Kambi Ya Wateule

Kambi Ya Wateule Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Kambi Ya Wateule, Digital creator, N/A, Nakuru.

Bwana Yesu Kristo asifiwe na karibu sana kwenye hii group,lengo kuu likiwa ni tujifunze Neno La Mungu litupe nuru maishani mwetu ,maarifa na hekima ya Mungu,kuimarisha uhusiano wetu na Mungu kupitia maombezi ,maombi na sadaka zetu [+254]0792593648 .

Warumi 8:15 Kwa kuwa hamkupokea tena roho wa utumwa iletayo hofu; bali mlipokea roho ya kufanywa wana, ambayo kwa hiyo t...
26/11/2025

Warumi 8:15 Kwa kuwa hamkupokea tena roho wa utumwa iletayo hofu; bali mlipokea roho ya kufanywa wana, ambayo kwa hiyo twalia, Aba, yaani, Baba.halleluyah ,Bwana Yesu Kristo asifiwe na habari ya sasa hivi Rafiki leo biblia inatukumbusha kwamba sisi ni wana wa Mungu na hivyo tuondoe mafikira ya utumwa ndani yetu na tuanze kufikiria na kuishi k**a wana wa Mungu,hallelujah na kuwa na siku ya baraka. 👇

Romans 8:15, NLT So you have not received a spirit that makes you fearful slaves. Instead, you received God’s Spirit when he adopted you as his own children....

Mhubiri 10:15 Kazi yao wapumbavu huwachosha kila mmoja, Maana hajui hata njia ya kuuendea mji.Halleluyah mtu wa Mungu,Bw...
25/11/2025

Mhubiri 10:15 Kazi yao wapumbavu huwachosha kila mmoja, Maana hajui hata njia ya kuuendea mji.Halleluyah mtu wa Mungu,Bwana Yesu Kristo asifiwe na habari ya sasa hivi, leo biblia inatukumbusha kwamba K**a maisha yanaonekana kuwa mazito kuliko yanavyopaswa kuwa, simama na ujiulize k**a unaishi kwa hekima ya kweli. Huna haja ya kuacha pokea hekima.Halleluyah na kuwa na siku ya baraka. 👇

Ecclesiastes 10:15 Fools are so exhausted by a little work that they can’t even find their way home.Join this channel to get access to perks:https://www.yout...

Mwanzo 39:2 BWANA akawa pamoja na Yusufu, naye akasitawi; naye alikuwa katika nyumba ya bwana wake, yule Mmisri.Halleluy...
24/11/2025

Mwanzo 39:2 BWANA akawa pamoja na Yusufu, naye akasitawi; naye alikuwa katika nyumba ya bwana wake, yule Mmisri.Halleluyah , Bwana Yesu Kristo asifiwe na habari ya sasa hivi, leo biblia inatukumbusha kwamba Bwana kuwa pamoja nasi ndio inaleta utafauti hivyo tutafute zaidi kumpendeza Mungu naye atatustawisha hallelujah na kuwa na siku ya baraka. 👇

Genesis 39:2 The Lord was with Joseph, so he succeeded in everything he did as he served in the home of his Egyptian master.Join this channel to get access t...

Yohana 11:40 Yesu akamwambia, Mimi sikukuambia ya kwamba ukiamini utauona utukufu wa Mungu? Hallelujah mtu wa Mungu, Bwa...
21/11/2025

Yohana 11:40 Yesu akamwambia, Mimi sikukuambia ya kwamba ukiamini utauona utukufu wa Mungu? Hallelujah mtu wa Mungu, Bwana Yesu Kristo asifiwe na habari ya sasa hivi, leo biblia inatukumbusha kwamba katika kuamini Mungu anatenda na hivyo badala ya kuruhusu mafadhaiko moyoni mwako ,mwamini Mungu tu katika hiyo hali na utaona utukufu wake hallelujah na kuwa na siku ya baraka . 👇

John 11:40 Jesus responded, “Didn’t I tell you that you would see God’s glory if you believe?”Join this channel to get access to perks:https://www.youtube.co...

