Liam denis

Liam denis Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Liam denis, Digital creator, Nakuru.

01/08/2023

I LOVE YOU๐Ÿ’–
PART 1

Pale KITALE UNIVERSITY tulikafunga tukaingia Long holiday ๐Ÿ˜Š.Nikabeba nguo zangu tano si ati nilichagua tu tano nilibeba zote๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚.Zangu naweza beba kwa handbag zote plus jacket yangu ndani na Hadi ikose kujaa.Sasa nikaenda home kutulia tulia kule tukingoja long holiday iishe turudi shule.Ilikuwa on 1st May ndio siku Mimi niliishia home na we were to report back on September the date hatujui bado .Week one nikikaa home nikalala kwanza kupigia mwili pole juu zile kuamka 6 juu ya Classes za 7 from Monday to Friday hazikuniweka.Lakini kukaa home nayo bila kufanya kazi si rahisi.Ukifunga macho tu hivi kidogo unaona msoto inakuita๐Ÿ˜‚, na unafaa kukaa mtandaoni kuchat kuona memes za watu ,kupost memes na Kuangalia vile watu wanafake life pale social media.Kwanza kufake social media huwa Sana K**a Mimi my pal pale home alikuwanga hana car na the only car alikuwa nayo Ni car-rot na car-roh ๐Ÿ˜‚ lakini pale kwa mtandao alikuwa anapost Subaru na video zingine pale amefunika uso so utadhani Ni yeye.Kusota nayo alikuwa anasota hiyo nayo hainanga tafadhali ata kidogo.So nikaona juu msoto itazidi Sana wacha nisake kajob ata K**a Ni mjengo ama kwa Cyber Hadi ikiwa niyakupanguza keyboard kuitoa vumbi๐Ÿฅบ.Nikaenda mjengo the following week on Monday at least nipate hiyo 400 Bob lakini weeeeh๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚,ata siku maliza siku niliamua kurudi tu kwetu .Ile kazi watu wanafanya kwa mjengi si rahisi enyewe Dem akikula fare ya mtu wa mjengo ,huyo Hana huruma ata kidogo.Pale kwa mjengo unagongwa na mawe ,simiti inakuingilia kwa macho ,vumbi kelele za chuma๐Ÿคฆ๐Ÿฝโ€โ™‚๏ธ.Si Ile chuma hi mbao ๐Ÿ˜‚nasema hii chuma ya kutengeneza Milango.Na pillar.
The following day sikuenda kusaka job coz nilikuwa nimechoka juu ya Ile kazi nilipatana nayo pale kwa mjengo.Nikaamu kutulia tulia masiku kadhaa.Nikaona msoto imeanza Sasa weeeh ,nikacall one of my friends alikuwa anawork kwa Cyber nikamchapia anifanyie connection pia Mimi nipate mahali pa kuwekeza kichwa.So akaniambia ataongea na boss wake then ata

๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น
19/07/2023

๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น

19/07/2023

Meanwhile:
Google: How to cook round Chapo that don't taste like nonsense ๐Ÿ˜๐Ÿ™ˆ๐Ÿ˜œ

Address

Nakuru

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Liam denis posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share