DARLY G KENYA

DARLY G KENYA Tv/radio presenter

News anchor

Voice over artist

Radio girl

Music producer

Advertise with us
(2)

22/09/2025

With Jay S Wadhamas – I'm on a streak! I've been a top fan for 5 months in a row. 🎉

Ikiwa unahitaji kutumia muda wa maisha yako kuwa pamoja na yule mtu ambae umesema unampenda basi ni lazima uelewe kwamba...
12/09/2025

Ikiwa unahitaji kutumia muda wa maisha yako kuwa pamoja na yule mtu ambae umesema unampenda basi ni lazima uelewe kwamba si kila siku itakuwa nzuri kwenu. Zipo siku za migogoro, siku ngumu, siku za huzuni na shida pia.

Hivyo jifunze kusamehe na kusahau, mahusiano ni zaidi ya picha na zile romantic movies za kihindi na kikorea ambazo huwa unazitazama.

Mahusiano ni zaidi ya hadithi za Romeo and Juliet ambazo huwa tunahadithiwa, mahusiano ni zaidi ya tamthilia nzuri za kufikirika ambazo huwa tunazipenda na kuzitunza kichwani.

Mahusiano ni zaidi ya kiu za nafsi zetu ambazo huwa tunapata shauku ya kuzitimiza ili kumudu hisia. Mahusiano ni zaidi ya mategemeo yetu ambayo huwa tunayaweka juu ya mtu ili aje awe k**a tunavyodhani ..

Msione watu wanalia, msione watu wanajinyonga ukweli ni kwamba ikiwa hakuna atakaejua majukumu yake mbele ya mwenzi wake basi wote wataishia tu kulalamika na kulaani kizazi hiki. Kizazi ambacho baba na mama bado wapo kwenye ndoa ila binti/kijana wao tayari kashaenda kwenye ndoa tatu na kuachika.

Kwani mnahitaji niwape ushahidi gani wa kuaminika. Hamuoni hata wale ambao hawakuyafahamu mahusiano kwa kina walikimbilia kufanya *harusi* za gharama kubwa na mwishoe mikono yao ikaishia kusaini talaka kwa udhalili na uchungu mkubwa ???

Ugumu wa kuitwa mke/mume wa fulani ulianza pale walipomaliza Fungate 🤐

Ukweli tusioutilia maanani ni kwamba, harusi ni ya siku moja ila ndoa ni ya milele.

Hata hivyo kila tunda bovu hudondoka kwa wakati wake 🙌🏽 na adhana haina maana kwenye jamii ya viziwi 🦻 🤐

Ikiwa wewe hutajifunza kwa kuona mifano ya wengine, basi ipo siku wengine watajifunza kwa kukuona wewe mfano🙌🏽❌. Kuna maisha baada ya hizi (Nakupenda - nakupenda pia) ambazo huwa tuna

Karibu mdundo kwenye channel ya mafunzo na ushauri 👇👇👇

https://mdundo.com/a/15130

Misemo ya hekima

30/08/2025

Hi everyone! 🌟 You can support me by sending Stars – they help me earn money to keep making content that you love.

Whenever you see the Stars icon, you can send me Stars.

24/08/2025

With Jay S Wadhamas – I'm on a streak! I've been a top fan for 4 months in a row. 🎉

NILIMKIMBIA KISA DUDE KUBWAMakubwa.........AKANIULIZA nitakunywa nini?nikajibu kwa mapoozi "soooda" huku narembua macho ...
30/07/2025

NILIMKIMBIA KISA DUDE KUBWA

Makubwa.........

AKANIULIZA nitakunywa nini?

nikajibu kwa mapoozi "soooda" huku narembua macho kwa utaratibu akauliza tena soda gani, nami kwa mapozi zaidi "soooda fanta PENSHENI"

Nilimjibu kwa mapozi…. Kistaarabu akaitikia,

"ok fanta PASSION? poa,.

Nikatoa simu yangu na kuanza kuminya minya.

waliponiletea soda kwa ubishoo nikauliza "mbona MLIJA hamjaniwekea?,

Nilimuuliza yule mudumu huku nambenulia midomo….,

Dada mhudumu akaniletea, nikaanza kufyonza "pryuuuuuuuuuuu"

Yule kaka akatazama k**a majirani wamesikia,

Akawa k**a anaona aibu.

