Frank Dylan

Frank Dylan Verified 󱒏

GOD ABOVE ALL πŸ™πŸ«Ά

Manchester United⚽️

Official PageπŸ’―πŸ“Œ

29th Aug πŸŽŠπŸŽ‰

Manchester United  Mayday by Fally Ipupa😹
22/09/2025

Manchester United

Mayday by Fally Ipupa😹

only legends can understand πŸ”ž 😹😹
22/09/2025

only legends can understand πŸ”ž 😹😹

πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›Nimekumbuka kuna time niliendanga kwa auntie yangu kanairo ☺️sasa hiyo siku nikaulizwa k**a najua kupika ugali nikase...
05/09/2025

πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›
Nimekumbuka kuna time niliendanga kwa auntie yangu kanairo ☺️sasa hiyo siku nikaulizwa k**a najua kupika ugali nikasema najua hata mimi ndiye huwa napika home.Nikaenda kitchen nikawekelea maji na sufuria kubwa😊

Nilikuwa nataka nipike ugali kubwa juu kulikuwa na auntie, uncle na cousins wangu watatu plus mimi so tulikuwa sita.Home tulikuwa only 5 so niliamua kupika ugali kubwa kuliko ya home.Vile iliiva nikapakua tray tatu za ugali.

Moja ya auntie na uncle , ya pili cousins wangu wawili boys na ya tatu yangu na ya cousins dame.Nikapakua mboga zote nikapeleka sitting halafu nikaendea ugali ya uncle na auntie.

Nikarudi kitchen nikachukua ugali ya cousins wangu kuingia tu sitting cousin yangu akashout "mum ona rosy ako na kiugali kingine" watu πŸ˜­πŸ’”auntie akaniuliza hiyo ugali ni ya nani nikamwambia ni ya macuzoo hiyo nimeleta mbele ni yake na uncle.

Waliniangalia wakaanguka na kicheko halafu kidogo auntie akaniuliza k**a nilienda kuwapeleka hasara.

Nilishindwa kuongea juu hata ningeanzia aje kuwaambia pia kuna ugali tray ya tatu ambayo ni yangu na ni kubwa kuliko zote πŸ’”πŸ˜­

Cousin yangu mmoja akatumwa kitchen kuleta maji akashout " muuuuuum, kuna ugali ya tatu"

Kesho yake saa moja nilikuwa stage nikirudi ushagoo πŸ˜­πŸ˜­πŸ˜­πŸ’”πŸ’”


Niα»‹ FrankΓ³

19/08/2025

Mimi tangu nijue mtu wangu Ako na mtu wake ata wako nikimpta namfanya wanguπŸ˜‚πŸ’”

27/07/2025

πŸ’πŸ’Naingia Church, Mnaniangalia Nik**a mliambiwa nakuja na YESU πŸ’”πŸ˜‚

27/07/2025

Pastor typing....
Kijana kuja kanisani dunia inaisha next week πŸ«΄πŸ’”πŸ˜‚

Wee mmaasai acha kunitag ety drinking blood with 99 others 😹πŸ₯ΊπŸ₯Ί
27/07/2025

Wee mmaasai acha kunitag ety drinking blood with 99 others 😹πŸ₯ΊπŸ₯Ί

Wueeh πŸ’”πŸ˜‚Nimemiss kunyamba kwa lab alafu wanaekelea pathogen gasπŸ’”πŸ˜‚
23/07/2025

Wueeh πŸ’”πŸ˜‚Nimemiss kunyamba kwa lab alafu wanaekelea pathogen gasπŸ’”πŸ˜‚

17/07/2025

Me: babe nimevaa CD

Her: vaa hata DVD sikupei
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ’”

If you don't see your charger here 🀣, then you're using a calculator πŸ˜ŽπŸ˜‚πŸ˜‚
12/07/2025

If you don't see your charger here 🀣, then you're using a calculator πŸ˜ŽπŸ˜‚πŸ˜‚

07/07/2025

Her: Tangu umalize form four ushadate wangapi.?

Me: Toa 🎀 mic nilie kwanza .😹

04/07/2025

Kuna Mluyah Sai Anakula Ugali na Picha ya SamakiπŸ˜…πŸ’”

Address

π™π™œπ™ͺπ™£π™Ÿπ™– 𝙙𝙖𝙑𝙖𝙯
Siaya

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Frank Dylan posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share