad sasa
Essy : Zii sio hivo..mi nakam na wewe just a moment nichange

Ebu nipee likes 200 alafu nimalishie hii story

💖 STELLA 💖         Episode 6Tulienda kwa hotel fulani ya watu wameomoka🥳🥳🤗azin hotel ya matajiri🤗🥳💥 hapo karibu kulikuwa...
08/07/2025

💖 STELLA 💖

Episode 6

Tulienda kwa hotel fulani ya watu wameomoka🥳🥳🤗azin hotel ya matajiri🤗🥳💥 hapo karibu kulikuwa kumejaa magari za watu..tuliingia ndani tukaketi then Stella akaketi mbali kidogo na sisi ili asiskize story yetu😂😂💔..
pale kwa meza kulikuwa na menu so Tina akachukuwa akaanza kuiangalia😫😫mimi roho ikaanza kudunda coz nilikua tu na 145bob kwa mfuko🙄🙄..nilianza kuomba Mungu zile food expensive isikue aki😫😫🙏...kidogo kidogo weita akakuja..

Weita: niwasaidie na nini tafadhali?
Tina🧑🏽‍🦳 : niletee chips kuku na soda🤗🤗.
Stella 🧑🏽‍🦰 : (akiongea na nguvu kidogo)mimi niletee chipo sausage na maziwa🥳🥳🤗..
Me👨🏾: 😳😳🤭..
Tina🧑🏽‍🦳 : na wewe jeff utakula nini🙄?
Me👨🏾: (nikajua leo ni leo)me niko sawa aki..sifeel kukula anything..
Tina🧑🏽‍🦳 : nooo please itisha food..hatuwezi kula ukiangalia..
Me👨🏾: OK niletewe tu maziwa fresh nitakuwa sawa🤗..

Weita alienda akaleta food..me nikajuwa lazima tina ndio atalipa coz ye ndio ameitisha😂😂🤣..baada ya food kuletwa Tina alianza kukula then tukaanza kuongea sasa🥰..

Tina🧑🏽‍🦳 : OK J so...
Me👨🏾 : (nikamkatiza) please tina don't call me J🥺you better call me Jeff..
Tina🧑🏽‍🦳: (akajuwa nataka kuitwa sweet names😂😂)am sorry handsome ..so Jeff me nimekuleta hapa hili tuzungumuze tuelewane..najuwa sio rahisi kwa dem kuongea hii story but inabidi nikuambie..me nimekuwa nikikatiwa na machali tofauti tofauti but nimekuwa nikiwakataa wote..but since day nilikuona manze i really fall for you Jeff 🥺🥺nilikupenda day nilikuona na nikajuwa we ndio chaguo langu🥰🥰najuwa ni ngumu dem kukatia boy but me mamangu aliniambia ukipenda mtu heri umwambie mapema kabla achukuliwe na mwingine☝✌..hata madem pia tuko na freedom ya expression😊😊..so jeff me i love you💖💖

Niliangalia tina sikuamini k**a hayo maneno yanatoka kwa mdomo wake😳😳..niliona nik**a naota🥺🥺sikuamini pia mimi naweza katiwa na dem mrembo hivo..
niliangalia Tina kwa Mshangao hadi nikaamka nikasimama🤭🤭..kabla niongee kidogokidogo Tukaskia Stella akapiga Nduru then Boom akaanguka chini na kuzirai😳😳.....

Mnipee 150+likes nilete next episode

🦋🔥 Jirani 🦋SEASON 05🔥(Season finale)Episode 01 🔥Faith alijilima kwa hao k**a amedunga magoti chini k**a nyundo ya fundi ...
08/07/2025

🦋🔥 Jirani 🦋

SEASON 05🔥(Season finale)

Episode 01 🔥

Faith alijilima kwa hao k**a amedunga magoti chini k**a nyundo ya fundi amenyimea mjengo nikajua kisubmarine hapa we g*t a problem😂💔. Nikashindwa kwani hapa kunaenda aje manze😂💔

Me : Rada ni gani uko sawa?
Faith : Carl we can't continue this way😥..najua wewe na Essy g*t a thing before hata tufu*k.. I'm really sorry for what i have caused toka tufu*k..ile drama nilileta juzi huko kwa Essy I'm really sorry Carl nataka tu unisamehe i know you can do this Carl
Me : Faith sijui nikushow nini.. actually vituko umenifanyia hadi sielewi
Faith : I'm really sorry Carl.. Essy ameishi kunishow vile she had a huge crush on you toka kitambo.. kitambo hata before tuanze kubonga na wewe..najua maybe you have a huge appetite for ladies Carl and I'm really sorry k**a nili kuoffend..juzi vile nimekosana na Clara ju yako i just feel off Carl.. I can't afford to lose Clara she's the only friend i have
Me : Wueh sasa hapa nitasema nini😂

