15/01/2026
Nehemia 2:6-7 Mfalme akaniuliza, (malkia naye ameketi karibu naye), Safari yako itakuwa ya siku ngapi? Nawe utarudi lini? Hivyo mfalme akaona vema kunipeleka; nami nikampa muda. Tena nikamwambia mfalme, Mfalme akiona vema, na nipewe nyaraka kwa maliwali walio ngβambo ya Mto, ili waniache kupita mpaka nifike Yuda;halleluyah mtu wa Mungu, Bwana Yesu Kristo asifiwe na habari ya sasa hivi leo biblia inatukumbusha kwamba kabla ya kuanza lolote lile mtafute Mungu kwa maombi naye atakufanikisha k**a tu Nehemia Hallelujah na kuwa na siku ya baraka. π
Nehemia 2:6-7 Mfalme akaniuliza, (malkia naye ameketi karibu naye), Safari yako itakuwa ya siku ngapi? Nawe utarudi lini? Hivyo mfalme akaona vema kunipeleka...