Nandwa Isaac.

Nandwa Isaac. Official Facebook PAGE for Nandwa Isaac| Office profile is verified βœ…
(2)

ππ„π„πŒπ€ πŸ’π“π‡ π‰π”π‹π˜ π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒 𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟏 Woiye Rachael,bado kanamfenda Mark anamuuliza surely Mark,mbona unataka tu kutupoa...
04/07/2025

ππ„π„πŒπ€ πŸ’π“π‡ π‰π”π‹π˜ π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒
𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟏
Woiye Rachael,bado kanamfenda Mark anamuuliza surely Mark,mbona unataka tu kutupoa hii love tulikua nayo,we can rudiana but Mark alimwambia sikiza,nakuelewa sana but mapenzi si kitu ya kuforce,iam already in love na mtu mwingine and that doesn't change. Inauma ndio but Rachael atafanya aje sasa,it is what it is.
Neema walirudi nyumbani na kuhusu Ian akaambia Isabelle daktari amesema its normal na tushajua penye kuna shida so we are working to solve it.
Isabelle akauliza Neema,si ulisema Mark ameenda lunch na familia yake na sai hawajarudi mbona hauna wasiwasi? Neema akamuuliza mbona? Isabelle akamwambia umesahau,nilikuambia Rachael bado anapenda Mark but Neema akamwambia hana insecurities na Mark.
Kumbe sasa, Jojo na Amani walikuja kuconfront Eddy, Jojo akauliza Eddy,ulifanya nini kuweka Mark ndani? Eddy akamwambia maybe tuongee tukiwa peke yetu but Jojo akamwambia huyu ni Joseph mtoto wa Mark. Eddy akajitetea akaambia Jojo uliona venye alinivamia lakini Amani akamwambia yoh! I know my dad haezi fanya kitu k**a hiyo. Eddy ak**abia Amani an wewe kijana unyamaze ama nikusalimie saiπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Jojo aliambia babake aache kujaribu kuhurt mamake kwa kutumia Ian but Eddy akamwambia I can stop but go tell your mum yafaa turudiane k**a familia. Jojo akamwambia ni sawa but only if you will drop charges za Mark but Eddy alikataaπŸ˜‚πŸ˜‚
Waaaawa! Rachael Mapenzi si mapenzi na mind you leo hii wameshinda out hadi sai ni 8pm wakiwa tu wawili.hawajaenda nyumbani bado. Rachael anaambia Mark venye aliishi kumtafuta and lastly akimpata anapata ako na mtu but Mark akamwambia I will always be greatful kwa kusave maisha yangu na kuraise mtoto wetu lakini hapo kwa kurudiana kiasi naona maybe utarudi tu MombasaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Mark anampenda Neema hadi anaambia Rachael open,nampenda Neema na yeye ndio kipenzi changu. P for Perid.
Sasa wacha Jojo na Joseph warudi nyumbani peke yao,Neema akauliza Amani,si mlitoka na wazazi wako mbona umerudi solo? Amani akasema niliwaacha wakiwa peke yao wakishikana shikanaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚waaaawa!
Tufike hosi, its day 2, Sharon hajapata nafuu,imebidi hadi watu wa hosi waite polisi kuwaeleza kuhusu huyu mama mwennye hawajui anatoka wapi. Polisi wakachukua details zao.
