NEEMA Updates

NEEMA Updates NEEMA WRITTEN UPDATES✍️
NEEMA VIDEO UPDATES πŸ“Ί
NOMA NTV VIDEO UPDATESπŸ“Ί
NOMA WRITTEN UPDATES✍️
BREAKING NEWS🚨

ππ„π„πŒπ€ πŸπŸ“π“π‡ 𝐉𝐔𝐍𝐄 π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒 𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟏 Neema kusikia ati Eddy amekua na Rachael,alijam!  Neema alikuja akiwa amekasirika...
24/06/2025

ππ„π„πŒπ€ πŸπŸ“π“π‡ 𝐉𝐔𝐍𝐄 π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒
𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟏
Neema kusikia ati Eddy amekua na Rachael,alijam!
Neema alikuja akiwa amekasirika sana akimuita Rachael..Rachael ameshtuka akakuja akawauliza shida ni nini guys? Neema akamuuliza mbona hukuniambia Eddy alikua hapa?

Val na yeye kuna launch inafanywa ya Amani but Jayden yeye ako tu shule,hadi Val akamuuliza, mbona unaacha wakae too close na wewe uko tu huku kwa vitabu..kuna expedition Amani alikua anafanya ya photos.

Rachael ameshtuka pia akaambia Neema, Eddy alikuja na nikamwambia asinihusishe kwa mambo yake...lakini Neema ako juu mbaya hadi akaambia Rachael nipoteze watoto wangu juu yako utaona na utajua mimi ni nani lakini Rachael yeye anajua hakuna kitu alifanya,hadi anaambia Mark,you know me,siezi fanya kitu k**a hiyo. Neema aliambia Rachael I regret kukuambia ukuje huku. Wah! Kunoma

Mark alijaribu kutetea Rachael lakini wueh,Neema yuko juu mbaya..all in all walienda kotini. Kuna wa kutetea Neema na kuna wa kutetea Eddy.

Huh! Kumbe kwa expedition ya Amani, alieka hadi picha za Jojo pia..wacha Jayden aone akauliza Jojo,huu ni upuzi gani mbona unaekwa hapa kwa photos?

Huku kotini, ilifika wakati wa Sharon kutoa ushahidi na hakua amefika na Neema anaamini Sharon atasimama na yeye,huh!πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Sharon amechelewa hajafika na ni yeye tu wanangoja but kwa bahati ya Mungu baada ya dakika Sharon akafika.

Neema kuona Sharon akajua basi acha amtetee lakini ajabu ni kwamba,Sharon alisimama side ya Eddy hadi Neema akamuita akamwambia wee,yafaa uwe huku lakini Sharon akasema najua chenye nafanya...Neema akajua mara moja Sharon amemruka.

Huku kwa Jojo na Jayden kumewaka,hadi Jayden ameamua kurarua picha za Jojo lakini Amani na hasira alimshika Jayden tai wakaanzana vita sasa wah! Makosa sana. Amani alieka hapo ju anamtaka Jojo na Jayden alirarua ju Jojo ni dem yake.

Sharon aliropoka kotini,akasema venye akina Neema walikua wanatoka na Mark wakiacha watoto peke yao na sasa hii ni enough evidence kuonyesha Neema hafai kukaa na watoto wah! Sharon amechoma vibaya sana.

Kumbe Amani na Jayden wakipigana lec aliwapata,akawaambia kwa kujaribu kupigana the expedition has been canceled..wah! Amani anataka kumeza Jayden sasa,,hadi Jojo pia akaambia Jayden hujafanya poa manze.

𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟐
Sharon alisema kila kitu hadi akaambia koti ati hadi sai Mark anakaa na baby mama na ati kazi ya Neema si kazi mzuri anasaidiwa na Mark..Sharon anasema haya ju alilipwa manze!

Sharon amechoma sana..hadi Babu Jay akaambia koti huyu mwanamke ni mbaya sana na ndio maana hata majirani huwa hawampendi. Sasa koti ikaamini sasa Neema hafai kukaa na watoto.

