MANU KMIDL TV

Courage Ni Kitu Muhimu 🤞🏼🎤
24/10/2025

Courage Ni Kitu Muhimu 🤞🏼🎤

Instead of giving the young people of Kenya 50,000 shillings, which is coming from the World Bank, why can’t the governm...
24/10/2025

Instead of giving the young people of Kenya 50,000 shillings, which is coming from the World Bank, why can’t the government match the 50,000 so that we give the youth of Kenya atleast 100 000 shillings to start their businesses - Ndindi Nyoro.

Methu witu rí Daramathekia
24/10/2025

Methu witu rí Daramathekia

24/10/2025

Big shout out to my newest top fans! Izooh Kenkomiso, Izooh Isaac

14/09/2025

MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI❣️

SEHEMU YA 01

Asubuhi na mapema mimi na mdogo wangu Poppy tulikuwa tunapalangana jikoni kuandaa chakula kwa ajili ya wateja..

Tunamiliki kimgahawa kidogo tulichozungushia mabati mabovu hicho ndo kinatumatia kula na ada..

Wazazi weshafariki waliniacha nikiwa chuo mwaka wa kwanza na mdogo wangu poppy alikuwa ndo yuko form two..

Kwetu tumezaliwa wawili tu mimi Bella pamoja na poppy mdogo wangu..

Wazazi baada ya kufariki kitu pekee walichotuachia ni kijumba kidogo tulichokuwa tunaishi..

Hatukuwa na uwezo mkubwa kimaisha tulikuwa tunaishi kawaida na wazazi wetu walikuwa wafanya vibarua vya hapa na pale hivo ndo vilikuwa vinatulisha na kutusomesha..

Mimi na poppy tulishauriana kila likizo tuwe tunajishugulisha kuuza chakula ili tuweze kupata pesa ya ada..

Siku moja asubuhi wakati tunaendelea na shughuli zetu mgahawani hapo tulipata ugeni wa wateja wengi kidogo..

Walikuja vijana 12 ni mafundi ujenzi waliagiza chakula kisha wakatuambia Boss anakuja kulipa muda si mrefu❤️❤️..

Hatukuwa na kipingamizi maana sehemu walikokuwa wanajenga ni karibu na pale kazini kwetu..

Walikunywa chai hiyo asubuhi na mchana wakala cha mchana ilipofika jioni mimi na poppy tulikwenda kuchukua pesa..

Tulifika pale tukawakuta mafundi ndo wanabadili nguo kwa ajili ya kuondoka..

Walituambia Boss yuko njiani tumsubilie kidogo..tuliketi pale pembeni baada ya muda ikaja gari fulani hivi kali sana🤗🤗🤗...

Wale mafundi walisogea kumpokea aliyekuwemo kwenye gari alikuwa mkaka mdogo dogo tu umri k**a miaka 30 mpaka 33..

Waliongea naye pale akawagawia pesa baada ya hapo akasogea tulipo tukasalimiana baada ya hapo akatuuliza tunadai sh ngapi..

Nilimtajia kiasi cha pesa tunazodai akachomoa waleti akatoa pesa nyingi zaidi ya ile tunayoidai baada ya kuzihesabu zile pesa nilishangaa😳😳

Nilitoa tunayoidai ingine nikamrudishia...yule kaka aliniambia it's okay itawasaidia hiyo..

