Tupo News

Tupo News Tupo News KE | Ambapo Ukweli Unatangulia. Wazi / Haraka / Halisi. Tunakuletea Vichwa Vya Habari
Tuko nawe kila wakati.

(5)

Tunakuletea habari za dharura, hadithi za kusisimua, na sauti zenye nguvu zinazobadilisha Kenya, Afrika na zaidi.

Crowds Unmoved as Teargas is Fired Moments Before Sifuna Addresses Rally
21/02/2026

Crowds Unmoved as Teargas is Fired Moments Before Sifuna Addresses Rally

Babu Owino and Edwin Sifuna in a procession with supporters arrive in Kakamega for their Linda Mwananchi tour
21/02/2026

Babu Owino and Edwin Sifuna in a procession with supporters arrive in Kakamega for their Linda Mwananchi tour

Officer's Christmas celebration in office
25/12/2025

Officer's Christmas celebration in office

Ghana's self proclaimed Prophet Eboh announced the world would end on Christmas Day through raging floods, so people pac...
25/12/2025

Ghana's self proclaimed Prophet Eboh announced the world would end on Christmas Day through raging floods, so people packed everything and took kids to the Noah-like arks he built

By Christmas 2027, the slow-moving jam at Rironi will be a memory, not a routine - PS Raymond Omollo
25/12/2025

By Christmas 2027, the slow-moving jam at Rironi will be a memory, not a routine - PS Raymond Omollo

01/12/2025

President Ruto assists police family to move into the new National Police College Embakasi 'A' Campus Housing

Rais Ruto aongoza mahafali ya machifu na manaibu machifu 1,837 katika Chuo cha Kitaifa cha Polisi, Embakasi; jumla ya 5,...
01/12/2025

Rais Ruto aongoza mahafali ya machifu na manaibu machifu 1,837 katika Chuo cha Kitaifa cha Polisi, Embakasi; jumla ya 5,892 wamepata mafunzo tangu mwezi wa Agosti.

UCHAGUZI MDOGO MBEERE KASKAZINI:Justin Muturi alipiga kura katika kituo cha kupigia kura cha Shule ya Msingi Kanyuambora...
27/11/2025

UCHAGUZI MDOGO MBEERE KASKAZINI:

Justin Muturi alipiga kura katika kituo cha kupigia kura cha Shule ya Msingi Kanyuambora


Upigaji kura ulianza saa 12:00 asubuhi leo katika Eneo Bunge la Magarini, Kaunti ya Kilifi. Vituo vya kupigia kura vilif...
27/11/2025

Upigaji kura ulianza saa 12:00 asubuhi leo katika Eneo Bunge la Magarini, Kaunti ya Kilifi. Vituo vya kupigia kura vilifunguliwa kwa wakati, na shughuli ya upigaji kura imekuwa ikiendelea hadi sasa.



UCHAGUZI MDOGO WA MAGARINI  Mapema asubuhi katika kituo cha kupigia kura cha Mapimo, Magarini, wapiga kura walikuwa waki...
27/11/2025

UCHAGUZI MDOGO WA MAGARINI
Mapema asubuhi katika kituo cha kupigia kura cha Mapimo, Magarini, wapiga kura walikuwa wakihakiki taarifa zao kwenye daftari la wapiga kura kabla ya kuanza rasmi kwa zoezi la upigaji kura.


Moto Mkubwa Wateketeza Majengo ya Makazi Hong Kong, Waua Watu 13Watu wasiopungua 13 wamefariki dunia Jumatano baada ya m...
26/11/2025

Moto Mkubwa Wateketeza Majengo ya Makazi Hong Kong, Waua Watu 13

Watu wasiopungua 13 wamefariki dunia Jumatano baada ya moto mkubwa kuzuka katika eneo la makazi la Tai Po, Hong Kong. Mamlaka za eneo hilo zimeripoti kuwa moto huo, ulioathiri majengo kadhaa, uliendelea hadi jioni huku wazima moto wakihangaika kuudhibiti. Moshi mzito mweusi ulionekana ukitoka kwenye minara ya ghorofa 31 inayohifadhi zaidi ya nyumba 2,000.

Mkutano na Wanahabari wa Upinzani: Muungano wa Upinzani umeishtumu serikali ya sasa kwa kujaribu kupindua matakwa ya wan...
26/11/2025

Mkutano na Wanahabari wa Upinzani: Muungano wa Upinzani umeishtumu serikali ya sasa kwa kujaribu kupindua matakwa ya wananchi katika chaguzi ndogo zitakazofanyika Novemba 27, 2025, kwa madai ya vitisho, hongo, na dosari katika mchakato wa uchaguzi.

Address

Nairobi

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Tupo News posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share