
17/09/2025
Marko 4:18-20 Na hawa ndio wale wapandwao penye miiba; ni watu walisikiao lile neno,na shughuli za dunia, na udanganyifu wa mali, na tamaa za mambo mengine zikiingia, hulisonga lile neno, likawa halizai.Na hawa ndio waliopandwa penye udongo ulio mzuri; ni watu walisikiao lile neno na kulipokea, na kuzaa matunda, mmoja thelathini, mmoja sitini, na mmoja mia.Halleluyah na habari ya sasa hivi mtu wa Mungu, leo biblia inatukumbusha kwamba Neno la Mungu si la kusikia tu, bali ni la kutenda.Kila mmoja wetu anaweza kuzaa matunda kwa kiwango kikubwa tukimruhusu Mungu alime udongo wa mioyo yetu.halleluyah na kuwa na siku ya baraka. 👇
Mark 4:18-20 The seed that fell among the thorns represents others who hear God’s word, 19 but all too quickly the message is crowded out by the worries of t...