Mdogo wangu aliipokonya ile pesa akasema asante kaka...mimi niliichukua nikamrudishi

14/09/2025

Shout out to my newest followers! Excited to have you onboard! Marry N Joseph, Mary Paul, MUTINDA HICHILEMA REPUBLIC PRESENT OF ZAMBIA

🥰CAMPUS GIRLFRIEND😍❤️❤️PART 1After KCSE kutolewa na Kujaribu nikatosha kuenda campus niliamua kujoin sasa University of ...
12/09/2025

🥰CAMPUS GIRLFRIEND😍❤️❤️
PART 1

After KCSE kutolewa na Kujaribu nikatosha kuenda campus niliamua kujoin sasa University of my choice😂.Siku ya Admission ikafika nikapiga Kwanza suti coz nilijua university Ni place ya kuvaa tu official.Pale kwa gate ya KIRINYAGA UNIVERSITY nilikachukuwa form Fulani ilifaa tujaze .
Then tunaingia kwa laini.Jua nayo ilikuwa kali🥺,unapigwa kichwa Hadi unadhani uko ndani ya jiko.Unswet mwili mzima unabiki ukiwa wet🥵😂.Kila stude alikuwa anapiga shughuli yake coz watu hawakuwa wanajuana.Mimi Kuangalia hivi Kando Kando nakaona Kevoh, ohh kumbe pia yeye amekuja huku.Alikuwanga my classmate pale Highschool.Nikapata mtu wakuzoza naye tukiendelea kupanga laini.Tukidhani Tuko sisi wawili pekee yetu Nikaona Felix na Steve Breezy😂,kumbe wasumbufu wote pia wamefika campus.Nikajua Sasa hapa hakuna kuboeka Ni kupiga tu mastory Hadi Semester iishe
Tukaanza kupiga story ya vile highschool ilikuwanga fiti na zile maswali za "Jonte alijoin wapi? K**au alienda Wapi? Na ule boy wa Kulala kwa Class masaa ya hesabu alienda wapi😂😂??
Nilifikiwa nikafill form za mwisho then tukatoka .Nikangoja hao mabeshte wengine pia wamaliziwe ndio tutoke wote.Nikabaki pale kando ya Laini nikiangalia madem sasa🥵,wasichana walikuwa wengi warembo😂,Sijawai ona wanawake wengi Hivyo coz nilikuwa boy's school boarding.Lakini sikuwa na uwezo ya ku approach any juu ya Ile uwoga mtu anakuwanga nayo akiwa fresher🥱 .Nikiwa nimesimama pale Dem Fulani akanifikia akaniuliza. "Watu pale mbele wanafanya Nini mahali mnapeleka bank slip na KCSE results ?" Nikamjibu na sauti ya chini coz sikuwa na expect kuulizwa swali na mtu any.Nikamwambia pale wanapeana tu Hizo forms then wanafeel admission number yako kwa system.Akaniangalia kidogo them akakatisha laini😂.wakati ashaenda ndio nikakumbuka na ata sijamuuliza jina yake na course anafanya.But Ni sawa maybe ningoje atoke pale kwa laini.
Kidogo kidogo Kevoh, Steve na Felix wakatokea .

Felix: Wee bro tushamaliza Sasa rada Ni gani

S

🔥PAWA 🔥              🎬PART 6: After kuwa disappointed na carol 🤨. Nilirudi makejani nikiwa na mawazo😒 kibao. Nilikuwa ho...
12/09/2025

🔥PAWA 🔥
🎬PART 6:

After kuwa disappointed na carol 🤨. Nilirudi makejani nikiwa na mawazo😒 kibao. Nilikuwa hopeless, useless & futureless, hata sikuwa na nguvu ya kuinua cup k**a arsenal🥱.
Lakini mwanaume ni mwanaume sio gume gume. Niliuma mdomo nikasema hata wew caro umekuja sana☹️, hata k**a mm ni sunday school dropout, this time round utapenda system . Nilichora plan from A mpka C. Now, Plan A😊. From my savings nilinunua a small CCtv camera nikaweka ndani ya bafu ya ploti. So mtu akikam kuoga, nitapata ka video kake😇.