Ndio Mark na Rachael wanaingia,kisha Rachael akaaambia watu anafeel sana kuchoka anataka kuenda kulala...Mark kujaribu kukaa na Neema, Neema akaamka akaenda,amebonda mbaya🀣🀣🀣
𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟐
Mark alikuja akauliza Neema, mbona unakaa kujam jam? Neema akamuuliza sai ndio unarudi nyumbani na baby mama? Mark akamwambia come on,nimekua police station after kupelekwa na baby daddy wako hata huwezi nicall kunijulia hali? Neema akamwambia nilicall Joseph akasema uko busy na Rachael ningedu? Mark akamwambia come on, Rachael amekua huko ju nilikua nimeshikwa tutatoka tukaenda kubuy coffee,shida iko wapi? Neema was like ooh,eeeh,coffee sindio🀣🀣🀣mapenzi wewe
Amani alikuja kuuliza mamake k**a wanarudiana na Mark but Rachael akamwambia zii,Amani akamuuliza mum huu muda woote unataka kusema hakuna kitu ya muhimu mumeongea wajameni? Rachael akamwambia tumeongea na nimeelewa,haturudiani na yeye,he already love Neema.
Neema alifunguka kwa Mark,akamwambia daktari amesema,yafaa arudiane na Eddy ndio Ian awe sawa..Mark akaboeka,akaambia Neema so hivi ndio ilikua iende,utaenda kukaa na yeye sindio,so Eddy wins? Neema akamwambia zii,mimi siezi ishi na Eddy, unless unataka niende ndio ubaki na Rachael? Mark akamwambia zii,nakupenda wewe na nataka kuishi na wewe,,Neema pia akamwambia siezi kaa bila wewe,nakupenda sana.
Huh! Kumbe Neema amenotice sikuhizi Jojo na Amani wako very close but Mark akamuuliza Neema kwani ndio umenotice? Mark akaambia Neema sikiza, Amani loves Jojo but nilimwambia asiwai funguka kwa Jojo ju italeta shida...Neema alishtuka sana,hadi akauliza Mark,what if wafall in love kutaendaje? Mark akamjoke akamwambia imagine wewe na mtoto wako mumetughoroka hatuezi ishi bila nyinyi 🀣🀣
Val alipigiwa simu,akaambiwa mamako amepatikana na amefanyiwa surgery. Val akauliza surgery gani tena? Akaambiwa akuje ajionee.
Huh! Kwa Mark,Jayden alikuja kuona Jojo lakini makosa ni wakati Jayden amekuja,kumbe Jojo ametoka na JosephπŸ₯ΉπŸ₯ΉπŸ₯ΉJayden aliboeka sana.
Rachael alipigiwa simu na ex hubby akamuuliza si yafaa usign documents za kutransfer shares mbona hujasign? Rachael akamwambia sikiza, hakuna documents nasign ju hata hiyo kampuni ni babangu alikuachia,so hakuna kitu nasign hapo shares zangu zinabaki hapo. wah! Hali ya taaruki sasa.
𝐏𝐀𝐑𝐓 πŸ‘
Nikimalizia maliza only 2 days remaining to deadline ya kuFile returns for free waiver,after hapo filling itakua but utakua na deni. If I were you,ningetafuta Nandwa on 0759325270 afile before 5th July.
Wale wa SHA premioums k**a uliekewa more than 550 per month ama 6600 per year I do reduce down to 6000 ama 500. Number ni hiyo hapo njoo tuchape kazi.

