Soy TV/FM

Soy TV/FM Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Soy TV/FM, Radio Station, Soy, Rift Valley.

Hakiye Kennedy Olilo OburaWakili wetu Masinde Michael ameteuliwa Rasmi na familia ya mwendazake Kennedy Olilo obura, k**...
29/03/2024

Hakiye Kennedy Olilo Obura

Wakili wetu Masinde Michael ameteuliwa Rasmi na familia ya mwendazake Kennedy Olilo obura, k**a Wakili bomba, ili kuisaidia familia hiyo kupata haki.

Marehemu obura aliwauwa kikatili miezi mitano iliyopita kule pwani. Hadi sasa, tusemezanapo, haki haijatendeka kwa kuwa waliotekeleza uovu huo wako huru.

Obura mwenye umri WA miaka 33 alifikwa na mauti katika Hali tatanishi. Alipata mwaliko wa kuudhuria karamu Ila raha ikageuzwa karaha.

Tukio Hilo limesababisha kesi kufunguliwa kortini ili wahusika wakuu wak**atwe. Habari hizi zimetamba na kubobea kote, kwenye vituo vya habari humu nchni, Tanzania na hata duniani.

Akihojiwa na wanahabari, Wakili Michael wabomba alikuwa na haya ya kusema

"The family has appointed me as their lawyer in a quest to seek justice for their slain son.I was live today at Kazuri amor media in mombasa and Tanzania speaking about the case.I promised them I will not leave any stones unturned until they recieve justice.Justice for olilo. Justice is like a river, ever free flowing. U can never divert its course.

Amewahakikishia kuwa atashirikiana na wanahabari, wanaharakati na mahak**a Hadi haki ipatikane.


Mmoja wetu, kijana mtanashati Shawn Ndote, ameaga dunia baada ya kuugua(Saratani ya Koo) kwa muda.Marehemu alisomea shul...
16/09/2022

Mmoja wetu, kijana mtanashati Shawn Ndote, ameaga dunia baada ya kuugua(Saratani ya Koo) kwa muda.

Marehemu alisomea shule ya msingi ya Ivugwi na shule ya upili ya Ivugwi (class of 2016) mtawalia.

Alifariki hapo Jana katika eneo la Nairobi ila kwao nyumbani Ni Imbinga.

Duniani alikuwa Bora kutokana na Hali yake ya upole na utulivu. Kwa hakika tumempoteza Kigogo wa Arzaki.

Kundi la mchango la WhatsApp limebuniwa kwa minajili ya kufariji familia na kuandaa mazishi. Twaombwa kujiunga kupitia link👇👇

https://chat.whatsapp.com/KX86hGYNI2nLKrPPPFeHiz

Ama waeza tuma mchango wako kwa nambari +254717008628 CLARA ANWAR

Makiwa kwa jamaa, marafiki na familia.

Lala pema Shawn😭😭😭

Je wamfahamu huyu kijana mchanga aliyepichani?Timo masika anadai kufukuzwa kwao nyumbani (Sango) na mamake mzazi kwa jin...
06/09/2022

Je wamfahamu huyu kijana mchanga aliyepichani?

Timo masika anadai kufukuzwa kwao nyumbani (Sango) na mamake mzazi kwa jina la Synaida.

Tangu azuru Soy, wiki kadhaa zilizopita, anataabika Sana. Hana makao, hapati lishe Bora na pia afya yake inadhoofika.

Ikiwa wamfahamu vyema tupe maelezo kamili tumrejeshe nyumbani kwao(Masika ni msiri Sana. Amekataa kutupa maelezo kamili). Kwa Sasa Yuko Soy CBD.

Share Hadi tutimize lengo

Soyan Viencent Limisi to the world!!!He was Interviewed by Soka mashinani and concerned stakeholders can confirm that he...
03/09/2022

Soyan Viencent Limisi to the world!!!

He was Interviewed by Soka mashinani and concerned stakeholders can confirm that he has been linked with a soccer club in uganda and Nairobi.....more updates coming.

