Facts Prover

Facts Prover Deliverance of proved facts and rumors with no guess work ,,,,���

❤❤❤❤
01/02/2025

❤❤❤❤

Silence is the weapon💪💪
01/02/2025

Silence is the weapon💪💪

Great love to our momas❤❤❤💗
01/02/2025

Great love to our momas❤❤❤💗

Man molded 🥰🥰🥰
01/02/2025

Man molded 🥰🥰🥰

The guy is still focused on the forward in improving day in day out❤❤❤
01/02/2025

The guy is still focused on the forward in improving day in day out❤❤❤

🤣🤣🤣Nilitembelewa na wageni kwangu Leo Asubuhi nikaita bibi Yangu nikamwambia apike chai☕🫖 ndio wageni wakunywe🙂🙂🙂 lakini...
12/01/2025

🤣🤣🤣Nilitembelewa na wageni kwangu Leo Asubuhi nikaita bibi Yangu nikamwambia apike chai☕🫖 ndio wageni wakunywe🙂🙂🙂 lakini bibi akaniita akaniambia " Babe unajua sukari iliisha wakati nilipika chai asubuhi 🤦🏿‍♀️ kuendea kwa duka itakuwa kuwachelewesha wageni na labda wanaenda shughuli zao🤔🤔🤔 nikamwambia wewe pika chai bila sukari lakini ikue na maziwa mingi alafu hio maneno ingine uniachie🙂🙂🙂 tukiwa tunangoja chai nikawaambia " Si leo mmoja wetu ajitolee atupeleke lunch"🤔🤔🤔 wakasema nicheze game na mwenye ataanguka ndie atatupeleka lunch🍛🍲🍜 nikawaambia "Ngojeni chai iive alafu nilete kikombe moja ikiwa haina sukari halafu mwenye atachagua hio kikombe haina sukari ndiye atatununulia lunch"😉😉😉 wakasema ni sawa😹😹😹 sasa chai ililetwa wakakunywa na hakuna mwenye alikubali ati chai yake haina sukari😃😃😃 ujanja yangu ikafaulu tukakunywa chai bila sukari na hawakujua ni sukari sikua nayo😁😁😁😁.

Follow me facts prover for more storiesfacts prover

🏆🏆🏆Me;Niaje..Naitwa Manu Gal;poaMe;unaitwa nani?Gal;Mary😜Me;Najua unaitwa Mary but not the virgin😂,sitakukatia but nitak...
12/01/2025

🏆🏆🏆
Me;Niaje..Naitwa Manu
Gal;poa
Me;unaitwa nani?
Gal;Mary😜
Me;Najua unaitwa Mary but not the virgin😂,sitakukatia but nitakupea heart yangu mzima coz in ur love am already in😍,,sijui kaa ii kitu umewai ii feel na kaa uko na kutu naeza kutoa for real🔥
The man who made alphabet letters was a genius the only mistake he made is placing U and I far apart❤️nimekuona nkafeel like naeza shikwa na heart attack sijui kaa unaeza mind nikiwa Moses ni separate iyo red sea into 2 parts🔥
Nikiambiwa ni choose letter moja from A to Z niamini nkikuambia I will choose U,,,umenikunywa so in your love nishaa kata kiu😂😂
Unapenda maths so nko sure unaeza solve this (you + me - clothes + bed ÷ ur legs ) naeza kuwa watchman na ww ukuwe mwizi ukam kuiba nikupigee marunguu😜😜😜🔥ama ukuwe polisi unifunge pingu za ndoa?
Gal: ......Ghai Manu wacha kunimada beiby🥰🥰🥰🥰🥰
Na ivo nkajishindia msupaa❤️❤️😋😋😂😂

Kupata jokes zangu mingi gusa hiyo follow juu ya post tuchekange pamoja. Usipitwe manze 😂😂😂

🏆🏆🏆SASA kuna siku nlipanda  matatu kutoka Kericho 😹, nikirudi Nairobi 😠 kufika Chepseon  mama flani pia akaingia na akak...
12/01/2025

