MATI Radio

MATI Radio MATI Radio is an online station run by Mombasa Aviation Training Institute.

As a non-profit, we draw content from the wide-ranging talents of our students, staff and the local community.

13/08/2026

Wanaharakati wataka asasi za usalama kuwachukulia hatua za kisheria vijana waliovamia wanaharakati pamoja na wanahabari katika majengo ya bunge la kaunti ya Mombasa.
Wanaharakati hao wamesema,iwapo hatua mwafaka hazitachukuliwa dhidi ya vijana waliokuwa wamejihami kwa silaha butu,basi watafanya maandamano ya amani ili kushinikiza serikali kuwachukulia hatua za kiusalama vijana waliohusika kuzua rabsha ambapo watu sita wanauguza majeraha.
Listen MATI Radio [email protected]


ommunity

It's TBT Edition.Mtaje huyu mwanasiasa na Mwanasheria nchini. Listen  online@www.matiradio.org
13/08/2026

It's TBT Edition.
Mtaje huyu mwanasiasa na Mwanasheria nchini.

Listen [email protected]

13/08/2026

Msongamano mkubwa wa wasafiri ulionekana tena katika Kivuko cha Likoni, hali ambayo imekuwa ikijitokeza mara kwa mara. Rais William Ruto aliweza kuahidi mwezi Mei mwaka huu kwamba serikali itanunua ferry mpya kwa gharama ya Sh3 bilioni, inayotarajiwa kuanza kazi kabla ya Desemba 2026.

Taarifa kuu Magazetini asubuhi ya leo Good morning 🌄 Listen  online@www.matiradio.org
13/08/2026

Taarifa kuu Magazetini asubuhi ya leo
Good morning 🌄
Listen [email protected]

12/08/2026

Makabiliano yazuka kati ya Kundi la vijana na wanaharakati wakikabiliana na maafisa wa usalama katika nje ya majengo ya bunge la Kaunti ya Mombasa.

Waandamanaji hao wakilalamika kucheleweshwa kupitishwa kwa mswada wa sera kuhusu vijana wa Mombasa, Kufuatia vurumai hiyo mtu mmoja anauguza majeraha.
Listen@MATIRadio [email protected]

12/08/2026

Maazimio ya Adrian, mwenye umri wa miaka 7 kwa taifa wakati wa uzinduzi rasmi wa mazungumzo ya kitaifa Beyond 2030 katika ukumbi wa mikutano KICC jijini Nairobi.
Listen MATI Radio [email protected]

12/08/2026

Msanii Guardian alivyotumbuiza Rais William Ruto pamoja na viongozi mbalimbali katika uzinduzi wa mazungumzo ya kitaifa kuhusu maono baada ya 2030 kwa wimbo wake (Kenya).
Listen [email protected]

12/08/2026

✓Tunapoadhimisha siku ya vijana duniani, tunasherehekea vijana wote wenye kujituma kujenga maisha yao ya kesho.
✓Kauli ya kuwa vijana ni viongozi wa Kesho haina msingi wowote kimaisha,vijana ndio nguzo kwa jamii na viongozi wa leo.
✓Vijana hukuna bongo kwa ubunifu ili kuleta mabadiliko katika jamii na taifa kwa ujumla.
✓Kila kijana ana kipaji, uwezo na nafasi ya kuleta mabadiliko katika jamii. ✓Tusiogope changamoto; tutumie elimu, teknolojia, ubunifu na vipaji vyetu kujenga maisha bora na taifa lenye matumaini.
Kwa vijana wote wanaofuatilia tunahimiza uendelee kujiamini, kujifunze, kuchukua hatua na usikate tamaa. Ndoto yako inaweza kuwa mwanzo wa mabadiliko makubwa.

Listen [email protected]

Address

MIKINDANI Street
Old Mombasa
80100

Opening Hours

Monday 08:00 - 18:00
Tuesday 08:00 - 18:00
Wednesday 08:00 - 18:00
Thursday 08:00 - 18:00
Friday 08:00 - 18:00
Saturday 08:00 - 13:00

Telephone

+254712409840

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when MATI Radio posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to MATI Radio:

Shortcuts

Share

Category