Jojo alikuja kumtuliza Amani lakini Amani anaambia Jojo ni unasema na unaenda kuoa that fool... Amani aliambia Jojo wachana na huyo boys he will never change. Jojo is now confused hajui waanzie wapi wamalizie wapi.

Sharon aliendelea kusema venye ati Neema hata huwa hakai na mtoto wake huwa anaachia babake mwenye ni mgonjwa. Sharon alisema hadi ati Neema huwa anaacha mtoto akienda out na Mark hadi juzi akawa kidnapped..aah hii sasa ik**aliza kesi sasaπŸ˜‚πŸ˜‚Neema huna lako mamaa.

Jojo wamebreak up na Jayden tenaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚I hope Jayden hataendea jino lakeπŸ˜‚πŸ˜‚

Huku nje Neema alitaka hadi kumpiga Sharon lakini Sharon ako na nguvu alimpush Neema huko πŸ˜‚πŸ˜‚ Isabelle na Babu waliambia Sharon wasiwai muona kwao tena..

Neema, ni kunoma! Eddy is winning

Turudi huku nyumbani,Mark alimuita Rachael,akamwambia k**a wanaeza ongea. Rachael akamwambia its ok we can talk..Mark akamuuliza Rachael tuko tu na wewe,niambie tu ukweli,uliambia Eddy kuhusu Ian? Rachael akamwambia walai sikumwambia anything maybe ni Sharon ama Dancan.

Mark akiwa hapo akapokea message kutoka kwa Neema akimuuliza hali ya Ian,badala ya Mark kumreply akaamua kumcall...Hii sasa ndio mapenzi..akikutext unamcall! shida wako hata hajakutext leo πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

24/06/2025

Nimeenda staffroom nikaona paper yako ya Chemistry, umepata 02,
jibu k**a BACK BENCHER πŸ˜…πŸ€£πŸ˜

24/06/2025

xaxa bebx.. 2mepewa kahafty..nmekumixx .. ..xmx zimeixhaπŸ₯Ί,208 kexho jioni β™₯️mm nakulombotov wth all my heartπŸ«‚πŸ™„

ππ„π„πŒπ€ πŸπŸ’π“π‡ 𝐉𝐔𝐍𝐄 π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒 𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟏 Amani alikua anamtafuta Jojo huku shule akamkuta akamwambia unaonaje we catch up?...
23/06/2025

ππ„π„πŒπ€ πŸπŸ’π“π‡ 𝐉𝐔𝐍𝐄 π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒
𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟏
Amani alikua anamtafuta Jojo huku shule akamkuta akamwambia unaonaje we catch up? Jojo akamwambia wee, niko na plans na boys wangu Jayden tunaenda out kiasi kutafuta lunch...Amani anaona hivyo anaboeka vibaya sanaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Jojo hatimaye alikuja akamuomba Mellisa msamaha kwa kudhania wako na something kati yake na Jayden but ukweli wa mambo ni,Mellisa anampenda JaydenπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Kumbe Eddy na yeye,alikaa akaona baaasi k**a kuna mtu anaeza msaidia sasa ni Rachael wa MarkπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Rachael akiwa ametulia akasikia mtu anabisha,yeye hamjui but Eddy anamjua..Rachael akamuuliza wewe ni wa Jehova Witness ama unataka? Eddy akamwmabia mimi ndio bwanake Neema...Rachael akamwambia wametoka hawako..but Eddy akamwambia sikiza, nimekuja kukuona wewe,unaonaje tusaidiane,wewe upate Mark back mimi nipate wife wangu? Rachael alishtuka akamwambia bro, mimi sina jino ya mark yenye naogopa atakujia,and I didn't come here to win Mark back so k**a wewe unataka bibi yako tafuta njia zako but don't involve me into your petty nonsene πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Kumbe Babu aliwaona.

