DARLY G KENYA

DARLY G KENYA Tv/radio presenter

News anchor

Voice over artist

Radio girl

Music producer

Advertise with us
(2)

04/11/2025

Bingwa. Hii Pesa Ya FB IsikuacheπŸ’°

Weka Page Yako Tukufollow πŸ‘‡πŸ”™

Mnataka saa ngapi hii credit
24/10/2025

Mnataka saa ngapi hii credit

Rip babaa
15/10/2025

Rip babaa

Familia kenya imepotezaWeka like na emoji ya kuliaTaja mmoja unajua tukisonga
15/10/2025

Familia kenya imepoteza

Weka like na emoji ya kulia

Taja mmoja unajua tukisonga

unatoa rambi rambi za baba Raila Omollo Odinga ukiwa wapi ... rest in peace πŸ•ŠοΈ
15/10/2025

unatoa rambi rambi za baba Raila Omollo Odinga ukiwa wapi ... rest in peace πŸ•ŠοΈ

15/10/2025
Which animals eats everything but when it drinks water, it dies?
14/10/2025

Which animals eats everything but when it drinks water, it dies?

Wanaume kwanini mnatuogopa wanawake wazuri😞
12/10/2025

Wanaume kwanini mnatuogopa wanawake wazuri😞

22/09/2025

With Jay S Wadhamas – I'm on a streak! I've been a top fan for 5 months in a row. πŸŽ‰

Ikiwa unahitaji kutumia muda wa maisha yako kuwa pamoja na yule mtu ambae umesema unampenda basi ni lazima uelewe kwamba...
12/09/2025

Ikiwa unahitaji kutumia muda wa maisha yako kuwa pamoja na yule mtu ambae umesema unampenda basi ni lazima uelewe kwamba si kila siku itakuwa nzuri kwenu. Zipo siku za migogoro, siku ngumu, siku za huzuni na shida pia.

Hivyo jifunze kusamehe na kusahau, mahusiano ni zaidi ya picha na zile romantic movies za kihindi na kikorea ambazo huwa unazitazama.

Mahusiano ni zaidi ya hadithi za Romeo and Juliet ambazo huwa tunahadithiwa, mahusiano ni zaidi ya tamthilia nzuri za kufikirika ambazo huwa tunazipenda na kuzitunza kichwani.

Mahusiano ni zaidi ya kiu za nafsi zetu ambazo huwa tunapata shauku ya kuzitimiza ili kumudu hisia. Mahusiano ni zaidi ya mategemeo yetu ambayo huwa tunayaweka juu ya mtu ili aje awe k**a tunavyodhani ..

Msione watu wanalia, msione watu wanajinyonga ukweli ni kwamba ikiwa hakuna atakaejua majukumu yake mbele ya mwenzi wake basi wote wataishia tu kulalamika na kulaani kizazi hiki. Kizazi ambacho baba na mama bado wapo kwenye ndoa ila binti/kijana wao tayari kashaenda kwenye ndoa tatu na kuachika.

Kwani mnahitaji niwape ushahidi gani wa kuaminika. Hamuoni hata wale ambao hawakuyafahamu mahusiano kwa kina walikimbilia kufanya *harusi* za gharama kubwa na mwishoe mikono yao ikaishia kusaini talaka kwa udhalili na uchungu mkubwa ???

Ugumu wa kuitwa mke/mume wa fulani ulianza pale walipomaliza Fungate 🀐

Ukweli tusioutilia maanani ni kwamba, harusi ni ya siku moja ila ndoa ni ya milele.

Hata hivyo kila tunda bovu hudondoka kwa wakati wake πŸ™ŒπŸ½ na adhana haina maana kwenye jamii ya viziwi 🦻 🀐

Ikiwa wewe hutajifunza kwa kuona mifano ya wengine, basi ipo siku wengine watajifunza kwa kukuona wewe mfanoπŸ™ŒπŸ½βŒ. Kuna maisha baada ya hizi (Nakupenda - nakupenda pia) ambazo huwa tuna

Karibu mdundo kwenye channel ya mafunzo na ushauri πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

https://mdundo.com/a/15130

Misemo ya hekima

30/08/2025

Hi everyone! 🌟 You can support me by sending Stars – they help me earn money to keep making content that you love.

Whenever you see the Stars icon, you can send me Stars.

Address

Nakuru

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when DARLY G KENYA posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to DARLY G KENYA:

Share