Player Profile

Name : Vincent Limisi

Current team : Soy United Youth

Prev Clubs : Samitsi ,Benfica FC in Kibera ,Undugu

Position : Offensive Winger 7

Limisi is available to join an outside academy in Uganda and one in Nairobi to further his career .
Speed....delivery Accuracy is 100%

Vincent was part of the famous Ivugwi Secondary school team that stormed to Kakamega County ball games in 2017 for the first time in school history

Congratulations Talented Vinnie. Keep shinning. All the best!!!

23/08/2022

Day schools in Mombasa, Kakamega and six other areas with pending elections will be closed on August 29 for the polls to be conducted.

Education Cabinet Secretary George Magoha said the school would resume on August 30.

CS stated that boarding schools will not be closed in the affected areas.

Stolen Motorbike, KMEY 206H(Model-King Bird)The mentioned above Motorbike, bearing the stated number plate as showcased ...
19/07/2022

Stolen Motorbike, KMEY 206H(Model-King Bird)

The mentioned above Motorbike, bearing the stated number plate as showcased in the pic, was stolen at the wee hours at Soy(kwa Boma ya Allan wa kaimati-Behind Jackpot's pub).

The owner, Allan alias Baba Sav, a known "kaimati" seller is appealing to you Soyans, to help him recovery his treasure.

If you have or you may obtain any information about the stolen bike, leading to its recovery, kindly call 0729622002 or report to the nearest police station.

Share widely!!!!!

Protus Imbachira almaarufu Mwingilistic/Mukorino ameuwawa na watu wasiojulikana usiku wa kuamkia Leo kwa kukatwakatwa na...
03/03/2022

Protus Imbachira almaarufu Mwingilistic/Mukorino ameuwawa na watu wasiojulikana usiku wa kuamkia Leo kwa kukatwakatwa na panga katika Eneo la Roberts.

Kilio Cha bintiye kimedhihirika kupitia kwa ujumbe aloandika kwenye ukrasa wake wa FB "Dad why have u did this to me nabaki na nan Dad. Rest in peace I will miss you BT najua justice itapatikana kwa wenye wamekuua"

Marehemu, mtumishi wa Mungu, alikuwa akiuza maziwa , Huku pia akifanya Bodaboda(Stage ya Roadblock) ili kujikimu kimaisha.

Mwendazake alikuwa mnyamavu na mpenda wote. Mungu ailaze roho yake pahala pema.

Makiwa kwa familia

Photo courtesy: Lynnette beauty

Msaada wa matibabuAlvin Brian Otieno anahitaji msaada wetu wa maombi na wa kifedha ili aweze kupata matibabu ya jicho ba...
29/12/2021

Msaada wa matibabu

Alvin Brian Otieno anahitaji msaada wetu wa maombi na wa kifedha ili aweze kupata matibabu ya jicho baada ya kuumia akiwa kazini mnamo tarehe 23/12/2021.

Kauli yake "Mambo bro,nilipata ajali kwa job ya mjengo on 23rd Dec,since then life imechange Sana na we unajua tu soy vile kuko bro,naomba msaada wako,maana daktari amesena lazma nifanyiwe correctional surgery ya macho,since the left one imekufa kabisa,so naomba tu aki unipostie kwa gruop aki wanisaidie bro"

Akizidi kusimulia "Around 45k...alafu hossy yenyewe iko sabatia,so Kuna fare,Kuna place ya kulala,kuna izo special glasses manze nimekwama.

Niko soy,behind trendy lounge
Alvin Brian otieno
0701606223
Thanks Sana"

Ni mwenzetu na undugu Ni kufaana Wala sio kufanana. Kidogo ulicho nacho mbariki nacho apate nafuu ya haraka.

Piga sherehe ukitibu Ndugu Brian.

Waeza tuma mchango wako kwa nambari:

0701606223. Jina Alvin Otieno

Ugua pole ndugu.

Kipande Cha KifoMwanafunzi mmoja wa darasa la nane katika shule ya msingi ya Sikura eneo la butula kaunti ya Busia ameag...
22/12/2021

Kipande Cha Kifo

Mwanafunzi mmoja wa darasa la nane katika shule ya msingi ya Sikura eneo la butula kaunti ya Busia ameaga dunia baada ya kipande cha mkate kumkaba Koo akiwa kwenye shindano ya kula(eating competition) iliyoandaliwa na walimu wa shule Hilo.

