Esy's Corner

Esy's Corner Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Esy's Corner, Digital creator, Ukunda.

Vijimambo Vya Early Pregnancy (1st Trimester of Pregnancy)Smell Sensitivity! !!!!➡️Its due to hormonal changes, Mostly w...
22/08/2025

Vijimambo Vya Early Pregnancy (1st Trimester of Pregnancy)

Smell Sensitivity! !!!!

➡️Its due to hormonal changes, Mostly wengi husumbuliwa na hasa harufu ya vitunguu

Tips that can help ;

👉Avoid kabisa triggers, kile kitu harufu yake inakukera achana nacho.
👉Try cold food au hata drink.
👉Kunywa maji ya kutosha, kidogo kidogo but frequently(cold)
👉Ensure good ventillation wherever you are, ukiwa home fungua madirisha hakikisha hewa inaflow vizuri
👉Remember its something temporary.

???Ni kitu gani hukukera pia wakati unaanza hii safari & what do you use to get relief?

Kadzo;" Haya sasa dada Betty mimi nakwambia mtoto wangu alikua ameketi, mimi nilijifungua katika hali ambayo hata sikuel...
19/08/2025

Kadzo;" Haya sasa dada Betty mimi nakwambia mtoto wangu alikua ameketi, mimi nilijifungua katika hali ambayo hata sikuelewa, yule Nurse kwanza aliniambia nisonge mwisho wa kitanda akafanya mambo kadhaa sikuelewa mwisho nikaona tu mtoto akisaidiwa saidiwa kupumua na baadae akawa sawa"

Dada Kadzo like i said nikimjibu Betty, Once unapofika hospitali ukifanyiwa examination the one anayekuzalisha will be able to note everything that is normal & that which is not normal na k**a kuna complications ambazo yeye anaruhusiwa kulingana na kiwango chake cha ujuzi na sheria kuzihandle ataproceed kumonitor labour yako.

If kuna chochote cha dharura basi pia utashuhulikiwa kikamilifu either in the same facility or through a refferral if in a lower level facility.

Betty; "Jamani mimi niliumwa na tumbo la kujifungua mtoto nikalabour hadi njia ikafunguka yote na bado nikapelekwa kufan...
19/08/2025

Betty; "Jamani mimi niliumwa na tumbo la kujifungua mtoto nikalabour hadi njia ikafunguka yote na bado nikapelekwa kufanyiwa C/S.

Si hata wangenipeleka mapema tu kuliko kupitia uchungu huu mara mbili"

Kadzo; "Aah pole sana Betty.
Mimi yale nilipitia nitakwambia baadae saa kumi na mbili jioni.
Yaani aah acha tu nitakwambia hiyo baadae."

Betty na Kadzo poleni sana lakini ningependa kuwajulisha kwamba mambo ya kuzaa huwa ni process ambayo it can be very unpredictable sometimes.

Sometimes kuna complications tu ambazo zikitambulika ata wakati mtu anaanza clinic ya uja uzito tayari atakuwa booked kuzaa through C/S.

Na kuna zile complications hutokea naturally during labour & no one can really tell utapata complication ipi along the 4 stages of delivery of your baby.

Imagine mtoto anaweza hata akatoka vizuri but kukatokea complications zingine bado mtu akaishia Thearte for other surgical procedures just other than C/S.

Na kuna yule ata anaweza kujifungua mtoto bila complication yoyote.

Nikiwa College bado, in Maternity practical experience, We once had a mother who had delivered well 9 times na huu ujauzito wa Kumi amekuja ikashindikana akaishia C/S.

It is not a fault of the one monitoring your labour mostly but just natural happenings kitambo upelekwe Thearte mbinu zote za kukusaidia huwa zimekosa kufaulu.

Uzuri ni kwamba bado kuna wengi wanajifungua vizuri even hata some complications zinapotokea kwa sababu anayekuzalisha amefundishwa kudeal na hizo complications.

Ila inapotokea kuna dharura yoyote ya mambo kuharakishwa ili kulinda usalama wa mtoto au mama ndipo other procedures zitafanyika.

