TUNU Publishers

TUNU Publishers Book editing, Book formatting & alignment, ISBN registration, Cover Design, Picture illustrations

Mizani ni tamthilia kuhusu Mkwasi, mkewe Raufupamoja na wanao (Nuru na Nuria). Wahusika hawa wanatofautishwa na imani za...
09/10/2024

Mizani ni tamthilia kuhusu Mkwasi, mkewe Raufu
pamoja na wanao (Nuru na Nuria). Wahusika hawa wanatofautishwa na imani zao. Mikondofikira na matamanio ya wahusika wakuu yanakinzana k**a usiku na mchana. Mahusiano yao ya kijamii yanayumbishwa na utofauti wa imani na tamaduni.

Samahani na hadithi nyingine ni mkusanyiko wa hadithi zinazoangazia masuala mbalimbali katika jamii yetu. Waandishi wame...
09/10/2024

Samahani na hadithi nyingine ni mkusanyiko wa hadithi zinazoangazia masuala mbalimbali katika jamii yetu. Waandishi wameonyesha upeo wa ubunifu kwa hadithi sisimuzi
zilizoshiba mafunzo na maarifa.

“Uhai Mwingine” kitabu hiki kimechapishwa na Tunu Publishers
23/09/2024

“Uhai Mwingine” kitabu hiki kimechapishwa na Tunu Publishers

Usawiri chanya wa Mwanamike katika Methali za Igikuria ni makala kwa ajili ya kumtukuza mwanamke katika jamii. Usawiri w...
23/09/2024

Usawiri chanya wa Mwanamike katika Methali za Igikuria ni makala kwa ajili ya kumtukuza mwanamke katika jamii. Usawiri wa utukufu wa mwanamke katika methali za gikuria umedadavuliwa huku mifano mwafaka ikitolewa.

Kitabu hiki kimechapishwa na Tunu Publishers.

Uandishi bora hutegemea uhariri bora wala si bora uhariri.Kitabu hiki kimechapishwa na Tunu Publishers
16/09/2024

Uandishi bora hutegemea uhariri bora wala si bora uhariri.
Kitabu hiki kimechapishwa na Tunu Publishers

Address

7188-00100
Nairobi

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when TUNU Publishers posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share