MATI Radio

MATI Radio MATI Radio is an online station run by Mombasa Aviation Training Institute.

As a non-profit, we draw content from the wide-ranging talents of our students, staff and the local community.

11/06/2026

Safari ya kutafuta mfalme mpya wa soka duniani inaanza leo. Mamilioni ya mashabiki kote ulimwenguni wameelekeza macho yao nchini Mexico huku mwenyeji Mexico akifungua pazia la Kombe la Dunia 2026 dhidi ya Afrika Kusini katika mechi ya ufunguzi. πŸŒπŸ†
Listen MATI Radio online.www.matiradio.org

Maafisa wa upelelezi DCI kwa ushirikiano na maafisa wapolisi wameanzisha msako mkali dhidi ya genge la majambazi watatu ...
11/06/2026

Maafisa wa upelelezi DCI kwa ushirikiano na maafisa wapolisi wameanzisha msako mkali dhidi ya genge la majambazi watatu wenye silaha. Majambazi hao wanashukiwa kuvunja na kuiba kutoka kwa magari barabara ya Kenyatta Avenue mjini Mombasa.
β€Ž
β€ŽBaada ya kupokea taarifa za kijasusi, maafisa wa upelelezi kwa ushirikiano na maafisa tawala walikabiliana kwa risasi na majambazi hao kabla ya kutoroka. Polisi wanadai kuwa baadhi ya majambazi hao walijeruhiwa wakati wa makabiliano hayo makali.
β€Ž
β€Ž
β€ŽKatika operesheni iliyofuatia, maafisa walivamia maficho ya washukiwa na kupata mali zinazoshukiwa kuwa za wizi pamoja na nyaraka muhimu zitakazosaidia katika uchunguzi.
β€Ž
β€ŽPolisi wamewataka wananchi kuendelea kushirikiana nao kwa kutoa taarifa zitakazosaidia kukomesha uhalifu na kuwakamata majambazi hao ambao wanazidi kuwa tishio kwa usalama wa raia na mali zao sio tu jijini Mombasa bali taifa kwa ujumla.
Listen MATI Radio online.www.matiradio.org
β€Ž
β€Ž

11/06/2026

Kunywa maji "Expert"
Wabunge wamwambia Waziri wa fedha John Mbadi wakati akiwasilisha mswada wa fedha mwaka huu bungeni.
Listen online.www.matiradio.org

Wawili watakiwa kufika mbele ya mahakama kwa kukiuka maamuzi ya mahakama dhidi ya kutengwa kwa sehemu ya karantini kwa w...
11/06/2026

Wawili watakiwa kufika mbele ya mahakama kwa kukiuka maamuzi ya mahakama dhidi ya kutengwa kwa sehemu ya karantini kwa waathiriwa wa ugonjwa wa Ebola kutoka Marekani.
Listen MATI Radio online.www.matiradio.org

Kinara wa DCP  Gachagua akutana na gavana wa Trans Nzoia George Natembeya jijini Nairobi katika mikakati ya viongozi wa ...
11/06/2026

Kinara wa DCP Gachagua akutana na gavana wa Trans Nzoia George Natembeya jijini Nairobi katika mikakati ya viongozi wa upinzani ambapo wanatarajiwa kufanya mikutano kadhaa eneo la Magharibi mwa Kenya kuanzia kesho.
Listen online.www.matiradio.org

11/06/2026

Wimbo wa siku
It's TBT na Les Wanyika anaipamba siku yako na wimbo wake wa Sina Makosa.

Kwani wivu wa wanawake ulikuwako tangia zamani?πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Unakumbuka nini unaposikia wimbo huu.
Artist: Les Wanyika
Song: Sina Makosa.
thursday
Listen online.www.matiradio.org

MICHEZONI:Hapatiki mtu,Dimba la dunia lang'oa nanga rasmi leo hii takribani mataifa 48 yatashiriki mchuano huo.Je,nani a...
11/06/2026

MICHEZONI:
Hapatiki mtu,
Dimba la dunia lang'oa nanga rasmi leo hii takribani mataifa 48 yatashiriki mchuano huo.
Je,nani ataibuka jogoo kwenye kipute hiki cha kusisimua?

Weka maoni yako kwa comment section.

Listen online.www.matiradio.org

Makadirio ya bajeti ya mwaka wa fedha 2026/2027 yanatarajiwa kuwasilishwa bungeni leo na Waziri wa fedha  John Mbadi. Wa...
11/06/2026

Makadirio ya bajeti ya mwaka wa fedha 2026/2027 yanatarajiwa kuwasilishwa bungeni leo na Waziri wa fedha John Mbadi. Wakenya wengi wanasubiri kuona ni sekta zipi zitapewa kipaumbele katika mgawanyo wa fedha za serikali huku mahitaji ya huduma muhimu yakiongezeka kila mwaka.

Je, unadhani ni sekta gani inapaswa kutengewa fedha nyingi zaidi? Je, ni elimu ili kuboresha mazingira ya kujifunzia, afya ili kuimarisha huduma za matibabu, kilimo ili kuhakikisha usalama wa chakula, au miundombinu ili kuchochea maendeleo ya kiuchumi?

Dondoo Magazetini asubuhi ya leo Listen MATI Radio online.www.matiradio.org
11/06/2026

Dondoo Magazetini asubuhi ya leo
Listen MATI Radio online.www.matiradio.org

Je, Elimu Nchini Iko Katika Mikono Salama? -
10/06/2026

Je, Elimu Nchini Iko Katika Mikono Salama? -

Swala la karteli ni swala ambalo limeendelea kusumbua sekta mbalimbali nchini kwa miaka mingi. Iwe ni katika sekta ya afya, elimu au taasisi nyingine za umma, mara nyingi tumeshuhudia tuhuma za ufisadi, matumizi mabaya ya rasilimali na ukosefu wa uwajibikaji. β€Ž β€ŽKwa sasa, sekta ya elimu inaoneka...

Address

MIKINDANI Street
Old Mombasa
80100

Opening Hours

Monday 08:00 - 18:00
Tuesday 08:00 - 18:00
Wednesday 08:00 - 18:00
Thursday 08:00 - 18:00
Friday 08:00 - 18:00
Saturday 08:00 - 13:00

Telephone

+254712409840

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when MATI Radio posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to MATI Radio:

Share

Category