Dalili Zinazoashiria mwanzo wa Uchungu wa Kujifungua mtoto1.Tumbo  kukazana k**a jiwe na kuachilia( contractions).Huanza...
19/08/2025

Dalili Zinazoashiria mwanzo wa Uchungu wa Kujifungua mtoto

1.Tumbo kukazana k**a jiwe na kuachilia( contractions).
Huanza kidogo kidogo na kuongezeka kuwa frequent.

➡️Hali hii huandamana na kuumwa na uti wa mgongo (sehemu ya chini) au chini ya tumbo.

2.Discharge ambayo inakaa k**a k**asi iliyochanganyana na damu kutoka kwa njia ya kizazi.

3.Maji Mengi kutoka kwenye njia ya kizazi

Unapohisi au kuona dalili hizi na uko term basi ni vyema ufike hospitali for examination & management of your labour.

Leo Tuko Pale Maternity💞🤰👩‍🍼👉Immediately after giving birth, Mruhusu anayekuzalisha 'Kukusafisha' vizuri.Hii ni to preve...
19/08/2025

Leo Tuko Pale Maternity💞🤰👩‍🍼

👉Immediately after giving birth, Mruhusu anayekuzalisha 'Kukusafisha' vizuri.

Hii ni to prevent a complication known as 'Postpartum Haemorrhage'
(Yaani Kubleed sana kupita kiasi baada ya kujifungua mtoto)

Some mothers decline hii kusafishwa only to accept when they start bleeding profusely.

👉Pia hakikisha unaenda haja ndogo kila mara( urinate frequently)

A full bladder can interfere with normal flow of 'lochia'( the discharge that follows after giving birth).

💖💖I will come back with more tips on care of a woman during labour & immediately after birth.

Did you know that there is good & bad stress?💚Good stress is called Eustress.💔Bad stress is called Distress.Eustress is ...
17/08/2025

Did you know that there is good & bad stress?

💚Good stress is called Eustress.

💔Bad stress is called Distress.

Eustress is a positive, motivating stress that can enhance performance & well being.
It challenges individuals & promote growth.

Distress sasa ni ile mbaya, its a negative, overwhelming & harmful stress that can impair functioning leading to negative outcome.

Examples of Eustress ;
👉Learning a new skill.
👉A challenging but enjoyable work project.
👉Training for a certain game.
👉 Preparing for public speaking or a presentation at work.

Distress Examples😰😢
👉A toxic work environment.
👉A very Serious Illness
👉Financial Difficulties
👉A toxic home environment

Distress can negatively impact mental & physical health leading to sleep disturbances, poor perfomance na hata Deppression.

Good morning.I'm Esy, a Registered Nurse working in Kenya, also a mother, wife, Sister.Ni kitu gani ungependa kuniuliza ...
16/08/2025

Good morning.

I'm Esy, a Registered Nurse working in Kenya, also a mother, wife, Sister.

Ni kitu gani ungependa kuniuliza leo?

Ni swali kuhusu afya yako au hata course or proffession ya Nursing if you are interested in it.

Is it about motherhood or About care of your loved ones

I will be glad to help you.

Dalili na Ishara za Cervical Cancer( Kansa ya Mlango wa kizazi)👉Kuhisi Uchungu wakati wa tendo la ndoa 👉Abnormal bleedin...
15/08/2025

Dalili na Ishara za Cervical Cancer( Kansa ya Mlango wa kizazi)

👉Kuhisi Uchungu wakati wa tendo la ndoa

👉Abnormal bleeding kutoka kwenye kizazi ( could be heavy ama light, in between periods or ata after menopause).
Pia bleeding could be noted after tendo la tendo.

👉Abnormal discharge kutoka kwenye kizazi na pia it could be bloody na pia yenye harufu isiyo ya kawaida.