Masaa kumi hivi niliamua kumtembelea sharo🤓. Saizo nilikuwa over-stressed mbya sana. Dem alinigotea, wah mkono yake ilikuwa rough k**a ulimi but nitafanyaje, na nikiringa ama niongee fuliza limit itacheza 0🤫, Na nitakosa unga maisha milele.
Kidogo hivi tukipiga stori kwa phone yangu nikapata message inasema, '' aki woiye nitumie 2k pesa ya kusuka, from caro'' ghai! caro?🤔 Out of love, nikamshow Sharon anisaidie 2k, coz kuna ka emergency imenipata😄.
Naye sharo akanipea doo bila kusita. Nilikuwa na haraka nikasend na nikaenda shughuli zangu nikaacha simu charging hapo kwa duka ya Sharon 😎. Kurudi, nikaamua kuenda kwa choo nimpigie carol niconfirm k**a amepata pesa nimesend. Waaaah! kucall nilishtuka kusikia sauti ya sharo
akisema, "Weee Amoro😳, rudi hapa dukani.... kumbe unanicheza.'' Kumbe ni yeye alikuwa ananipima bangi😥.

Nilishindwa kutoka kwa choo. Nikasimama hapo nje ka scarecrow👽. Nikajua sasa hapa, 'UNGA' inataka kumwagika. Niligain confidence nikaenda hadi kwa duka😤. For the first time nilianza kurushia Sharon mistari. Nilijipata namwambia, ''swee am sorry there is no one like u🥰, caro angekuwa tu pacemaker but....but...but....u are my one & only one, and please if u got one million lovers, I am one of them, if u got one lover, I am the only one & if u got no lover then I am dead😘'' weh! Sema kutetea UNGA. Niliongea hapo mpka mate karibu inikwishe☺️. Mwishowe dem out of løve alikuw nayo kwangu akanipea l

🔥PAWA 🔥             💥👉PART 5: Kufungua mlango 🚪 ilikuwa jirani yangu Kevo 🤗. Balaa! jamaa alikam na nyama kale kangu. Ak...
09/09/2025

🔥PAWA 🔥
💥👉PART 5:

Kufungua mlango 🚪 ilikuwa jirani yangu Kevo 🤗. Balaa! jamaa alikam na nyama kale kangu. Akadai, ''wew amoro' na uchoyo wako🙂, last time ulipika chapo, nikakuja kukusalimia ukaficha chapo chini ya kitanda. Leo nimepata nyama kwa paperbag nikajua tu lazma ni yako😄🤣😂...''
Ghai! Ilibidi nimcool jamaa, nikamfinyia macho😉 acheze chini, sharon asisikie fuliza limit yangu ishuke 0 😌. Kevo alienda kwake na nyama. Mimi nikarudi ndani kumlipua sharon.

Nilimlipua sharon sawa sawa hadi karibu aitishe wheelchair ya kutembea nayo🙄😜. Si mnajua hiyo sekta mimi nilienda shule?😂😂🤣
Kwa kazi nzuri sharo aliniachia 3k then akaenda job yake. After kurelax makejani nilitoka nje kuota jua😎. Kidogo hivi Carol akatoka nje kufua. Wacha ainame afue.Wah sema kubeba kubeba😋🥰😍.

Yani alikuwa amebeba sitting allowance kubwa kuliko ya presidents wote wa AFRICA combined😆. Hapo ndio nilijua watu uku nje wanakula ANGELS,
mimi ninakula ANGLES😊💔. Nilimtamani Carol hadi mate ikaanza kumwagika peke yake. Nilimwagalia hadi nikatoa kofia yangu, ndio nimwangalie vizuri👀.
Enyewe, Nobody can stop reggae lakini haga kubwa kubwa K**a hii huzima woofer yangu kabisa🙇.

Nilijua hii ni chance yangu mzuri ya kumwambia jinsi ambavyo nampenda💕. Nilienda hadi penye alikuwa, kufika hapo nikashindwa kuongea💅 na hata nikasahau chenye nilikuja kufnya 🤣.