Warumi 8:1 Sasa, basi, hakuna hukumu ya adhabu juu yao walio katika Kristo Yesu wanaotembea kwa mwongozo wa Roho mtakati...
20/11/2025

Warumi 8:1 Sasa, basi, hakuna hukumu ya adhabu juu yao walio katika Kristo Yesu wanaotembea kwa mwongozo wa Roho mtakatifu na wala sio kwa mwili.Hallelujah mtu wa Mungu popote pale ulipo, Bwana Yesu Kristo asifiwe na habari ya sasa hivi, leo biblia inatukumbusha kwamba Hatia ni moja ya silaha za siri lakini zenye uharibifu ambazo adui hutumia dhidi ya wakristo ni vema tuelewe kwamba hatia ni hatari kwa sababu hufunika uwezo wako wa kusikia na kuitikia sauti ya Mungu.Halleluyah na kuwa na siku ya baraka . 👇

Romans 8:1 So now there is no condemnation for those who belong to Christ Jesus.Join this channel to get access to perks:https://www.youtube.com/channel/UCgW...

1 Mambo ya Nyakati 12:32 Na wa wana wa Isakari, watu wenye akili za kujua nyakati, kuyajua yawapasayo Israeli wayatende;...
18/11/2025

1 Mambo ya Nyakati 12:32 Na wa wana wa Isakari, watu wenye akili za kujua nyakati, kuyajua yawapasayo Israeli wayatende; vichwa vyao walikuwa watu mia mbili na ndugu zao wote walikuwa chini ya amri yao.Halleluyah mtu wa Mungu, Bwana Yesu Kristo asifiwe na habari ya sasa hivi, leo biblia inatukumbusha kwamba Huhitaji kuwadhibiti wengine au kujilazimisha katika nafasi fulani. Unapokuwa kweli unajua cha kufanya iwe katika huduma, kazini, shuleni au hata katika ngazi ya kitaifa ulimwengu utakuona. Watakujia na maswali yao kwa sababu wataona kwamba una majibu.halleluyah na kuwa na siku ya baraka. 👇

1 Chronicles 12:32 From the tribe of Issachar, there were 200 leaders of the tribe with their relatives. All these men understood the signs of the times and ...

Yakobo 1:17 Kila kutoa kuliko kwema, na kila kitolewacho kilicho kamili, hutoka juu, hushuka kwa Baba wa mianga; kwake h...
17/11/2025

Yakobo 1:17 Kila kutoa kuliko kwema, na kila kitolewacho kilicho kamili, hutoka juu, hushuka kwa Baba wa mianga; kwake hakuna kubadilika, wala kivuli cha kugeuka-geuka.Halleluyah Mtu wa Mungu, Bwana Yesu Kristo asifiwe na habari ya sasa hivi,leo biblia inatukumbusha kwamba tuamini Mungu kwa ajili ya mambo bora zaidi. Wewe ni mtoto Wake, na Yeye hufurahia kukubariki.halleluyah na kuwa na siku ya baraka. 👇

James 1:17 Whatever is good and perfect is a gift coming down to us from God our Father, who created all the lights in the heavens.He never changes or casts ...

Zaburi 32:8-9 Nitakufundisha na kukuonyesha njia utakayoiendea; Nitakushauri, jicho langu likikutazama.Msiwe k**a farasi...
15/11/2025

Zaburi 32:8-9 Nitakufundisha na kukuonyesha njia utakayoiendea; Nitakushauri, jicho langu likikutazama.Msiwe k**a farasi wala nyumbu, Walio hawana akili.Kwa matandiko ya lijamu na hatamu Sharti kuwazuia hao, au hawatakukaribia.Halleluyah mtu Mungu ,Bwana Yesu Kristo asifiwe na habari ya sasa hivi, leo biblia inatukumbusha kwamba Mungu anasema Nitakufundisha… Nitakuonyesha njia… Nitakushauri.”Hii ndiyo siri ya amani. Hii ndiyo siri ya mafanikio ya kiroho. Hii ndiyo siri ya kutembea kwa furaha.Halleluyah na kuwa na siku ya baraka. 👇

Psalm 32:8-9 The Lord says, “I will guide you along the best pathway for your life.I will advise you and watch over you.Do not be like a senseless horse or m...