USIPEE MTU HUJUI SIMU YAKO-63K GONENishawai piga hii story kwa ile page ilikua suspended but ju naona Mkurugenzi ameipig...
03/07/2025

USIPEE MTU HUJUI SIMU YAKO-63K GONE
Nishawai piga hii story kwa ile page ilikua suspended but ju naona Mkurugenzi ameipiga pia acha nirudie,now that I have new 100k Followers. How often do you carelessly help someone with your phone?πŸ˜‚πŸ˜‚yangu ilikua ya msichana na madhe wake hii ni ya MPESA agents.

This kaboy hufanya Mpesa hapo tao,whole outskirts si place busy saaana so this day,kuna kamzee kamepiga suti yake safi unaeza dhani hata kameokoka kumbe ni kamwizi tupu!, Alikuja akapata kijana wetu ako shughuli za kuuza kwa kaduka hapo na hii duka iko na mpesa, so anauza pesa akifanya kazi ya kutolewa watu maji! Oops
Sorry,anauza maji kwa fridge hapo nje akifanya kazi ya kutoa na kudepo pesa.πŸ˜‚πŸ˜‚Just mpesa services zenye hazinanga kelele.

So mzee akafika kuna mzigo alitaka kuchukulia hapo ju hii shop,as I have said iko outskirts ya Nairobi so hii shop ni rahisi sana kujulikana. Jamaa wetu,akaona mzee wa suti hana mambo,mzigo wa mzee ukafika akapewa,akashukuru jamaa wa kumpea kakiti hapo ndani akingoja mzigo wake na huyoo akaenda.

That was day 1, after like 2 days hivi,tena kamzee kakarudi,si sasa unaona kijana ashamjua,so hadi story wanaeza gumzo kiasi. This time mzee ikawa anangoja tena jamaa wake wafanye shughuli aende but jua! Manze jua ilikua inawaka mbaya sana. So mzee akauliza kijana,maji unauzaje? Kijana akamwambia dazani ni 60,mzee akamwambia basi nipe kubwa. Now hapa ndio mchezo inaanzia sasa.

Jamaa wetu,akatoka nje kuchukua maji kwa fridge ni zile freezer,maji huwekwa kwa ice so ukitoa lazima upanguze ju hiyo maji huwa baridi k**a mapaja ya Pauloh. Lakini sasa,from nowhere as jamaa wetu anatoa maji apanguze,kuna tu vijana wawili walikuja hapo,na wakaanza kugombana wakishikana matai,jamaa wetu akashindwa wait,so hapa ni Dj Afro tu amebaki kutangaza haka kavita and before long,miereka zilianguka hapo for like 4mins,na ju jamaa wetu anajionea sinema,ahaaa! Alisimama hapo nje for those 4min ak**aliza akaletea mzee wetu maji na akaendelea na shughuli zake but mzee kupewa maji akasema hata hawa vijana wakupigana wamefanya kiu imeisha,but funny thing mzee alilipa maji na akaambia kijana rudisha tu utauzia mwingine na mzee wetu akafanya nini,akaenda.

20min later, Jamaa wetu wa Mpesa anapata sms message kutoka kwa Boss wake mwenye mpesa sasa,anamtext anamwambia,fanya hivi,sijui una pesa ngapi kwa float but nilitaka sana 70k nifanyie kitu urgent,kijana akamwambia sai ziko 63k pekee,boss akamwambia haina shida,nitumie then nitajua venye nitajaza. Jamaa akatumia boss pe....pes....pesss aah! Mbona leo jina ya Boss inaleta Everlyne Liatuma? Akajaribu kucall boss ju wamekua wakiongea kwa phone call morning akamcall,akamuuliza boss leo kwani umechange number? Boss akamuuliza mbona akamwambia si ni pesa umeitisha naona zinaleta Everlyne? Boss akamwambia yoh,mimi sijakutext hata..Kijana akashindwa wait,si wewe umesema nikutumie 63k...

It was at that point,kijana anaangalia anapata number ya boss iko unsaved,yenye iko saved ni number ingine tofauti sana..waaaaa wah! Kujaribu kucall ile number,mteja,kuijaribu kureverse,already used. Long story short,haka kamzee,wakati jamaa ameenda nje,vijana wawili wenye hajui wakaanza kupigana was all a destruction, Kamzee kakachukua simu ya huyu,kakaangalia number ya boss kakaUnsave,kakasave number yenye kako access nayo na kakaeka jina ya Boss venye kijana wetu alikua amesave,so ni hako kalikua kanatext huyu kijana na hivyo ndio 63k zilikunywa maji.

Hapa sasa hakupeana simu yake but he was destructed.

Eight hundred and sixty nine youths storm Mawego Police Station, setting it on fire and carry the coffin as they demonst...
03/07/2025

Eight hundred and sixty nine youths storm Mawego Police Station, setting it on fire and carry the coffin as they demonstrate against Albert’s killing.