Amani pia anataka sana mamake na babake warudiane but Rachael anaona Mark ashashift love yake kwa Neema. Na ni kweli,Mark anampenda sana Neema..
Walikua out wakipiga mapicha wakipanda miti hapo,Neema akampiga Mark na Ian na Mark akawapiga Neema na Ian...but wakati Mark anapiga picha,kuna message iliingiaπŸ˜‚πŸ˜‚

Sharon yeye alikuja akaanza kuambia Neema venye famiia haifai kuachana na hii ina maana ashaingia kwa box ya Eddy kutestify against Neema.

𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟐
Ahaa! Hatimaye, Mark,Rachael na Amani walikuja out na Amani amefurahi sana anaona sasa finally babake na mamake wanarudiana lakini Mark bado anataka ugonjwa wa Amani ushughulikiwe sana but Amani yeye hataki,he doesn't want anyone to meddle into his life..and just like that kalijam..Joseph kanakuanga na hasira za ufala ufala tuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Isabelle alijua Mark amepeleka Rachael out hadi akakuja akauliza Neema,kwani hauna akili mbona unaallow Mark awapeleke out? Neema akamwambia unajua issue ya mtoto wao so inabidi lakini Isabelle alimwambia sikiza, kuwa makini sana. kwa sababu Rachael bado anampenda Mark..But Neema akamwambia anamuamini sana Mark, Isabelle akamuuliza aje "si uliamini bwanako Eddy, sai mko aje" πŸ˜‚πŸ˜‚

Mark,Rachael na Amani wako very happy sana. Amani anenjoy sana hadi anangoja time babake na mamake wanacheka anawapiga picha na inatokea clear sana and full of love😍😍😍

Mark walifurahia wakarudi malate night and of course lazima apitie Neema kwanza ndio aende kulala...Mark alimwambia venye kumeenda na akafunguka kwa Neema akamwambia the issue ilikua kuongea kuhusu Joseph but things went little bit deeper hadi Joseph akatupiga family picture..In as much Neema anafeel pain chini ya maji haezi onyesha kwa Mark.

Huh! Ni siku ya kesi sasa..kabla Neema hawajatoka akapigiwa simu na Eddy so akadhani maybe Eddy ameamua kutupilia kesi mbali. Babu Jay alikua hapo, Mark alikua hapo..lakini makosa ikawa wakati Eddy amemcall Neema akamwambia sikiza najua Ian was kidnapped jana..aah! Makosa.... Neema alishtuka akaanza tu kulia ashaona sasa atapoteza custody ya kukaa na Ian,Babu Jay akamuuliza shida ni nini unatushtua,Neema akamwambia Eddy ashajua kuhusu kidnapping.. Mark akashtuka kwani Eddy alijuaje but Babu Jay akamwmabia Neema sikiza kuna kitu yafaa ujue,Eddy was here jana na nikawaona wakiongea na Rachael...Mark hakuamini...wameamini sasa mwenye aliambia Eddy kuhusu kidnapping lazima ni Rachael..wah! Makosa sana.πŸ€¦β€β™‚οΈπŸ€¦β€β™‚οΈ

What's that iam hearing about Boniface Mwangi, Ati he is clinically dead... πŸ₯²πŸ₯ΉπŸ˜₯😒
23/06/2025

What's that iam hearing about Boniface Mwangi, Ati he is clinically dead... πŸ₯²πŸ₯ΉπŸ˜₯😒

23/06/2025

Bro : Mum Sikuli Hii MbogaπŸ™„
Mum: Nikule Basi 🀸

Dad: Jaribu UoneπŸ˜’πŸ«΅

21/06/2025

Most painful words in high school

1 unaitwa na depa 😳😳
2 ukishika naanza πŸ™„πŸ™„
3 hauko kwa list 🀣🀦
4 Aya kuja vileulivyo πŸ˜ƒπŸ˜ƒ
5 leta Iyo karatasi kijana 😜😜
6 k**a huna notes songa mbele 😭😭
7. K**a hukufanya assignment ya maths tukutane maths department 🚢🚢🚢
8 kwa wenye hamna tie socks na school shoes msitoke parade 😒πŸ˜₯😒
9 Aya wenye walipata E last term mrudi mlete wazazi πŸ˜”πŸ˜”πŸ˜”πŸ˜”
10 mzazi wako amesema nikupee hii Mia mbili ameshikika hatakuja visiting kesho πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
11 ulipatikana dorm time ya prep tuletee rangi 🀣🀣
12 Wewe usiende nyumbani skul fees, tumeongea na mzaziπŸ˜ͺ😒😒
13 after lunch Ni Chem double alafu maths double πŸ™„πŸ™„πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚

21/06/2025

Usikuwe a boring wifeπŸ˜… sometimes crack jokes like: " Babe are you sure you are the father to our children" πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜ΉπŸ€ΈπŸ€ΈπŸΎβ€β™€οΈ

20/06/2025

Her;: Hi Beib☺️
Him;: Hi too babes😍
Her;: Nitumie mia Tano 😏
Him;: Eeh tumia yote iisheπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ’”

ππ„π„πŒπ€ πŸπŸŽπ“π‡ 𝐉𝐔𝐍𝐄 π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒 𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟏 Joseph kumfuata Ian na kidnapper anamfuata ndio,but makosa ni ule ugonjwa wake wa...
19/06/2025

ππ„π„πŒπ€ πŸπŸŽπ“π‡ 𝐉𝐔𝐍𝐄 π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒
𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟏
Joseph kumfuata Ian na kidnapper anamfuata ndio,but makosa ni ule ugonjwa wake wa moyo ushaanza..makosa sana. Bahati tu ya Mungu,Joseoh akasikia Ian akishout,ju Ian ashajua sasa he has been kidnapped..Joseph alikuja mbio,na yule goon kuona hivyo akahepa lakini Joseph na yeye akamfuata mbio,mbaya mbovu..akamshika kisha akaanza kumwekelea mangumi kwanza anawekelea za meno ungedhani ni Mulamwah..lakini shida ni moyo wake ulimweza sasa,ikabidi Joseph ameachana na gaidi....Joseph anaumwa na kifua hadi anapiga nduru but punde si punde, Mark na Neema ndio wanafika..Mark akamkimbilia Joseph wake na Neema akakiambilia Ian wake. All rescued.

Baada ya lisali hvi washafika nyumbani Ian ako sawa Joseph anafeel better but hakuwai taka mamake aambie mtu kuhusu ugonjwa wake coz he has just realized that mamake aliambia Mark. Mark anamwambia Iam your dad yafaa nijue but Joseph amejam vibaya sana. Alijam hadi akatoka. Mark alitaka waende hosi but Joseph alikataa akamwambia sikzia mzae, mimi ni mtu mzima and nobody tells me wat to do!

Jojo ndio pia kanafika,straight hadi kwa room ya Ian. Neema alikua hapo akaambia Jojo kaa na Ian kiasi naenda kuongea na Mark narudi.

Rachael ashagundua after kuambia Mark kuhusu ugonjwa wa Joseph, Mark aliambia Neema pia. Sasa Rachael amejam anauliza Mark, mbona ukaambia Neema kuhusu Joseph? Mark akamwambia relax she was just concerned shida iko wapi hapo? Rachael akamwambia zii,unamwambia k**a nani? sisi ndio wazazi
,mbona Neema aingilie mambo yetu? Kumbe Neema alisikia..akakuja akaambia Rachael come on, mbona ukasirikie Mark kwa kuniambia..mimi sitaambia mtu! Mark aliambia Neema babe dont expain yourself mwenye anataka kujam ajam alah! Na akisikia vibaya anirudishie meno yangu..kumbe Mark pia alipeanga Rachael jinoπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Mark ameamua k**a mbaya mbaya.

Eddy amejam,ju Jojo alikataa kuwa witness wake ndio apewe custody ya mtoto but Jojo kalikataa. Eddy ako na lawyer wake hadi anamuuliza sasa option uko na gani? Eddy akamwambia options ziko nishaongea na business partner na atasimama na mimi..lawyer akamuuliza na Naomi? Eddy akamwambia huyo haezi kubali hata,nilijaribu akakataa. Woiye Eddy!

𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟐
Richard alikuja akaambia Neema,mambo si mazuri,kwanza word is going around wanasema mlikua mnakaa na fugitive. Richard aliwaambi mkitaka vizuri hii issue ya Ian isijaribu kutoka nje..wakaelewa lakini cheki,wakidhani hakuna mwenye anajua,already Sharon ashajuaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Sharon amekuja akisema tu ashaambiwa kuwa Ian was kidnapped. Mark aliambia Sharon please, hii issue haifai ifikie Eddy ju kuna kesi along the way...Sharon akawaambia nisawa atahakikisha haambii mtu πŸ˜‚πŸ˜‚
Eddy bado anatafuta mtu wa kutestify kotini na lawyer wake akamuuliza,mbona usiongee na Karen akuje kutestify.

Neema alimuomba sana Sharon asiambie Dancan ju Dan anafanya kazi na Eddy na anaeza mwambia. Sharon alimwambia sitaambia mtu kabisa...kisha Sharon akamwambia hata k**a hukutualike kusherehekea kununua nyumba ya Mark haina shida sitaambia mtu hii story ya IanπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Jayden ndio anafika,pia hajui anything..akauliza mbona mnakaa na wasiwasi? Neema akamuuliza kwani hujasikia? Jayden akauliza kusikia nini? Neema akamwambia Ian amekua kidnapped but asharudi na ako sawa. Jayden ndio akagundua ooh kumbe ndio Jojo alitoka shule mbio.

Eddy amempata Karen akamuingiza box na sasa Karen will testify kotini. Eddy anaweka sana bidii licha ya kuwa Karen alikua anakataa,but hatimaye akakubali.

Jayden alikuja kuongea na Jojo akamwambia pole kwa yale yalitokea. Jojo akamwambia hii yote imeenda through thanks to Amani. Jayden akamuuliza kwani Amani anaingilia aje kwa hii story? Jojo akamwambia ni yeye aliokoa Ian..Jayden akamuuliza kwani unaniambia ndio unifilishe ama? Jojo akamuuliza na venye ulikua unahug Melisa kuniflisha? Jayden akamwambia come on she just lost her grandma I was just caring for her. Jojo akamuuliza ooh pole basi sikua najua,si ungeniambia? Jayden akamuuliza ningekuambia aje na ulianza tu kurusha tu manenoπŸ˜‚πŸ˜‚Hawa wawili wako na trust issues. Jayden kwa Jojo na Amani na Jojo kwa Jayden na Melisa. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Ian ako fiti sasa,he is stable although bado kanashtuka shtuka hadi anataka kulala na mamake hataki kulala penye amezoea kulala.!

19/06/2025

Mimi nilikuwa naenda Sweden 🀦🀦Sasa Tukiwa kwa ndege, nikaona mzungu ameniangalia dakika hivi 20😳😳nikaanza kujishuku juu shati yenye nilivaa sikuwa sure K**a ni safiiπŸ’”πŸ’”kidogo kidogo huyo mzungu akakuja hapo nilikuwaπŸ˜•πŸ˜•akaniambia K**a Kuna watu wajinga duniani ni wakenyaπŸ™„πŸ™„nikamuuliza mbona😲😲akaniambia K**a unataka kujua ni kweli tuulizane maswali🀦🀦nikishidwa nampea 1k na Mimi akishidwa ananipea 200k hapo Sasa nikajua HII IMEENDA πŸƒπŸƒ lakini nilijikaza nikasema ni sawa ..Akaniuliza ni nchi gani ilikuwa inapigana first world warπŸ₯΄πŸ₯΄kusema kweli mi nikampea 1k then ikafika time yangu ya kuulizaπŸ™†πŸ™† nikamuuliza nikitu gani kikipanda juu huwa kinakuwa na miguu minne kikishuka kinakuwa na tatuπŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„mzungu akanipea 200kπŸ˜‚πŸ˜‚alafu akataka kujua ni NiniπŸ™†πŸ™†juu sikuwa najua nikampea 1k 😳😳😳Sasa mimi na mzungu Nani fala

Cheka kidogo tu🀣🀣🀣

Address

Nairobi

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when NEEMA Updates posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share