11/06/2026
Safari ya kutafuta mfalme mpya wa soka duniani inaanza leo. Mamilioni ya mashabiki kote ulimwenguni wameelekeza macho yao nchini Mexico huku mwenyeji Mexico akifungua pazia la Kombe la Dunia 2026 dhidi ya Afrika Kusini katika mechi ya ufunguzi. ππ
Listen MATI Radio online.www.matiradio.org