Mawego Police station is the last place Albert Ojwang was seen alive before being killed in Nairobi.

I was going through my wife's phone and got these photos taken on 28th June at 10pmπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Hiyo day kazi ya Kufile KRA ilikua...
03/07/2025

I was going through my wife's phone and got these photos taken on 28th June at 10pmπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Hiyo day kazi ya Kufile KRA ilikua imechacha, I didn't even EAT 🀣🀣

BREAKING: Liverpool forward Diogo Jota, 28, has died in a tragic car crash in Spain, along with his 26-year-old brother....
03/07/2025

BREAKING: Liverpool forward Diogo Jota, 28, has died in a tragic car crash in Spain, along with his 26-year-old brother. The fatal accident occurred just two weeks after Jota’s wedding.

03/07/2025

Siku inaanza vibaya aje leo kwa my wife πŸ˜‚πŸ˜‚tumeenda stage achukue kifikifi aende job mimi nirudi kwa nyumba kukaa ndee k**a nyinyi..kufika stage tukapata these two bikes,so how these people work,ukipekleka mtu next ni mwenzako anapeleka and thats there arrangement,my wife & I dont care.

Kumbe imefika zamu ya huyu next bike man but piko yake ameeka muziki kubwa sama,hadi kumwambia k**a anapeleka he had to punguza volume ndio anisikie.

Nikaitisha mpesa number akanipa then from nowhere anaeka volume tena, wife akamwambia "punguza sauti iko juu sana" the guy tells my wife "wee kaa madam si bora ufike"

Aah! Huyo ni wife wa nani unaongelesha k**a classmate wako? Nikacancel mpesa sikua nimetuma. Nikamwambia boss,sauti iko juu, she doesnt like that high volume,ikiwezekana punguza ama uzime umfikishe then ukirudi unaeza weka hizo makelele zako.. I literally told him "makelele zako" πŸ˜‚πŸ˜‚

Wah! Si jamaa amejam,akasema basi acha ikae mnadhani nyi ndio wateja pekee,mi nikamwambia yoh, acha drama mob,unabeba ama hubebi na k**a unabeba sauti nop! Akaweka kick ile ya kupack motorbike,so nikaambia the next guy si wewe utupeleka? Pia akakataa akasema ni shift ya huyu wa sauti so haezi mruka.

Mungu naye ni nani,I was to pay 150 nikaona pikipiki ingine inakuja nikazimamisha (Hapa watu wako single watadhani nilisimamisha msimamo wa injili ya Yuda akitaa kuhubiria watatakatifu katika shimo la Hekalu la Mungu)

This other guy,si wa hii stage,so k**a kawaida nikaitisha number,yake haina sauti actually ni zile za stima so no sauti at all.

Nikamuuliza pahali fulani ni how much,yeye hajui sio akauliza this other guy wa stage,guess alimwambia nini "ni chwani bro"

I was surprised kiasi ju wao hubeba na 100..but jamaa akakubali chwani. Ndio nikasirishe hawa washenzi wawili, I paid the guy 350,he thanked me na akabeba mamaa, sasa huyu wa kelele amejam,shida tu haezi nipiga ju nimekua na my wifeπŸ˜‚πŸ˜‚

Watu wa boda, msidhani kila mtu hufurahuia mkiwa na masauti kwa mapikipiki mkiimbisha manyimbo za kifala!

Future president making history
03/07/2025

Future president making history

ππ„π„πŒπ€ πŸ‘π‘πƒ π‰π”π‹π˜ π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒 𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟏 Mark ameletwa out lakini anashangaa sana kuhusu Eddy,hadi anauliza akina Rachael n...
02/07/2025

ππ„π„πŒπ€ πŸ‘π‘πƒ π‰π”π‹π˜ π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒
𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟏
Mark ameletwa out lakini anashangaa sana kuhusu Eddy,hadi anauliza akina Rachael na Amani how Neema managed kuishi na yeye for all those years lakini Amani hataki hivyo hadi anaambia babake,Neema sai anasort out her family issues.

