15/09/2025
πππππ ππππ ππππ πππππππ πππππππ.
Its another week! Show some love guys! Usipite hii
ππππ π
Yani Jojo anawatch ile interview ya Jayden anakosa kuamini,kwanza pale pa wazazi walikufa,na hata dem yake akamtoka. Ilimguza kiasi Jojo ππPunde si punde, Amani akapigiwa simu na Naomi,ikabidi ametoka nje kiasi kushika simu.
Hata hakutoka nje alikuja akajifungia kwa room. Naomi akamwambia wee kijana hunijui wewe,iam getting tired na sasa nitafanya kitu. Amani akamwambia relax,si hivyo,nipe time. Kumbuka, Amani ashaongea na Karen so Karen yafaa acheze kiyeye. Naomi alimthreaten Amani,akamwambia nik**a hunijui wewe,kesho by 1pm k**a hujanitumia,utajua mimi ni kusema nini πππ
Mark pia amewatch ile video anasema apana,this cant be Jayden,something lazima ni wrong about him/. Mark alijaribu kucall Jayden,ako mteja,ikawa sasa akesho arauke kumtafuta.
Jojo alikuja kulala but deep down anafikiria tu Jayden venye aliongea kwa ile video.
Val alikuja akatafuta mamake,akamwambia unajua nini,dad ameenda,amesema anataka kukupa nafasi ju amekua akikusumbua sana,so tunaeza rudi home. Sharon akamuuliza ameenda wapi? Val akamwambia ameenda ushago,anataka tu kukupa nafasi. Sharon anashindwa mbona aende k**a hatujaachanaππππ
Huh! Mambo yanazidi kuharibika kiasi upande wa Mark. Kuna venye wakikunywa chai,Neema hana appetite,hadi Babu Jay akamwambia Neema tulia,yenye imetokea ishatokea na ni mipango ya Mungu. Neema hana happiness kwa uso wake,in as much Mark amefurahia,Neema ako stressed sana. Babu aliwaambia sijui k**a mtawed sasa ndio at least mambo iende sawa before tumbo hakajatokelezea. Mark aliambia Babu yeye hana shida hapo but angalia,Neema not at peace.
Babu alimuuliza Neema k**a kuna kitu kinaeza zuhia but Neema akamwambia hii watafikiria baadaye. Kuna kitu Neema anajua but Mark hajui ati Neema anajua.
Val na Sharon washafika home. Sharon alitaka tu Dancan amtoke kwa mind. Punde si punde, Val akapigiwa simu,akaambia unajua aje,Jayden ako Kenya na sikuhizi yeye ni tiktok dancer. Val akaitisha ile video ajionee. Sasa sikiza,video akina Mark waliwatch ni ya Jayden akifanya interview,lakini Val yenye ametumiwa,ni Jayden akiwa mlevi, Amelewa,mbaya mbovu,hadi anaanguka kwa mtaro. Val walibaki wakiwa wanashangaa tu,iweje Jayden ameanza kulewa? Tutakuja kujua!
ππππ π
Ile video ya Jayden akiwa amelewa,ikatumiwa Mark pia na Val. Mark hakuamini. Jojo alikua hapo akaona Mark akiwa ameshtuka,pia akapewa ile video akawatch. Wanashindwa sana kuna nini. Val alimcall Mark akamuuliza kwani Jayden hakuenda majuu? Mark akamwambia pia wanashtuka tu na anataka kuenda kumtafuta.
Sharon alisema lazima huyu amerogwa ππ
Mnakumbuka kuna jamaa alitaka kulipwa na Naomi after Vinny kufanya kazi chafu ya kujaribu kuua Mark but alikua akampata Karen. Sasa huyo jamaa huwa anadhani Karen ni Naomi but Karen anataka tu kupata info zote.
Mark na Babu Jay walitoka kutafuta Jayden at least wajue kuna nini and yeah,walitrail wakapata penye Jayden ako.Alipata wanadance huku mbaya,wako zoezi.
Karen aliingiza huyu jamaa box hadi akaambiwa umesahau kuhire Vinny amuue Mark. Hapo ndio Karen akajua ooh,so kumbe ni hivi.
Jayden kumaliza kudance, huwa anakunywa pombe hapo kando. Punde si punde,akasikia anaitwa na Mark. Anawajua vizuri sana hadi anauliza akina Ian na mpoa wake wako aje...wakamwambia wako sawa.
Babu Jay akamwambia Jayden,tuko hapa ju tuko worried,mbona sikuhizi unakunywa? Jayden akawaambia relax,wazae,mimi niko sawa,na niko chonjo kabisa. Jayden akawaambia sikiza, unajua nina mauradi zangu,na nyinyi ni wazee,mimi ni Gen Z,so acha niende nipige wera zangu. Mark akamuuliza unakaa wapi? Jayden akamwambia si umenitrace ukanipata,ukitaka kujua penye nakaa,nitafute tu tena utajua. Kisha huyoo,Jayden akaenda.
Weuh! Kumeharibika mara moja,kuna new number ilitumia Jojo na Neema message,na akamwambia sikizeni,mimi ni Molly and Mark and I tuko in love,na hajai penda mtu mwingine venye alinipenda. Kisha kwa text Molly akaambia Neema sikiza,just because uko ball haimaanishi now you have Mark,Mark ni wangu and nothing will separate us.
Jojo alikuja mbio kuuliza mamake,lakini kabla Neema hajajibu,Mark na Babu wakafika. Mark kufika,akaona mood ya watu hapa,si poa. Jojo akamuuliza,are you cheating on my mum with Molly? Mark akashtuka! Babu Jay pia alisoma ile text akashtuka sana.
Lakini mmeshindwa,mbona Molly atumie Jojo na Neema such text? Of course she cant text such,kwa nini? Kwa sababu,mwenye ametuma hii text si Molly,ni Naomi,aah! Makosa. Naomi anataka tu kusambarika huu uhusiano.
Mark kuona hivyo,alitoka mbio kutafuta Molly,utaniambia.
On other side,Amani alifika na bag full of money,15million in cash. Naomi alienjoy sana,akafungua bag kuona million kumi na tano,lakini kufungua bag,badala ya million akapata ni maharagwe ya wairimu iko hapo ndani. Akauliza Amani huu ni upuzi gani,pesa ziko wapi,naona tu maharagwe hapa? Amani akamwambia yeah,thats what you deserve πππNaomi pia akachezwa na Amani.
Hadi kesho wakuu,tutaonana.