
04/07/2025
πππππ πππ ππππ πππππππ πππππππ
ππππ π
Woiye Rachael,bado kanamfenda Mark anamuuliza surely Mark,mbona unataka tu kutupoa hii love tulikua nayo,we can rudiana but Mark alimwambia sikiza,nakuelewa sana but mapenzi si kitu ya kuforce,iam already in love na mtu mwingine and that doesn't change. Inauma ndio but Rachael atafanya aje sasa,it is what it is.
Neema walirudi nyumbani na kuhusu Ian akaambia Isabelle daktari amesema its normal na tushajua penye kuna shida so we are working to solve it.
Isabelle akauliza Neema,si ulisema Mark ameenda lunch na familia yake na sai hawajarudi mbona hauna wasiwasi? Neema akamuuliza mbona? Isabelle akamwambia umesahau,nilikuambia Rachael bado anapenda Mark but Neema akamwambia hana insecurities na Mark.
Kumbe sasa, Jojo na Amani walikuja kuconfront Eddy, Jojo akauliza Eddy,ulifanya nini kuweka Mark ndani? Eddy akamwambia maybe tuongee tukiwa peke yetu but Jojo akamwambia huyu ni Joseph mtoto wa Mark. Eddy akajitetea akaambia Jojo uliona venye alinivamia lakini Amani akamwambia yoh! I know my dad haezi fanya kitu k**a hiyo. Eddy ak**abia Amani an wewe kijana unyamaze ama nikusalimie saiπππ
Jojo aliambia babake aache kujaribu kuhurt mamake kwa kutumia Ian but Eddy akamwambia I can stop but go tell your mum yafaa turudiane k**a familia. Jojo akamwambia ni sawa but only if you will drop charges za Mark but Eddy alikataaππ
Waaaawa! Rachael Mapenzi si mapenzi na mind you leo hii wameshinda out hadi sai ni 8pm wakiwa tu wawili.hawajaenda nyumbani bado. Rachael anaambia Mark venye aliishi kumtafuta and lastly akimpata anapata ako na mtu but Mark akamwambia I will always be greatful kwa kusave maisha yangu na kuraise mtoto wetu lakini hapo kwa kurudiana kiasi naona maybe utarudi tu MombasaπππMark anampenda Neema hadi anaambia Rachael open,nampenda Neema na yeye ndio kipenzi changu. P for Perid.
Sasa wacha Jojo na Joseph warudi nyumbani peke yao,Neema akauliza Amani,si mlitoka na wazazi wako mbona umerudi solo? Amani akasema niliwaacha wakiwa peke yao wakishikana shikanaπππwaaaawa!
Tufike hosi, its day 2, Sharon hajapata nafuu,imebidi hadi watu wa hosi waite polisi kuwaeleza kuhusu huyu mama mwennye hawajui anatoka wapi. Polisi wakachukua details zao.
Ndio Mark na Rachael wanaingia,kisha Rachael akaaambia watu anafeel sana kuchoka anataka kuenda kulala...Mark kujaribu kukaa na Neema, Neema akaamka akaenda,amebonda mbayaπ€£π€£π€£
ππππ π
Mark alikuja akauliza Neema, mbona unakaa kujam jam? Neema akamuuliza sai ndio unarudi nyumbani na baby mama? Mark akamwambia come on,nimekua police station after kupelekwa na baby daddy wako hata huwezi nicall kunijulia hali? Neema akamwambia nilicall Joseph akasema uko busy na Rachael ningedu? Mark akamwambia come on, Rachael amekua huko ju nilikua nimeshikwa tutatoka tukaenda kubuy coffee,shida iko wapi? Neema was like ooh,eeeh,coffee sindioπ€£π€£π€£mapenzi wewe
Amani alikuja kuuliza mamake k**a wanarudiana na Mark but Rachael akamwambia zii,Amani akamuuliza mum huu muda woote unataka kusema hakuna kitu ya muhimu mumeongea wajameni? Rachael akamwambia tumeongea na nimeelewa,haturudiani na yeye,he already love Neema.
Neema alifunguka kwa Mark,akamwambia daktari amesema,yafaa arudiane na Eddy ndio Ian awe sawa..Mark akaboeka,akaambia Neema so hivi ndio ilikua iende,utaenda kukaa na yeye sindio,so Eddy wins? Neema akamwambia zii,mimi siezi ishi na Eddy, unless unataka niende ndio ubaki na Rachael? Mark akamwambia zii,nakupenda wewe na nataka kuishi na wewe,,Neema pia akamwambia siezi kaa bila wewe,nakupenda sana.
Huh! Kumbe Neema amenotice sikuhizi Jojo na Amani wako very close but Mark akamuuliza Neema kwani ndio umenotice? Mark akaambia Neema sikiza, Amani loves Jojo but nilimwambia asiwai funguka kwa Jojo ju italeta shida...Neema alishtuka sana,hadi akauliza Mark,what if wafall in love kutaendaje? Mark akamjoke akamwambia imagine wewe na mtoto wako mumetughoroka hatuezi ishi bila nyinyi π€£π€£
Val alipigiwa simu,akaambiwa mamako amepatikana na amefanyiwa surgery. Val akauliza surgery gani tena? Akaambiwa akuje ajionee.
Huh! Kwa Mark,Jayden alikuja kuona Jojo lakini makosa ni wakati Jayden amekuja,kumbe Jojo ametoka na Josephπ₯Ήπ₯Ήπ₯ΉJayden aliboeka sana.
Rachael alipigiwa simu na ex hubby akamuuliza si yafaa usign documents za kutransfer shares mbona hujasign? Rachael akamwambia sikiza, hakuna documents nasign ju hata hiyo kampuni ni babangu alikuachia,so hakuna kitu nasign hapo shares zangu zinabaki hapo. wah! Hali ya taaruki sasa.
ππππ π
Nikimalizia maliza only 2 days remaining to deadline ya kuFile returns for free waiver,after hapo filling itakua but utakua na deni. If I were you,ningetafuta Nandwa on 0759325270 afile before 5th July.
Wale wa SHA premioums k**a uliekewa more than 550 per month ama 6600 per year I do reduce down to 6000 ama 500. Number ni hiyo hapo njoo tuchape kazi.