UNCLE VINNY

UNCLE VINNY UNCLE VINNY NEWS ni ukurasa wa Facebook unaokuletea habari za dharura na taarifa za papo hapo πŸ”₯πŸ“°. Na kumbuka β€”taarifa zetu zote zinawasilishwa kwa Kiswahili

Tunafuatilia kwa ukaribu matukio ya eneo la EAC pamoja na habari muhimu kutoka duniani kote 🌍✨.

🚨 HABARI MPYA 🚨amefariki dunia siku ya Jumamosi akiwa hospitalini mjini La Haye, nchini . πŸ•ŠοΈKabuga alikuwa akishtakiwa k...
16/05/2026

🚨 HABARI MPYA 🚨
amefariki dunia siku ya Jumamosi akiwa hospitalini mjini La Haye, nchini . πŸ•ŠοΈ
Kabuga alikuwa akishtakiwa kwa makosa yanayohusiana na Mauaji ya Kimbari dhidi ya Watutsi mwaka 1994. Kesi yake ilikuwa imesimamishwa kutokana na hali yake ya afya. βš–οΈ

16/05/2026

Shout out to my newest followers! Excited to have you onboard! Modise Dineo, Vinnie Bett

14/05/2026

This is happening at Kilimani Nairobi ,mtu huchinjua k**a mnyama.

13/05/2026

I got over 700 reactions on my posts last week! Thanks everyone for your support! πŸŽ‰

Moran mmoja huko Kimana, Amboseli amejeruhiwa vibaya baada ya kukabiliana ana kwa ana na simba jike aliyekuwa akileta ho...
13/05/2026

Moran mmoja huko Kimana, Amboseli amejeruhiwa vibaya baada ya kukabiliana ana kwa ana na simba jike aliyekuwa akileta hofu kubwa kwa wakazi wa eneo hilo 😳
Kwa mujibu wa wananchi, simba huyo alikuwa tayari amemshambulia mchungaji mmoja na kuua mbuzi watatu πŸπŸ’” jambo lililowafanya wakazi kuishi kwa hofu kila siku.
Moran huyo aliamua kufuatilia simba huyo kwa lengo la kulinda jamii na mifugo kabla madhara hayajaongezeka πŸ™πŸ”₯ Lakini mapambano hayo yaligeuka kuwa mabaya na akaishia kupata majeraha makubwa 😒
Maisha ya watu wanaoishi karibu na hifadhi za wanyama si rahisi hata kidogo πŸ₯Ί Kila siku ni mapambano ya kulinda familia zao, mifugo yao na maisha yao.
πŸ’­ Maoni yangu: Serikali na mashirika ya wanyamapori wanapaswa kuongeza usalama na kutoa msaada kwa jamii zinazoishi karibu na hifadhi. Watu hawa wanabeba mzigo mkubwa sana kila siku πŸ™
⚠️ Je, unadhani nini kifanyike kupunguza migogoro kati ya binadamu na wanyamapori? πŸ‘‡
πŸ‡°πŸ‡ͺ πŸ™

08/05/2026

Ukiambiwa eti β€œBibi ya wenyewe ni no-go zone” unaelewa nini? πŸ˜‚
Jamaa huyu hapa aliliwa pua baada ya kujaribu kuiba mke wa mtu!

06/05/2026

With Boitumelo Lekalakala – I just got recognized as one of their top fans!

06/05/2026

Shout out to my newest followers! Excited to have you onboard! Koria Lok Esialai, Timothy Akwalu, Daudi Mweu, Muchaiwa Thuku, Baba Khailla, Robert Wangili, Semeon Semeon, Fahamueli Mkojera, Tony Pertet, Zablon Michael, Stanchei Kipkoech, Mtoto Wa Mjini, Elijah Eustus Njeru, Stephen Sila, Moffarash Simiyu, Peter Amagy, Lewis Charles, Antony Njane, Barnaba Mutai, Kinjekitile Ngwale, Chok Nyasaga Tajirichipukizi, John Maina, Jeff Wandiva, Leah Kimani, Banny Saad, Moses Ringui, Jim Mkenya, Levi Shiuma, Kenado Morgan, Charles Kinyua, Yohana Lishamba, Ismael Mutai, Mercy Osono, Charles Maina, Victoria Msagama, Albanus Ivui, Julius Mwangi, Joanes Nyagara, Samuel Munene, Janet Odera, Getrude Mtongolo, Wochuna Da Profesa, Kenkahi Kahi, John Johnte, Evans Maina, Bernard Mwenda, Lukas Mukonesi Wasike, Ezra Mbuthia, Simon Koech, Ndegwa David

πŸ”₯πŸ‡°πŸ‡ͺ AHADI NZITO NDANI YA MIEZI 6 TU!William Ruto asemaπŸ‘‡πŸ›£οΈ Ndani ya miezi sita β€” barabara itakuwa imekamilika!β›½ Ndani ya ...
05/05/2026

πŸ”₯πŸ‡°πŸ‡ͺ AHADI NZITO NDANI YA MIEZI 6 TU!
William Ruto asemaπŸ‘‡
πŸ›£οΈ Ndani ya miezi sita β€” barabara itakuwa imekamilika!
β›½ Ndani ya miezi sita β€” bei ya gas yashuka hadi KSh 500 ama hata KSh 300!
πŸ“± Ndani ya miezi sita β€” kila chifu apate tablet!
πŸ“Ά Ndani ya miezi sita β€” kila soko liwe na Wi-Fi!
πŸ€” Je, hizi ahadi zitatekelezwa kwa muda huo mfupi? Wakenya wasubiri kuona...

04/05/2026

Rais William Ruto ameongoza hafla ya kuapishwa kwa majaji wa Mahak**a Kuu, Mahak**a ya Mazingira na Ardhi, pamoja na Mahak**a ya Haki

Hii ndio demokrasiya au ni madharau?
02/05/2026

Hii ndio demokrasiya au ni madharau?

Address

Moi Avenue
Nairobi

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when UNCLE VINNY posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share