🏆🏆🏆
SASA kuna siku nlipanda matatu kutoka Kericho 😹, nikirudi Nairobi 😠 kufika Chepseon mama flani pia akaingia na akaketi karibu na mimi kukosea zaidi alikua mama mkwe wangu na mimi sjui buana ju wife yangu alikua amebaki nairobi so aliita mama yake ju mimi siko aende kumtembelea huko kumbuka nairobi tulikua tunaishi kibra keja za mabati tena single room .
So safari ilikua poa kufika turbo Mimi na Ukalenjin yangu nkaanza kukula ajabu nikanunua soda kubwa, mkate youghut viazi choma biscuits kutoka hapo nilikua nakula hizo vitu kufika Londiani junction nimemaliza tena nikanunua chips ule mama alikua ananiangalia hivi 🫤😠🫤, adi akaniuliza kijana na wewe c utakula watoto utaoa kweli. Nikamjibu yes Niko na Bibi na watoto Tatu na k**a uko na maneno uaje ujinga🤤🤣.
Kwa Ile harakati ule mama akapigiwa simu na msichana yake ambaye ni Bibi yangu na Mimi bado sjajua 😹. Akamuuliza mmefika wapi kumbe mama Hajawai fika nairobi akaniuliza hapa ni wapi nikamwambia tuko ngata tunaingia Nakuru 🤣 tukaendelea na Safari manze sjui huyu mama anaenda Kwangu Mimi nikukula Tu vitu Kwa gari huyu mama ndio anashanga tu 🤤😹🌝.sasa Tukikaribia kufika nairobi kumbe simu ya yule mama ilizima na alikua ameandika namba kwa karatasi akanipea Ile namba ngaweka Kwa simu yangu 🙈😅 naona inaleta jina ya Bibi yangu ♥️♥️ PAINKILLER ♥️♥️ aii 🙈☹️🤣, nilimwangalia hivi 🫤 🙄.nikasema hi namba ni mteja 😭 , tena akaleta ingine ya Airtel ilibidi nipige na private 😹🫤, nikaongea na base wee kujia mama yako Kwa stage na nikakata simu 😢😢

Follow me for more

After kukosana na bibi last week, alirudi akaniandikia barua yenye ilikua inasema hivi🙂🙂Dear Manu, nataka kukuambia yule...
12/01/2025

After kukosana na bibi last week, alirudi akaniandikia barua yenye ilikua inasema hivi🙂🙂

Dear Manu, nataka kukuambia yule mtoto msichana ulilea ukamsomesha na ukawa unamtunza vizuri tangu akiwa mdogo mpaka akafikisha miaka ishirini hakuagi mtoto wako🙂 huyo jirani yako ndio aliniweka mimba na nikakanyagia hio maneno,😏 juzi nilimwambia ukweli na akakuja akamchukua binti yake wakaenda kukaa na yeye kwake hapo karibu na kwako😒 kwa hivo ukimuona uko usidhani ameolewa. I wish you all the best kwaheri🤚🤚

Mimi wiseman nikamwandikia pia barua ikisema:
Praise be to the most high!!!! Praise be to the most high!!!! Atlast nimepata amani kwa moyo wangu juu niliishi kuwa guilty ya kufikiria nilikuwa nafanya vibaya kunyanduana na mtoto wangu😋😋😋 na ukimuona mbele yangu umwambie sasa mambo yako sawa kwa ivo asitoe ile mimba yangu amebeba juu mimi sio baba yake mzazi🤸🤸🤸🤸nakutakia kila laheri kwaheeeri my Mother-in-law 🤣🤚
Follow for more joim facts prover na Willingie Wawishh tukisonga

Still full of impregnability and focus to deliver for guys.The terminated trip around the sun was quiet tremendous,,,Let...
08/01/2025

Still full of impregnability and focus to deliver for guys.The terminated trip around the sun was quiet tremendous,,,Let's hope that this impending trip around the sun will illuminate our paths towards our destined destination.It doesn't matter how the kickoff was,,,may the Authoritarian shower you great people with limitless hopes to endure this great year🥰🥰🥰🥰

Address

Nairobi

Telephone

+254748747625

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Facts Prover posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share