Me🙎🏾‍♂️:Niaje, naitwa Amoro, mm ni owner wa page fulani hapo f.b🙊. " Nilijipata nimekohoa."
Sijawahi jiangusha hivi😤.
Caro 🙎🏾‍♀️:Nikusaidiaje then?""

akasema hivo. Shetani naye ni nani? shetani si mkorino, alinichocha nirushe mistari kali k**a zile za Mejja😛.

Me🙎🏾‍♂️:Date achia kalenda na out achia wezi. Nadhani mm ni mwizi ju ya venye I have stolen your heart😍. Niaje wewe ni mhot hivo?🤔 Ama ni venye nimekuspot bila hotspot? "🤣

Niliangaliwa na jicho👁 lingine mbaya lakini mm nami ni nani?😉💕 Ilibidi niendelee na mistari k**a wanaume wenzangu wa ile sacco yetu.

Me🙎🏾‍♂️:Sijui nifunguwe roho

🔥PAWA 🔥                      🔥👉PART 4: Dem aliniangalia👀, akiongoja nitoke, aingie ndani. At long last nikaamua kujiende...
07/09/2025

🔥PAWA 🔥

🔥👉PART 4:

Dem aliniangalia👀, akiongoja nitoke, aingie ndani. At long last nikaamua kujiendea, kwani iko nini🙄, si anajua hata yeye anajua mm ni binadamu. Na sio kila mtu alikuwa good in angles pale high school, as in kupima 90° 🤐.

Oh yes, nililala. Asubuhi nikajiprepare kuenda job, message ikaingia Kwa phone yangu. Ilikuwa inasema hivi, ''you have been fired for not coming to work yesterday😔.''
Makosa!!! 🥺Sasa job imeenda hivyo. Nikajua unga au tegemeo itakuwa kwa sharon coz nitamdunga mapenzi, anidunge doo Baas!!🥺 juu ya stress hiyo jioni, nikaona niambie mwili pole kwa kuinunulia food tamu😋.

For the 1st time nikapika nyama kwa hao yangu, hata am sure sufuria zangu zilikuw zinajiuliza 'waaat are this, anyway itiz what itiz 😊' Mimi huyo nikabuy mzinga, nikapiga duster kakeja nikakaspray marashi kiac kafiche harufu ya viatu🤣🤣, nikaweka vest ya Chelsea🤣💔😂 kwa mlango k**a kacarpet😎. Hii ilikuw personal party. Nikasonga ugali then vnye ikaiva nikatoa shati tayari kuishambulia.

Ghalfa, mtu akaingia😲. Kugeuka ilikuwa sharon. Nikamwonea 18, nikajiambia kimoyomoyo ''huyu hawezi kula nyama yangu''. Faster nikamshow acha nimwage maji ya githeri ya jana nje😜🤭🤭🤭.Nikachukua Sufuria ilkua na nyama nikaenda nikaziweka kwa Paperbag uko nje.
Then nikarudi makejani😯. This time round, coz nilkuwa financially handicapped sikuwa na otherwise ya kuromance na Sharon 💕.
After kuchat na yeye kiasi akadai ''Lipua jana ulinidanganya kwa nini? Halfu kuna venye imekuwa long ukinitoa kùtu😍'' Before niseme kitu dem akatoa nguo zake😋🥰.
Kumuangalia makãlio, ilikuw inakaa ngøzi ya ndimu. Kumuangalia kwa mara ya pili, nikageusha kichwa yangu na kùcheka😂.

Oh yes mwanaume ni mwanaume sio!Nilibeba dem nikamlalisha bed 🛏️ pap🤗. Nikaanza kùmkïss😚 kīss polepole but dem ni måte tu ananipakanisha k**a ndama inanyønya😬.
Kumbe upande wa hii sekta dem ako physically handicapped. Nilimdãrã, nikagusa lake turkana ilikuw imemea kuliko kichwa y

Address

Rumuruti
Rift Valley

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when MANU KMIDL TV posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to MANU KMIDL TV:

Share