👉Pain around pelvis region

👉Back pain

👉Kuhisi uchungu au difficulty urination

👉Weight loss

👉Nausea(kuhisi kutapika)

➡️Endapo una baadhi ya dalili na ishara hizi haimaanishi tayari uko na kansa ya mlango wa kizazi, pia zinaweza kuwa indication ya magonjwa mengine but once you present yourself pale hospitali utafanyiwa screening & a right diagnosis will be made after tests.

➡️Kumbuka wakati unapoanza kuonyesha hizi dalili na upimwe iwe ni Kansa mostly imeanza kuenea.

➡️Cancer hii inapoanza haionyeshi ishara zozote hivyo basi ni vyema kuenda for screening ya cervix yako atleast kila baada ya miaka mitatu if between age 21yrs to 49yrs.

If you have any question & need advice on your health for free, kuja pale inbox.
Any input on what or how i share any health message or story here is also welcomed.

Good Morning.Cervical Cancer now on the rise among women of reproductive age.Mostly inapoanza hautaskia dalili zozote.Ni...
14/08/2025

Good Morning.

Cervical Cancer now on the rise among women of reproductive age.

Mostly inapoanza hautaskia dalili zozote.

Ni vizuri kufanyiwa kipimo kuangalia njia yako ya kizazi endapo iko sawa au huenda ukawa na tatizo hili angalau kiila baada ya 3yrs if you are between 21-49yrs at your nearest health facility.

Endapo utaonyesha ishara ya k**a uko nayo you will be sent for a confirmation test na k**a bado ndio inaanza unaeza pata tiba rather than k**a imeprogerss kupata msaada au tiba si rahisi.

Ukitaka kujua dalili za cervical cancer wakati inapoanza kuonyesha ishara nitapeana maelezo in my next post.

Your heels & soles look like these?K**a zako ziko hivi ama zinakaribiana na hizi first try tracking ule muda we hutembea...
05/08/2025

Your heels & soles look like these?
K**a zako ziko hivi ama zinakaribiana na hizi first try tracking ule muda we hutembea bila viatu.

Yes ukitoka kwenda job or safari unavaa viatu lakini ukiwa pale home ukitaka kwenda kuanika nguo unatoka bila viatu, hizi safari kidogo kidogo bado zinaexpose nyayo zako to hard surfaces, zinaloose moisture hence drying up na kuform cracks.

Other reasons could be;
👉 k**a kazi yako ni ya kusimama kwa muda mrefu pia.
Standing for prolonged periods puts pressure on the heels & soles.

👉Wearing open shoes regularly pia inaweza sababisha.
Try comparing how your feet feels at the end of the day when you put on closed or open shoes utaona a big difference.

👉Some infections especially fungal, hasa k**a kazi yako inaexpose nyayo zako kwa wet surfaces.

✅️How to take care of your feet

➡️Kunywa maji ya kutosha to stay well hydrated

➡️Vaa viatu vinavyokutosha.
Shoes that fit so well & provide support to your feet.

➡️Avoid prolonged standing.
If your job requires prolonged standing try taking breaks in between .

➡️Endapo zako ziko hivi usife moyo.
Sugua miguu, remove dead skin weka petroleum jelly pale, could use vaseline upake then vaa socks hadi morning.

➡️Hakikisha kila baada ya kuoga unasugua nyayo zako kidogo with either a brush, yale mawe ya baharini, or a foot file to remove the dead skin.
Apply moistuiriser or petroleum jelly.

➡️Remember to always put on shoes or socks ukiwa nyumbani or while going for short distances to protect your feet from loosing moisture.

There is a day tulipata a young man who had used a stimulant wazee waamke halafu ulipofika wakati alihisi ni  sufficient...
03/08/2025

There is a day tulipata a young man who had used a stimulant wazee waamke halafu ulipofika wakati alihisi ni sufficient wazee kurudi usingizi alijaribu mbinu zote akashindwa.

Watching him undergo this painful procedure ya kurectify hii shida, i asked whether he had tried looking for a solution ya hii shida inafanya atumie hizi stimulants.
He said no, that the problem started way back when in university & since then kila akitaka kushiriki tendo lile basi lazima atumie stimulants.