Yohana 6:68 Basi Simoni Petro akamjibu, Bwana! Twende kwa nani? Wewe unayo maneno ya uzima wa milele.Halleluyah mtu wa M...
13/11/2025

Yohana 6:68 Basi Simoni Petro akamjibu, Bwana! Twende kwa nani? Wewe unayo maneno ya uzima wa milele.Halleluyah mtu wa Mungu ,Bwana Yesu Kristo asifiwe na habari ya sasa hivi, leo biblia inatukumbusha kwamba Neno la Mungu si taarifa tu; ni chanzo hai cha nguvu, hekima, na neema. Lisome na kulisikiliza kwa ufahamu huu. Jenga uhusiano na Mungu aliye nyuma ya Neno. Uzima ulioko katika Neno ndio unaobadilisha na kugeuza maisha.Halleluyah na kuwa na siku ya baraka 👇

John 6:68 (NLT): “Simon Peter replied, ‘Lord, to whom would we go? You have the words that give eternal life.”Join this channel to get access to perks:https:...

2 Wafalme 17:16 Wakaziacha amri zote za BWANA, Mungu wao, wakajifanyizia sanamu za kusubu, yaani, ndama mbili, wakafanya...
12/11/2025

2 Wafalme 17:16 Wakaziacha amri zote za BWANA, Mungu wao, wakajifanyizia sanamu za kusubu, yaani, ndama mbili, wakafanya na Ashera, wakaliabudu jeshi lote la mbinguni, wakamtumikia Baali.Halleluyah mtu wa Mungu, Bwana Yesu Kristo asifiwe na habari ya sasa hivi, leo biblia inatukumbusha kwamba Mungu hataki kushindana na kitu kingine kwa ajili ya moyo wako. Chukua muda leo kutambua ni nani au nini kimekuwa “bwana” juu ya maisha yako, na ukikabidhi kwa Mungu kwa maombi. Fanya mabadiliko ya makusudi—kwa mfano, punguza muda unaotumia kwenye simu yako na chagua kutumia muda zaidi katika Neno la Mungu. Kuwa na nia ya makusudi kumweka Mungu wa kwanza.Halleluyah na kuwa na siku ya baraka. 👇

2 Kings 17:16 (NLT): “They rejected all the commands of the Lord their God and made two calves from metal. They set up an Asherah pole and worshiped Baal and...

Waebrania 10:36 Maana mnahitaji saburi, ili kwamba mkiisha kuyafanya mapenzi ya Mungu mpate ile ahadi.Halleluyah mtu wa ...
11/11/2025

Waebrania 10:36 Maana mnahitaji saburi, ili kwamba mkiisha kuyafanya mapenzi ya Mungu mpate ile ahadi.Halleluyah mtu wa Mungu, Bwana Yesu Kristo asifiwe na habari ya sasa hivi, leo biblia inatukumbusha kwamba Tupaswa kukimbia mbio hii ya imani kwa uvumilivu, tukitazama Yesu, tukiamini kuwa Mungu hutimiza ahadi zake kwa wakati wake kamili.halleluyah na kuwa na siku ya baraka. 👇

Waebrania 10:36 Maana mnahitaji saburi, ili kwamba mkiisha kuyafanya mapenzi ya Mungu mpate ile ahadi. Join this channel to get access to perks:https://www.y...

Zaburi 66:18 K**a ningaliwaza maovu moyoni mwangu,Bwana asingesikia.Halleluyah mtu wa Mungu na Habari ya sasa hivi, leo ...
10/11/2025

Zaburi 66:18 K**a ningaliwaza maovu moyoni mwangu,Bwana asingesikia.Halleluyah mtu wa Mungu na Habari ya sasa hivi, leo biblia inatukumbusha kwamba dhambi na uovu utatuzuia kupiga hatua na hata kusababisha kushindwa na kuwaonyesha maadui mgongo ,Hallelujah na kuwa na siku ya baraka. 👇

Yoshua 7:12-13 Ndiposa wana wa Israeli hawawezi kusimama mbele ya adui zao; wakawapa visogo adui zao, kwa sababu wamelaaniwa; mimi sitakuwa pamoja nanyi tena...

Address

N/A
Nakuru
N/A

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Kambi Ya Wateule posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Kambi Ya Wateule:

Share