Essy akajipiga kwa hao

Essy : Ni nini umeniitia huku wewe
Faith : I wanted us to meet here so that you two can forgive me Essy😥
Essy : Waah😂.. na ile kiburi ulifanyia huko chini hadi ukanitesa na simu yangu?.. faith I can't hio nayo siwezi kudanganya..ulinichomea ploti mzima ukani aibisha aki na vile we used to be friends?.. really faith?
Faith ; I didn't know what i was doing Essy..stoki kwa hii nyumba k**a haunisamei
Me : Itabidi utoke ju mimi nadai kufika tao
Essy : I'm going with you i guess🙄
Faith : Guys please forgive me.. you two can do this😥
Essy : I swear siwezi faith..wewe amka tu utoke uende penye unaenda
Itaendelea...
Mnipee 200+likes next episode ikam

💖 STELLA 💖        🧑🏽‍🦰🎬Part 5Nilienda nikafika pale Uhuru Park penye tina alikuwa ameniambia ako hapo🤭🥶jamaa nilikuwa ni...
07/07/2025

💖 STELLA 💖
🧑🏽‍🦰
🎬Part 5

Nilienda nikafika pale Uhuru Park penye tina alikuwa ameniambia ako hapo🤭🥶jamaa nilikuwa nimetenx so nikaamuwa kusimamia mbali kidogo ili nikuwe wa kwanza kuona Tina kabla anione😂😂..
Ukienda kumeet mtu mara ya kwanza please make sure we ndio umemwona kabla ye akuone😂💔 especially madem 😂kuna mwingine alienda kumeet bae wake wa online jamaa akakuwa wa kwanza kuona dem aki alimtumia tu 100 fare ya kurudi then akamcall akamwambia eti "nimekuona but rudi tu kwenu mama" 😂😂na akazima simu hadi leo😂..
So me nilisimama kando kidogo then nikatxt tina nikamwambia niko hapa kwa huku nyuma ya Park place gari zimepackiwa 😂😂💔alafu nikatulia nikangoja tina atokee sasa🤗nilikuwa na picha za tina so obvious ningemwona ningemjua..

Tina aliniambia vile amevalia pia me nikamwambia vile nimevalia official na viatu za white za sports😂😂💔....nikiwa hapo kidogo kidogo nikaona Tina😳🥺🥺sikuamini macho yangu kwanza nikaconfam kwa picha k**a ni huyo😂😂💖.. niliona tina na yule rafiki yake kwa mbali wakikuja hizi place niko 😂🤭.. nilijijaza kimwanaume nikatokea nikaenda kuwameet😁😁😁. nilienda nikajitokeza mbele ya Tina pia akashtuka sana coz alijuwa ni mimi tuu jeff🤭🤭..Tina aliniangalia kwa mshangao then kabla anisalimie akaniuliza""we ndio Kaka jeff 🙄?nikajibu "yea ni mimi🤗"

Enyewe Tina alikuwa mrembo kupindukia🥰..alikuwa brown na nywele mrefu then ako na gap kwa meno🤭😁🥰.. alikuwa akismile dimples zinaonekana🥰🤗meno zake zilikuwa white 😁😁 azin Tina alikuwa dem nimeishi kutamani kukuwa nae kwa life yangu. Yule rafiki yake pia alikuWa mrembo sana k**a tu Tina🥰 as they say births of the same feather fly together😂😂..

Tina🧑🏽‍🦳: OK thanks for coming🤗huyu hapa ni beshte yangu(akipoint rafiki yake)
Me👨🏾: (nikisalimia uyo rafiki yake)🤝Naitwa jeff .. it's nice to meet you🤗
Her🧑🏽‍🦰: I'm STELLA nice to meet you too.. 🤝jeff

Tina🧑🏽‍🦳: OK jeff I think we should go in a hotel tupumuzike tukizungumuza kidogo..
Me👨🏾: OK

Nilijiuliza mbona Tina hajaniita "handsome🤔"? Stella nae alikuwa ananiangalia tu hivi👉😏😏😏.......✍️
itaendelea....
Mnipee 200+ likes twende next episode

Address

Nairobi

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Amoro Japheth posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share