12/09/2025
🔥PAWA 🔥
🎬PART 6:
After kuwa disappointed na carol 🤨. Nilirudi makejani nikiwa na mawazo😒 kibao. Nilikuwa hopeless, useless & futureless, hata sikuwa na nguvu ya kuinua cup k**a arsenal🥱.
Lakini mwanaume ni mwanaume sio gume gume. Niliuma mdomo nikasema hata wew caro umekuja sana☹️, hata k**a mm ni sunday school dropout, this time round utapenda system . Nilichora plan from A mpka C. Now, Plan A😊. From my savings nilinunua a small CCtv camera nikaweka ndani ya bafu ya ploti. So mtu akikam kuoga, nitapata ka video kake😇.
Masaa kumi hivi niliamua kumtembelea sharo🤓. Saizo nilikuwa over-stressed mbya sana. Dem alinigotea, wah mkono yake ilikuwa rough k**a ulimi but nitafanyaje, na nikiringa ama niongee fuliza limit itacheza 0🤫, Na nitakosa unga maisha milele.
Kidogo hivi tukipiga stori kwa phone yangu nikapata message inasema, '' aki woiye nitumie 2k pesa ya kusuka, from caro'' ghai! caro?🤔 Out of love, nikamshow Sharon anisaidie 2k, coz kuna ka emergency imenipata😄.
Naye sharo akanipea doo bila kusita. Nilikuwa na haraka nikasend na nikaenda shughuli zangu nikaacha simu charging hapo kwa duka ya Sharon 😎. Kurudi, nikaamua kuenda kwa choo nimpigie carol niconfirm k**a amepata pesa nimesend. Waaaah! kucall nilishtuka kusikia sauti ya sharo
akisema, "Weee Amoro😳, rudi hapa dukani.... kumbe unanicheza.'' Kumbe ni yeye alikuwa ananipima bangi😥.
Nilishindwa kutoka kwa choo. Nikasimama hapo nje ka scarecrow👽. Nikajua sasa hapa, 'UNGA' inataka kumwagika. Niligain confidence nikaenda hadi kwa duka😤. For the first time nilianza kurushia Sharon mistari. Nilijipata namwambia, ''swee am sorry there is no one like u🥰, caro angekuwa tu pacemaker but....but...but....u are my one & only one, and please if u got one million lovers, I am one of them, if u got one lover, I am the only one & if u got no lover then I am dead😘'' weh! Sema kutetea UNGA. Niliongea hapo mpka mate karibu inikwishe☺️. Mwishowe dem out of løve alikuw nayo kwangu akanipea l