Nikaendelea na yangu.

Baadae akanaiuliza “ naomba sasa tuongee vizuri, nikitaka kulala na wewe usiku mzima nikupe shilingi ngapi?",

Aliongea huku akiwa k**a ana aibu….,

Nikajua si mzoefu wa mambo yetu……

Nikajua nimepata fala….. Subiri nimchune….

Nikamtazama nami nikajibu……

"Jiue mwenyewe, sema una shilingi ngapi" huku narembua macho.

Akajibu… " ntakupa ishirini"

Nikajidai kumshangaa….

"khaa we vipi, (huku nikifyonza soda) kwani mi mwanafunzi? Ishirini ndio pesa gani?" "ok sema basi mi nitakupa unayotaka" "nipe laki na huduma yangu utaridhika mwenyewe"

"poa nitakupa hamsini kabla hatujaanza na hamsini tukimaliza sawa"

"we vipi? unafikiri nitakimbia?

toa cash bwana...

"Nikaongea huku najisogeza sogeza ayatazame maziwa yangu niliyoyaweka kimtego,akayatazama na kusema

"poa maliza soda twende" nikajiona nimepata!maana sikutegemea hata hiyo ishirini, huyu jamaa atakua katoka bara au labda pesa yake ya urithi hii, ngoja nikalichune.... Kufika gesti, nikamwambia pesa mbele, akatoa, kisha nikamwambia atoke ili nizifiche maana hawa jamaa hawaaminiki unaweza kuta usiku umelala anakuibia tena pesa aliyokupa,.

akatoka nikainua kitanda nikaziweka chini ya mguu mmoja kisha nikamwita,.

alipokuja ndio kazi ikaanza,.

nikavua nguo, alikua akinitazama kwa macho ya uchu sana...

Nikamchekea,.

nikamwambia njoo basi.....

Soma hii Story yote na bure kabisa,
Bonyeza hii link mdundo.com/a/188105



Darly G Kenya

Mke anasema:Baada ya kujifungua mtoto wangu wa kwanza, nilikwenda nyumbani kwa wazazi wangu na nikakaa huko kipindi chot...
30/07/2025

Mke anasema:
Baada ya kujifungua mtoto wangu wa kwanza, nilikwenda nyumbani kwa wazazi wangu na nikakaa huko kipindi chote cha siku arobaini.

Baada ya kumalizika kwa hizo siku arobaini, mume wangu alinipigia simu siku hiyo hiyo na akaniambia: "Nitakuja kukuchukua, kwa sababu nyumba haina thamani yoyote bila wewe."

Skiliza sauti hii mdundo.com/a/188105

Nikajaribu kumfanya aone k**a sijali sana, na dada zangu wanne ambao hawajaolewa walinishawishi nifanye hivyo. Nikamwambia: "Hapana, sitarudi nyumbani mpaka baada ya wiki mbili zaidi." (Haya yalikuwa ni maneno ya dada zangu na nilikuwa niliyasikiliza na kumuambia mume wangu).

Mume wangu alihuzunika na akajaribu kunishawishi, lakini nilikataa.
Siku iliyofuata alinipigia tena na kuniomba nirudi nyumbani, lakini nilisisitiza msimamo wangu. Baada ya hapo aliniacha, hakuendelea kuwasiliana nami wala kuuliza habari zangu.

Baada ya wiki mbili alikuja na kunichukua kutoka kwa wazazi wangu, akaniambia:
"Nimeoa mke wa pili na nimemweka kwenye sehemu ya juu ya nyumba yetu."

Nikajaribu kuzungumza naye lakini akaniangalia kwa hasira na kunikaripia:
"Ukihitaji kubaki kwa wazazi wako, baki. Na ukihitaji kuondoka nami, njoo twende."

Bila shaka nilichagua kwenda naye ili nimuone huyo mke wake wa pili na nilipize kisasi kibaya kabisa.
Nilipoingia nyumbani kwangu, nilihisi huzuni kali kiasi cha kuhisi k**a nitakufa, nikiwa nasikia harakati zake akipanda na kushuka na sauti ya visigino vyake ambayo ilinichoma masikioni na kuniuwa kwa uchungu.