Val ametafuta mamake hampati hadi akacall babake akamwambia nishatoka police but I have a bad feeling kuhusu madhe...Kumbe Sharon baada ya kufaint,ndio aliokotwa akafendikia hosi,anaekwa maji.

Tufike kwa Eddy,Neema na Ian..therapist aliwaambia issue ya Ian ni kawaida tu,wasishtuke saana but shida ni,Neema anashindwa mbona Ian aongee na imaginary friend lakini therapist akamwambia shida ya Ian ni ju ya abuse he is going through... "ati abuse", Neema wakashtuka,which abuse yenye Ian anaenda through?

Huku kwa Rachael nakwo,aliboeka kuskia Mark akiongelea Ian kila saa hadi akaamka akaenda. Amani akauliza babake,why dont you for once care about my mum's feelings. Mark anashindwa kwani amekosea wapi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Amani yeye anataka tu babake na mamake warudiane.

Therapist alielezea Eddy na Neema,akawaambia issue ya Ian iko affected na stress diorder caused by abuse mara tatu,ya kwanza kupotea kwa babake na ya pili kuona mamake kuwa sad for a long time na ya mwisho kuona babake amerudi na still hawaishi pamoja. Sikiza, Ian ako affected ju ya kukosana kwa wazazi wake,kwanza wakati Eddy alipotea Ian was affected hajui babake ako wapi...tena along the way Neema was soo stressed sana,na Ian kuona hivyo he was affected sana na mwisho hata after babake kurudi,still hawaishi pamoja so anapata stress sana na ju mtoto haezi ongea,inamuaffect hadi anaanza kuchizi. Mnaona sasa wazazi kukosana venye inaeza affect mtoto wenu so please,wazazi wenzangu,tafadhali rudiana na baby daddy before mtoto wenu awe affected. Sawa Pauloh?

Turudi kwa Mark, Amani aliambia wazazi wake niko na two goals,moja kuwa major photograph na ya pili,kabla Amani hajasema ya pili akakumbuka ile siku venye Jojo alimhug so hakusema ya pili aliwaambia ni secretπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Amani anampenda Jojo.

Kumbe Jojo pia ashaanza kuingiwa na feelings za kumpenda Amani,kwanza venye ameona Jayden ameshift focus kwa Melissa ameona yeye pia acha ampende Amani,alah!

Eddy aliuliza Therapist ndio Ian awe sawa solution ni gani,Therapist akamwambia ni warudiane,wakae pamoja k**a familia. Eddy akaambia Neema unaona..nimeishi kukuambia ona sasa but Neema akamwambia nini "says a man who left me for another woman" πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟐
Neema washamaliza session na Eddy akasuggest waende lunch pamoja but Neema akaambia ian twende tukule nyumbani. Eddy akamwamboa aah my wife,twende tuspend time pamoja k**a familia. Neema anaboeka but hataki kuonyesha mbele ya Ian πŸ˜‚πŸ˜‚

Kumbe Rachael anakuanga mwandishi hata kuna novel ameandika kuhusu mapenzi yake na Mark,something that Mark hakua anajua.

Neema ako out na baby daddy na Ian, Mark ako out na baby mama na Joseph mtoto wao. They seen happy wakiwa tu hivi for the sake of their kidsπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Joseph alipigiwa simu na Jojo yafaa wameet so akaacha Mark na Rachael wakiwa pamoja.

Sasa Dancan na yeye,wacha akuje apate Neema amekaa na Eddy na Ian wakiwa na furaha na saa hizo yeye alifukuza bibi yake,hadi akasema enyewe hangemfukuza. Akacall Val stil clue ya Sharon hawajui aliko,hawana habario ako KNH amelazwa.