Ni kweli ajali haina kinga ila wengi wamelikashifu kitendo hicho na kuwalaumu walimu. Je walimu Ni wa kulaumiwa?

Alale pahala pema.

Nyota Yang'aa SokaniMcheza kwao utuzwa.Beki wa kupanda na kushuka Elvis shamala almaarufu Marcelo ajiunga rasmi na klabu...
17/12/2021

Nyota Yang'aa Sokani

Mcheza kwao utuzwa.

Beki wa kupanda na kushuka Elvis shamala almaarufu Marcelo ajiunga rasmi na klabu ya A.P.S Bomet.

Gwiji huyu shupavu aliyepiga Soka Safi ya kiwango Cha kitaifa na timu yake ya Awali Soy United (pia akiwa timu ya kandanda ya shule ya upili ya mtakatifu Lumino) amesajiliwa kupiga jeki Safu ya ulinzi na safu ya kati ya kikosi hicho kipigacho kandanda katika ligi ya kitaifa ya Betika.

WanaSoy wote wamtakia Kila la kheri kijana wa nyumbani. Tuwakilishe vyema Carzola. Ahsanteni Sana familia ya Aps Bomet kwa kumwaminia mwanaSoy.

Kwa mengi zaidi bonyeza kwenye link
https://www.facebook.com/106316314633332/posts/352212546710373/?app=fbl

Picha: A.P.S BOMET FC

25/11/2021

There has been kidnapping threat within Soy for the recent few weeks. What do you think is a possible solution to this? Share your thoughts.

GUNJAMA SALAMA DADA WANJIKULeo zetu ombolezi,Bukurata ilo chewaJumla tunawarai,janga 'meturipukiaTupige zetu bismilahi,n...
05/11/2021

GUNJAMA SALAMA DADA WANJIKU

Leo zetu ombolezi,Bukurata ilo chewa
Jumla tunawarai,janga 'meturipukia
Tupige zetu bismilahi,njema 'muombee dua
Safiri salama Sara, mwendo umeumaliza.

Leo hii nalitunga, shairi lenyu uzuni
Sieti nataka unga, kifo chake siamini
Metukumba hili janga, nguvu nakosa marini
Safiri salama Sara, mwendo umeumaliza

Na'futa kulia chozi, kushoto bado lalia
Mbona wanjiku mwokozi? msiba umetuvamia
Mzima hivi majuzi, Leo ame angamia
Safiri salama Sara, mwendo umeumaliza

Simba soyi mwenye jonzi,ahadi 'totimizia
Nabubujikwa machozi,'tokuona kadiria,
Takosa lepe singizi,lengo kukosa wadia,
Safiri salama Sara,mwendo umeumaliza.

Sifa zaako kolezi,Bara mpaka Mahanga,
Mpole yule mweledi,ubora bila mipaka,
Soyi Bado 'takuenzi,akilini 'tabakia
Safiri salama Sara, mwendo umeumaliza.

Slim wetu Tulikupenda, aki binti mtulivu
Kamwe hukututenda, nawe tulipata nguvu
A'nyakua Bora tunda, twasali' na maumivu
Safiri salama Sara, mwendo umeumaliza.

Mbona lawalawa mbona? Hivi kasepa haraka
Ukrasa umeubana, moyoni Sina hakika
Hilaki chako nakana, ulipo shika baraka
Safiri salama Sara, mwendo umeumaliza.

Mavumbini tulitoka, mavumbini tutarudi
Nenda Shiko ulipotoka, umetimiza miradi
Milele 'takukumbuka, ili nalo ni ahadi
Safiri salama Sara, mwendo umeumaliza

Saratani saratani, katoka wapi wewe?
Sisi hatuna Amani, watakani utendewe?
Chako kitendo nala'ni, Duniani ulemewe
Safiri salama Sara, mwendo umeumaliza

Kopo 'letewe la maji,tamati tumewadia
Akulaze penye kheri,Wanjiku zetu hisia
Ulikusudia mengi,ndoto zako didimia,
Safiri salama Sara, mwendo umeumaliza.

Victor Shamola Simba soyi
Profesa Marin Oduor samaki ndume
5/11/2021

Address

Soy
Rift Valley

Telephone

+254705349244

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Soy TV/FM posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Soy TV/FM:

Share

Category