Mume wangu alianza kupanda kwake mara kwa mara...
Kitu kilichouma moyo wangu zaidi na kufanya damu isimame kwenye mishipa yangu ni sauti ya visigino vyake yaani amevaa na kujipamba masaa 24 kila siku!

Baada ya siku mbili alikuja kwangu na akasema:
“Nimekuja kukuomba radhi. Nilifanya jambo hili kwa hasira na maumivu, kwa sababu nilikupenda sana, lakini ulinidharau na hukujali hisia zangu.”

Akaendelea kusema:
“Wakati nilipokuambia urudi nyumbani, nilikuwa ninahitaji uwepo wako. Lakini uliniambia usubiri wiki mbili zaidi… Sikuweza kuvumilia upweke, huzuni, na baridi ya nyumba bila wewe. Niliamua kumuoa mke wa pili si kwa sababu nilikuwa sitaki wewe, bali kwa sababu nilihisi sina thamani mbele zako.”

Kisha akaangalia chini na kusema:
“Lakini tangu nimwoe, sijahisi furaha. Sijapata utulivu moyoni. Nakuona wewe kila mahali. Hata sauti ya visigino vyake inanichosha, si kwa sababu ya kelele, bali kwa sababu inanifanya nikukumbuke wewe, na nikumbuke kosa langu.”

Moyo wangu ulipasuka kwa huzuni, na kwa mara ya kwanza nilijuta kwa kiburi nilichokionyesha… Nilijuta kwa kusikiliza maneno ya dada zangu badala ya kusikiliza sauti ya upendo wa mume wangu.

Akanishika mkono kwa upole na kusema:
“Nakuomba urudi moyoni mwangu, urudi kuwa malkia wa nyumba hii, na unisaidie kurekebisha yaliyoharibika.”

Nikajua sasa kwamba hasira haizai matunda, na mwanamke mwenye busara hulinda ndoa yake kwa hekima na upendo…

Mwisho wa hadithi: Mwanamke huyu alijifunza somo – kwamba mshauri bora kwa mke ni mume wake mwenyewe, si wale ambao hawajaonja ndoa wala changamoto zake.
Na mume wake – alijifunza kuwa upendo wa kweli ni wa kuvumilia na kuwasiliana, si wa kulipiza kisasi.

🌹Mafunzo:
1.Usisikilize kila sauti – sikiliza moyo wako, na uilinde ndoa yako kwa hekima.

2.Usikubali ushauri wa watu wasiokuwa na uzoefu wa ndoa
Dada zake walikuwa hawajaolewa, lakini walimshawishi kufanya uamuzi wa kiburi ulioharibu ndoa yake. Ndoa ni safari ya wawili; maamuzi yake yanapaswa kutoka kwa hekima, si shinikizo la nje.

2.Mume au mke ni kimbilio la mwenzake si mtu wa kushindana naye
Mume alimwambia “nyumba haina thamani bila wewe,” lakini mke badala ya kushukuru, alijifanya mgumu. Kiburi kwenye ndoa huvunja moyo wa mwenzako na kuharibu uhusiano.

3.Hasira huzaa maamuzi ya kujutia
Mume alimuoa mke wa pili kwa hasira na kujitoa kisasi, lakini baada ya muda alijuta. Vivyo hivyo mke alijutia kiburi chake. Uamuzi wowote wa hasira huzaa majuto.

4.Ndoa inahitaji mawasiliano ya wazi na huruma
Badala ya kushindana au kunyamaziana, wanandoa wanapaswa kuzungumza, kueleza hisia zao, na kusameheana. Ukimya na visasi hufanya ndoa kufa kwa taratibu.

5.Mwanamke mwenye busara hujenga nyumba yake kwa upendo, si kwa chuki
Mwisho wa hadithi, mke alijifunza kwamba kulinda ndoa yake kwa hekima na kujishusha ni bora kuliko kulipiza kisasi. Ndoa imara hujengwa na uvumilivu, si ushindi wa kihisia.

