Bunge La Boda Boda Kenya SEMA SASA

Bunge La Boda Boda Kenya  SEMA SASA THIS ASSOCIATION IS AN OPEN FORUM ON THE BODA BODA AND PUBLIC VIEWS ABOUT DEVELOPEMENT,LIVELYHOOD AND POLITICAL TRENDS.

https://www.facebook.com/share/p/1GcdxsN1cq/
04/08/2025

https://www.facebook.com/share/p/1GcdxsN1cq/

The government should stop funding the NGCDF projects and fully fund for free education system,lakini hawawezi fanya hivo ,wanajuwa hapo ndio wanajishikia ndio mwananchi wa kawaida ajione dhaifu ili kuwategemea kwa mambo ambayo ni wazi hatufai kulipia
Watu wanaumia kuishi maisha sio yao.
Ma MCA wa Vita
Wabunge ni wa Kulipwa
Senators,Wamefinywa
Ma CS wametumwa
K**a hawa uliowatapuwa wamegeuzwa punda
Itakuwaje wewe fundi mjenga ukuta kumbuka una Kura
Na baada ya Miaka tano hawa nguruwe hawataruka
Jenga ukuta kabla kujenga nyumba
Ogopa dereva wa Punda 🇰🇪

https://www.linkedin.com/posts/thekenyatimes_two-suspects-ie-boniface-zinjenga-and-john-activity-7356626716640837633-1P0...
31/07/2025

https://www.linkedin.com/posts/thekenyatimes_two-suspects-ie-boniface-zinjenga-and-john-activity-7356626716640837633-1P0E?utm_source=social_share_send&utm_medium=android_app&rcm=ACoAABmOd08BVC6n6zCfCXmkqRbM2dur7xfPcUc&utm_campaign=share_via

Two suspects i.e Boniface Zinjenga and John Amolo were apprehended near Delamere shop on the Naivasha-Nakuru Highway while trafficking 450 kilograms of cannabis valued at Ksh. 13.5 million. Police also recovered a motor vehicle linked to the crime Read more news updates: https://thekenyatimes.com

Governor Natembeya ofisini baada ya miezi mbili,kutoka na amri iliyotolewa kisheria kuwaGovernor huyo akae inje ya ofisi...
22/07/2025

Governor Natembeya ofisini baada ya miezi mbili,kutoka na amri iliyotolewa kisheria kuwa
Governor huyo akae inje ya ofisi akifanyiwa uchunguza kwa madai ya ufisadi.
Natembeya amerudi kwa mpigo tutaezana...

Address

Nairobi

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Bunge La Boda Boda Kenya SEMA SASA posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share