Amani alikuja akameet na Jojo na wakaongea kuhusu issue ya Mark kushikwa hadi Amani akauliza Jojo,do you think my dad can kill your dad?> Jojo akasema zii,Mark hakuangi hivyo but Amani akamuuliza first time tukimeet hukua unapenda Mark what changed? Jojo akamwambia ni venye alikua tu selfish those days.

Amani anaangalia Jojo na macho iko very suggestive.

Sasa Eddy anaambia Neema warudi nyumbani ju daktari alisema yafaa wawe nyumbani lakini Neema akamwambia by now yafaa uwe unaota..we can be meeting lakini mimi kurudiana na wewe sahau mzeeπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

𝐏𝐀𝐑𝐓 πŸ‘
Wajanja wanaFile returns say before 5TJULY ndio watolewe penalties for free. Iam doing Nil at 100 per year and ITR at 200 per year. Whatsapp now on 0759325270.
For SHA kupunguza premium napunguza from any figure upto 6000, wale wa 7200,7800,9000,10200,12360 or more mnitafute tuchape kazi. Charges naweka kwa comments hapo.

ππ„π„πŒπ€ πŸ‘π‘πƒ π‰π”π‹π˜ π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒 Therapist alielezea Eddy na Neema,akawaambia issue ya Ian iko affected na stress diorder ...
02/07/2025

ππ„π„πŒπ€ πŸ‘π‘πƒ π‰π”π‹π˜ π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒
Therapist alielezea Eddy na Neema,akawaambia issue ya Ian iko affected na stress diorder caused by abuse mara tatu,ya kwanza kupotea kwa babake na ya pili kuona mamake kuwa sad for a long time na ya mwisho kuona babake amerudi na still hawaishi pamoja. Sikiza, Ian ako affected ju ya kukosana kwa wazazi wake,kwanza wakati Eddy alipotea Ian was affected hajui babake ako wapi...tena along the way Neema was soo stressed sana,na Ian kuona hivyo he was affected sana na mwisho hata after babake kurudi,still hawaishi pamoja so anapata stress sana na ju mtoto haezi ongea,inamuaffect hadi anaanza kuchizi. Mnaona sasa wazazi kukosana venye inaeza affect mtoto wenu so please,wazazi wenzangu,tafadhali rudiana na baby daddy before mtoto wenu awe affected. Sawa Pauloh?

02/07/2025

Iam confused! I travelled to Busia last week I wanted to cross to Uganda but kufika Busia nikakumbuka sina ID..

So I requested ID kutoka home niletewe k**a parcel,.which they did and as I type,nimepata notification kuwa my parcel imefika booking office niende nichukue na wameeka clear instructions hapo,nitembee na original ID.

Nikaona ju ni ID nimeenda kuchukua,acha nijipeleke tu mzima mzima.

Iam now stranded kwa booking office,wanataka waone ID yangu ndi nipewe packlage yangu na package yangu ni ID yenye niliitisha kutoka nyumbani πŸ˜‚πŸ˜‚

Huyu ameuliza sasa atajuaje ni mimi bila ID nimemwambia si ufungue parcel uangalie ndani ni ID akaniambia haezi fungua k**a hajaona ID yangu na majina zenye ziko kwa parcel.

Nimetoa simu nikamuonyesha majina zangu za FB akasema majina ziko sawa but hayuko sure k**a hiyo account yangu ya fb ni yangu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Long story short,nimemwambia achukue ile number iko kwa fb bio acall aongee na mwenye hiyo number ananijua na amekua mzuri akachukua number akacall and guess nani alisema Helloooo....yes ndio akanipea parcel yangu ambayo ni ID πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

ππ„π„πŒπ€ πŸππƒ π‰π”π‹π˜ π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒 𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟏 KRA Filling dateline pushed to 5th JulyAha! Jojo alikua anaenda kuoga akapata Aman...
01/07/2025

ππ„π„πŒπ€ πŸππƒ π‰π”π‹π˜ π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒
𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟏 KRA Filling dateline pushed to 5th July
Aha! Jojo alikua anaenda kuoga akapata Amani ndio anaenda kuoga but Jojo anafeel mbona Amani anabehave hivi,hadi akamuuliza is everything ok? Amani badala ya kumjibu akamwambia "enda uoge kwanza mimi nitaoga ukimaliza" he didn't answer the asked question.

