Samwel

Samwel .. Harmonize Kondeboy Fan...
. Getting worldwide news here..
. FAN'S DON'T WORRY..
๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ต๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฐ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ซ๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ฌ๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ฏ๐Ÿ‡ป๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ฆ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡ฏ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ผ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ญ๐Ÿ‡ฒ
FOLLOW The PAGE as you VIEWING the updates.

Unajua Ngoma ya Harmonize na Darassa inaitwa MAZOEA, kuna Mtu anasema Harmonize alioshwa ama Darassa ๐Ÿ˜… Buda, Harmonize K...
30/11/2025

Unajua Ngoma ya Harmonize na Darassa inaitwa MAZOEA, kuna Mtu anasema Harmonize alioshwa ama Darassa ๐Ÿ˜… Buda, Harmonize Kwa Kolabo Huwa msafi already Hata Msanii akuje na Sabuni Msafi Huyo huwa Ashang'ara. Wacha Turudi Kwa Kolabo amezifanya.

Wimbo wa NAOGOPA Akiwa na Marioo, Tuseme ukweli Hapo Marioo verse Yake ilikuwa Avarage, Ila Harmonize alipoingia Na kutema Mistari na Kuvuja Emotions, Vocal Nzuri na Shairi La kuonyesha kuvunjwa Moyo Mashabiki walisifia Ufundi wake Haswa anapovunjwa Moyo, Harmonize alimfunika Marioo Blanketi mchana Kweupe!

Wimbo wa MAZOEA Akiwa na Darassa, Kwenye Verse ya Darassa, alirap hiyo haimaanishi Kuwa Alimfunika Harmoze, Harmonize alileta Hiyo hisia Kwa vocal na uandishi mzuri Pia, eti, "Nakunywa Pombe nilewe sababu NI Wewe silewi zinanipalia, oooh uuuh," Mashaiiri ya Harmonize Kwa nyimbo za Heartbreak Mbonaa mwamba Anajua Tu. Hapa Sisemi Nani alimzidi mwingine Ila Mimi niliupenda huo Wimbo Kwa sababu ya Hisia za Heartbreak ilivyoletwa na Harmonize.

Taja Nyimbo zingine za Kolabo ambazo Harmonize aliwaonyesha Wasanii wenzake Kivumbi.

Tangu mwaka umeanza hadi sasa unapoelekea kuishi, bado sijasikia na kuona kolabo kali k**a hii ya Abigail Chams na Harmo...
20/11/2025

Tangu mwaka umeanza hadi sasa unapoelekea kuishi, bado sijasikia na kuona kolabo kali k**a hii ya Abigail Chams na Harmonize, Me Too (2025).

Ni ngoma ambayo yote wameimba kwa lugha ngeni (Kiingereza) na ikatokea kupendwa na mashabiki wengi.

Mbali na hilo, video yake iliyosimamiwa na Director Kenny, ni kali sana, hadi sasa ikiwa imetazamwa YouTube zaidi ya mara milioni 23.

Tunaelekea Mwishoni mwa mwaka 2025 huku kwenye upande wa Burudani Msanii  akiendelea kuwaandaa watu kisaikolojia kuwa hi...
20/11/2025

Tunaelekea Mwishoni mwa mwaka 2025 huku kwenye upande wa Burudani Msanii akiendelea kuwaandaa watu kisaikolojia kuwa hivi karibuni ataachia Album yake mpya ya huku namba 31 ikibeba maana ya umri wake alionao.

Katika Album hiyo Harmonize hatarajii kuweka wimbo wowote ambao teyari ameshauachia k**a ambavyo baadhi ya wasanii wanavyofanya kwa kuachia wimbo na kisha kuuweka kwenye album. Yeye kwake haitokuwa hivyo.

ataachia ngoma zote mpya ili aweze kuwaridhisha mashabiki zake kwa mziki mpya na mzuri zaidi.

Grenweech Univesal
Alicia Grenweech

Kati ya w***y paul na otile brown nani unakuanga umependa zaidi na umerank mziki wake zaidi apa Kenya mtu wangu jo๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ
20/11/2025

Kati ya w***y paul na otile brown nani unakuanga umependa zaidi na umerank mziki wake zaidi apa Kenya mtu wangu jo๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ

Habari za subuhi familia? Weka neno Moja kutokana na muonekano huu. ๐Ÿ‡ฐ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ฌ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡พ๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ผ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ฎ
20/11/2025

Habari za subuhi familia? Weka neno Moja kutokana na muonekano huu.
๐Ÿ‡ฐ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ฌ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡พ๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ผ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ฎ

Siku hizi msanii wa bongo akippst kitu ni matusi mwanzo mwisho ๐Ÿ˜…๐Ÿ’”
18/11/2025

Siku hizi msanii wa bongo akippst kitu ni matusi mwanzo mwisho ๐Ÿ˜…๐Ÿ’”

Hamisa Mobetto bado yupo zake Paris Ufaransa ๐Ÿ‡ซ๐Ÿ‡ท Tazama picha zaidi kwenye comments
18/11/2025

Hamisa Mobetto bado yupo zake Paris Ufaransa ๐Ÿ‡ซ๐Ÿ‡ท Tazama picha zaidi kwenye comments

Hii Inaitwa Vita Baridi ๐Ÿค”Yupi ana Kuvutia Zaidi Kwa mavazi na muonekano kati ya๐Ÿ…ฐKajala Masanja๐Ÿ…ฑPoshy QueenKura Yako Unam...
18/11/2025

Hii Inaitwa Vita Baridi ๐Ÿค”

Yupi ana Kuvutia Zaidi Kwa mavazi na muonekano kati ya

๐Ÿ…ฐKajala Masanja

๐Ÿ…ฑPoshy Queen

Kura Yako Unampa Nani?

๐ŸŒน Rammy Galis azungumzia siri ya kumficha mke wake๐ŸŒนMuigizaji Rammy Galis amefunguka kwanini anaficha maisha yake ya kima...
18/11/2025

๐ŸŒน Rammy Galis azungumzia siri ya kumficha mke wake๐ŸŒน
Muigizaji Rammy Galis amefunguka kwanini anaficha maisha yake ya kimapenzi, tangu aingie kwenye ndoa na mwanamke huyo pichani.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, ameandika:

๐Ÿ“ โ€œSi kila kitu kinachongโ€™aa hutakiwa kuonekana. Baadhi ya hazina hufichwa ili zidumu thamani yake. Ndio maana maisha yangu ya ndoa yanabaki kuwa utulivu wangu wa siri. Ninapomlinda, si kwa sababu naogopa dunia โ€“ bali kwa sababu ninajua thamani ya kile nilichopewa na Mungu.โ€

je umtambua huyu ni msanii Gani hapa bongo??
18/11/2025

je umtambua huyu ni msanii Gani hapa bongo??

โ™ฅ๏ธ ๐Ÿ‡ฐ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ฌ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡พ๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ผ๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฟ โ™ฅ๏ธ
18/11/2025

โ™ฅ๏ธ ๐Ÿ‡ฐ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ฌ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡พ๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ผ๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฟ โ™ฅ๏ธ

Address

Ikonge
Nyahururu
MALINDA

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Samwel posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Samwel:

Share