Endelea kufuatilia ukurasa wangu wa Darly G Kenya ili Ujifunze mengi zaidi
Share ujumbe huu na wengine wajifunze, like na comment ili uwafikie wengi zaidi

Allah atupe subra katika ndoa zetu🤲🙏


Mnaonaje kitovu changu wadau ni k**a cha yammi au nimemzidi?Darly G Kenya
10/07/2025

Mnaonaje kitovu changu wadau ni k**a cha yammi au nimemzidi?

Darly G Kenya

Mwanaume nisikilize!Umasikini unauma zaidi ukiwa mwanaume. Familia inakutazama tofauti sana hata k**a haikuambii ila we ...
08/07/2025

Mwanaume nisikilize!

Umasikini unauma zaidi ukiwa mwanaume. Familia inakutazama tofauti sana hata k**a haikuambii ila we fahamu tu kuwa kuna vile wanawaza na kukutazama. Ukiwa huna pesa kuna namna fulani watu wanakunyima heshima au wanakukadiria heshima.

Ukiwa huna pesa hakuna anayejali unachosema haijalishi unasema point au jambo la maana kiasi gani. Na ukiendelea kutoa msisitizo ili point yako isikilizwe utaambiwa unapiga kelele au unaleta vurugu kwenye kikao.

Kwenye sherehe na misiba k**a huna hela utawekwa kwenye kitengo cha kupasua kuni na kufunga maturubai bila kujali umri wako. K**a huna pesa watu hawaheshimu umri, watakukadiria heshima kulingana na kipato chako.

Tunaishi katika Dunia ambayo haina huruma kwa mwanaume asiye na pesa. Dunia ni sehemu katili kwa mwanaume masikini si Kanisani si hospitalini k**a huna pesa wewe si lolote si chochote hata aina ya maombi utakayopewa na heshima utakayopewa ni tofauti sana.

Hata Kanisani wewe hata uwe na wanawake 6 na vimada 6 lakini una hela heshima yako italindwa, lakini k**a huna pesa utatengwa. Hata Kanisa haliwapi kipaumbele wala heshima watu wasio na pesa.

Mwanaume amka kila siku ufanye kazi kwa bidii na kwa akili na maarifa — dunia ni katili sana kwa mwanaume maskini.

Hii inaweza kuwa inaumiza kuisikia lakini ndio ukweli mchungu.



Darly G Kenya
Sauti ya wasio na sauti

mdundo.com/a/188105

03/07/2025

NI KERO GANI UNAKUTANAYO KWENYE NYUMBA ZAKUPANGA.
Tuambizane

SHERIA NDOGO ZA ULAJI WA NDIZI MBIVU.Osha mikono yako iwe safi. Chunga kucha zako.Ukiimenya maganda, yahifadhi sehemu sa...
02/07/2025

SHERIA NDOGO ZA ULAJI WA NDIZI MBIVU.

Osha mikono yako iwe safi. Chunga kucha zako.

Ukiimenya maganda, yahifadhi sehemu sahihi. Usiyatupe chini, yaheshimu.

Vuta pumzi, taratibu toa nyuzinyizi ili zisikukwaze katika kuila.

Ndizi mbivu ina siri, k**a muda unao basi imung'unye ili uipate sukari yake taratibu.

Mung'unya kidogo kidogo kutokea mwanzo. Hakikisha ulimi unaikandakanda ili upate hiyo sukari ya ndizi vizuri.

Imung'unye kwa kadri ya uwezo wa kinywa chako. K**a si kubwa sana, unaweza kuimung'unya k**a unataka kuimeza hivi!, Kisha unairudisha.

Hapo hata akija mtu hawezi kukuomba maana, umeipaka mate yako. Sasa unaweza kuilamba.

Ilambe ndizi vizuri kabisa na mwisho, peleka mkono uishike ndizi na uimung'unye na kuilamba huku unaikula pasi na kuing'ata kwa meno yako.

Fuata hii link ndani yake kuna mazuri mdundo.com/a/188105 download hizo nyimbo

Tumia muda kadri ya uvumilivu wako. Kisha ibugie, mara hii kula ndizi k**a kibogoyo. Unaweza kuila na kitumbua, si kwa ubaya.

*MAADA HII HAIHUSIANI NA NDIZI 🙄*

Address

Nakuru

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when DARLY G KENYA posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to DARLY G KENYA:

Share