Kwa Sharon nyumbani,ishafika morning,hadi Val akamuuliza babake,unadhani madhe alienda wapi ju hata hana simu,hakua na anything? Dancan akamwambia huyo hajaenda mbali lazima tu ako hapa kwa Isabelle..makosa sana! Wakijua penye Sharon ako!

Tufike kwa Mark,alimcall Jayden akamwambia its true,niliona zile picha za Jojo na hakua venye ulidhani,na nishaongea na Amani nimemwambia akae mbali na Jojo..Jayden akamwambia ni sawa uncle Mark,thanks but Mark akamwambia kitu moja,tafadhali punguza hasira zako.

Eddy furaha si furaha anajua soon anawin kesi ya Ian na kazini kazi inaende vizuri sana,ako na lawyer mzuri hadi anacall mtu anamwambia prepare nyumba vizuuuri familia yangu inakuja soon πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Haya! Leo ni Rachael ameamka kuunda break hadi Mark akakuja akampata jikoni so ikabidi wasaidiane kuunda breakfastπŸ˜‚πŸ˜‚ona hadi venye wanacheka k**a Yesu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Baadaye,Jojo alikuja kwa Jayden kuhusu same same thing na Jayden anamwambia shida yako huniambii unapata nashtukia tu hadi kitambo before Amani akuje ulikua unaniambia kila kitu but sai najua tu mwisho mwisho. All in all Jayden was sorry but akiwa hapo akatumiwa message,akasoma na akaambia Jojo nakimbia shule tutaongea..Jojo akashindwa,kwani ni nani amemtumia messageπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Val ameenda kwa Isabelle mamake hayuko. Punde si punde, Eddy akamcall Dan akamwambia yoh yafaa uwe kazini sikuoni,Dan akamwambia nakuja sai sai kisha akamuuliza k**a Sharon ako huko kwake but Eddy akamwambia zii.

Val ndio wasiwasi inatanda sasa,mamake yuko wapi. Dancan ashamake up mind hata Sharon akirudi lazima atamdivorce.

Sasa sikiza hapa,kuna makosa ilifanyika! Rachael akiwa jikoni na Mark wanapika breakfast,Rachael akamuuliza Mark,ushawai fikiria maybe one day tungekua a lovely couple,or something ama ufikirie maybe bado unanipenda? Kabla Mark ajibu,na hapa ndio makosa imefanyika,kabla Mark ajibu,kumbe Neema alikua anakuja akasikia lile swali Rachael amemuuliza Mark,so akasimama kusikia Mark atasema. Mark akaambia Rachae of course I do na najua tungekua a lovely couple,sasa Neema kusikia hivyo,akaona maybe Mark bado anampenda Rachael so akafanya nini akarudi kwenye alitoka lakini makosa ni Mark hakua amemaliza kuongea,aliendelea kuambia Rachael, "but that was past for now niko na Neema na nampenda sana" shida ni Neema mwenyewe ashaenda so hakusikia Mark akiambia Rachael venye anampenda yeye k**a NeemaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚sasa Neema ameenda akidhani Mark bado anampenda Rachael but hakungoja kusikiza full statement ya Mark akisema venye anampenda Neema. waawa! Hii hata my wife pia hangengoja nimalizie πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟐
Neema alijam sana.

Neema kukuja kwa room yake,akasikia Ian anaongea na mtu kuingia,hakuna mtu! Hadi akamuuliza kababaa,unaongea na nani? Ian akamwambia naongea na rafiki yangu hapa..Neema akajua mara moja Ian is hallucinating....