However embarassing it would sound talking or opening up about such an issue, bado ni vizuri kutafuta usaidizi pale hospitali.

Did you know sometimes Erectile Dysfunction can be an indication ya hata shida ya moyo?
Where blood flow is reduced throughout the body including huko kwa mzee making it difficult to get or maintain an er****on.

Risk factors zingine ambazo zinaweza pelekea mtu kupata Erectile dysfunction
👉Advancing age
👉High blood pressure
👉Uvutaji wa sigara
👉Obesity
👉Sedentary lifestyle
👉Kuwa na Ugonjwa wa Kisukari

Unapokumbwa na hii shida tembelea hospitali you will be linked with a Urologist ambaye atakusaidia.
If need be moyo wako utaangaliwa pia na endapo kuna matatizo pia unaweza pata usaidizi mapema kabla moyo wako uumie zaidi.

Follow for more health talks/stories.
Feel free to share any talk or story to whoever you feel might benefit too.
Any healthworker who feels like adding up to anything i've left out pia karibu hapo kwa comments or inbox.
If you have any question kuhusu afya yako pia inbox will help/ advice accordingly

Jamani Kesi za defilement hua zinahuzunisha sana.Kupata mtoto wa miaka sita ambaye amedhulumiwa kwa muda na mtu miaka 40...
31/07/2025

Jamani Kesi za defilement hua zinahuzunisha sana.

Kupata mtoto wa miaka sita ambaye amedhulumiwa kwa muda na mtu miaka 40+ ni jambo la kutamausha.

But mostly watoto wanahitaji ukaribu na baba zao pia not just their mothers.

I say it again here that there is a very crucial role for you as the father pale nyumbani beyond provision.

Mtoto wa k**e anakuhitaji sana kumkinga dhidi ya unyanyasaji wa kingono kupitia;
✅️Kuwa chanzo cha heshima na upendo.
👉Mthamini, msikilize na umpe nafasi ya kujieleza.
Akikuona unamheshimu na yeye mwenyewe ajue kujiheshimu nyumbani atajua anavyofaa kutendewa duniani.

✅️Mfundishe kujiamini na Kujilinda.
Mpe ujasiri wa kuripoti vitisho hata k**a ni from close people.
👉Mostly watoto hudhulumiwa na wanaume na wewe mwenyewe unaweza kujua mbinu nyingi wanaume wanazoeza kutumia to lure a girl in to s*x. Mjengee uwezo wa kutambua mbinu hizi za kisiri na za kumnyanyasa.

Mshauri kusema wazi ikiwa jambo linamfanya askie vibaya.

✅️Be a role model wa Tabia nzuri
Epuka lugha ya mzaha au ya kudhalilisha mbele ya yule binti yako.
Jiheshimu, heshimu wanawake pale nyumbani na wengine huko nje.

✅️Linda mazingira ya binti yako
Fahamu watu anaotangamana nao kuanzia
Walimu, jamaa na hata marafiki.
ANAYEDHULUMU MTOTO WAKO HUA NI MTU WA KARIBU KABISA MOSTLY.

Chukua hatua mapema ukiona ishara zisizo za kawaida.
Weka mawasiliano wazi, awe huru kukusmbia kitu chochote.

✅️Fanya Mazungumzo ya mapema kuhusu mipaka.
Yes, boundaries!

Usiogope kuongea naye kuhusu;
👉mipaka ya mwili wake
👉Ruhusa ya kusema hapana kwa mguso wowote asiopenda.
👉Tofauti kati ya mguso salama na wa hatari.

💙💙💙Kuwa baba si tu kumpatia mtoto mahitaji ya kimaisha bali pia ni kumlinda, kumwelekeza, na kumpa ujasiri wa kusema "HAPANA" pale anapohisi hatari.

Remember anayedhulumu mtoto wako mara nyingi ni mtu wa karibu, inawezekana ikawa unakula naye, na kusalimiana naye, anakuja kwako na kutoka! TUWE MAKINI.

Address

Ukunda

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Esy's Corner posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share