Neema alitafuta simu akamcall daktari mbio akamwambia mtoto wangu anaongelesha kitanda sijui kutakuaje. Mark anauliza Neema shida ni nini but Neema hataki kuongea na yeye ju amesikia akiambia Rachael bado anampenda,lakini punde si punde, wakabishiwa mlango na karao.

Mark ndio alikuja kufungua akapata ni police akaambiwa umeshtakiwa kwa kuithreaten Mr Eddy and you are under arrestπŸ₯ΉπŸ₯ΉπŸ₯ΉMark akaekwa ndani.

Kumbe Sharon,manze alifanyiwa kitu mbaya sana alikua anajaribu kutembea akaanguka akafaint. Makosa sana.

Val alikuja kwa Babu Jay kuuliza k**a ameona mamake but Babu Jay akamwambia hana idea na akamwambia huyo mamako alikua amepita mipaka sana.

Sasa cheki,Jayden aliacha Jojo akakuja shule,wacha sasa pia afike shule apate mwenye alimwambia ako na shughuli amesimama na Melisa wanapiga story wakicheka k**a yesu na MagdalenaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Jojo ndio haamini,.

Jojo akaamua kumpima Jayden,anamuona ndio akachukua simu akamcall,akamuuliza uko free sai ama uko busy? Jayden akamwambia sai hata niko class,niko busy sana tutaongea baadaye bye na Jayden akakata simu...huh! Jojo alishindwa sana unasema uko na classes na wewe ndio huyu nakuona hapa na Melissa mnacheka cheka πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Mark yuko ndani,lawyer wake Richard amekuja. Mark alieleza kila kitu venye kilifanyika na akamwambia ni hasira alikua nayo. Karao alielewa na akaachilia Mark.

Huku nje, Amani na Rachael wamengoja Mark wakamwambia k**a wanaeza mpeleka out but Mark akawaambia aambie Neema kwanza but Amani akamwambia zii si lazima ajue tunaeza enda tu...

Neema ako na Ian na shida ni Ian ameanza kuchizi,hadi anaongea peke yake. Ian anacheka peke yake akijiongelesha na mtu hayuko. Hii inamshtua sana Neema.

Eddy amejam sana anauliza Neema kuliendaje hadi mtoto wangu anahallucinate? Neema akamwambia ni ju ya trauma..Eddy akamwambia unaona,ju unakaa na mtu jambazi mwenye alitaka kuniua..Neema akamwambia you deserve it,kwanza hata angekugonga hii kichwa Yako inakaa mandazi ya Pipeline.

𝐏𝐀𝐑𝐓 πŸ‘
Good News iam now doing KRA Fillings
Nil at 100 per year
ITR at 200 per year

Get in touch anytime from now!

whatsapp number 0759325270

SHA services also available,reductions nafanya anytime. Minimum reduction ni hadi 6000 per year or 500 per month.

01/07/2025

Presenter Kai has suffered πŸ˜‚πŸ˜‚I was listening to this conversation hapo Radio 47, wanauliza mbona Kai anapost akiwa na my wife kwa beach alafu my wife anapost akiwa peke yake same place πŸ˜‚πŸ˜‚

Yani,si I guess wife ameona hubby ashapost wakiwa wawili so yeye appost akiwa peke yake ama Radio 47 wanajaribu kusema nini πŸ˜‚

I dont see any problem ukippst ukiwa na mpoa wako alafu yeye ajipost akiwa same place na wewe but akiwa peke yake,it happens.

Just like upeleke dem date mkule vizuri,alafu apige picha ya chakula apost but kwa picha akucrop wewe usionekane,haimaanishi hakupendi,she just dont want to make other her man to feel pain! Wait what did I say? Keyboard error!

Address

Nairobi

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Nandwa Isaac. posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share