Bango/Nzele News Updates

  • Home
  • Bango/Nzele News Updates

Bango/Nzele News Updates Bango Nzele News
Bango Nzele Fans Posts
Reels and Updates
New release

Viongozi katika idara mbalimbali pia wamehudhuria mazishi ya Nzomo
08/11/2025

Viongozi katika idara mbalimbali pia wamehudhuria mazishi ya Nzomo

08/11/2025

Mazishini kwa Alex Nzomo

Wanamziki na Wasanii Mbali mbali wanaendelea kuwasili mazishini kwa Alex Nzomo.Follow Bango/Nzele News Updates Huche weh...
08/11/2025

Wanamziki na Wasanii Mbali mbali wanaendelea kuwasili mazishini kwa Alex Nzomo.
Follow Bango/Nzele News Updates Huche wehu Clinton Iha for more updates
Harms Munga

08/11/2025

It’s Well Nzomo 😢😢

07/11/2025

Utamuuu

Almost 1M views
03/11/2025

Almost 1M views

3Million views 🔥🔥
03/11/2025

3Million views 🔥🔥

03/11/2025

🔥🔥🔥

27/10/2025

Mwili wa Alex Nzomo utatolewa Mochwari Tarehe saba November na kusitiriwa tarehe nane kwao Roka

26/10/2025

Kifo hakina Mjuzi

Yesterday At 6:30 tukiongea na nzomo alitaka pesa ya mafuta kwa sababu ya usafiri wakuja kazini kaloleni.8:45 nikimpigia...
26/10/2025

Yesterday At 6:30 tukiongea na nzomo alitaka pesa ya mafuta kwa sababu ya usafiri wakuja kazini kaloleni.
8:45 nikimpigia kutaka kujua k**a amefika ..hakushika
9;45 nikapiga hakushika
10;37 nikampigia hakushika..nikamtxt kumuuliza k**a amekwama wapi..hakujibu
11:43 nikampigia nikirndelea kua na wasiwasi chombo chake kiliikua kinapigwa na Andrew G
Hakushika lakini Kuna mtu alishika akajitanbulisha k**a afisa wa traffic..nikashtuka kujiuliza atakua ameshikwa kwa kosa Gani nikakata simu kidogo Kisha nikapiga Tena
11:44 nikamuuliza afisa wa traffic shida Iko wapi..akaniuliza namuitaje mwenye simu.
Nikajitambulisha ..afisa wa traffic akaniambia kijana amepata ajali.
Nikamuuliza k**a majeraha yake vipi na Yuko spitali Gani..akasema ameaga Dunia Yuko chumba chakuhifadhi mwili kilifi.
Nikakata simu sikuweza kujizuia.nikaacha kuimba nikawaambia vijana waendelee

Nikamuuta matata na sadiki na Shaban Mtambara pamoja na Susan tukajadili na kukubaliana yufunge kazi saa tisa ili tukahakikishe maafa ya nzomo.
Niliendelea kuwasiliana na afisa wa traffic kupitia simu mwendazake angalau aniambie kua niutani ,sio kweli lakini alishikilia kua mwenye simu kaiaga Dunia.

Asubui tukafika kilifi pamoja na band members wote..nikawasiliana na ndugu wa marehemu tukaenda pamoja Hadi makavazini..na kweli nzomo alishalala usingizi mzito ..hasikii..hatingishiki..hata nikimuamsha Bado haamki😭😭😭

Tumeenda Hadi kilifi roka..kwao nyumbani
Tukikutana na familia na majirani.

We KAYA are mourning 😭
BANGO fans and all bands and all musicians are mourning.
Ule utu ukarimu wako ucheshi bro ucha Mungu
You died a hero..ukiwa njiani kuja kutafuta mkate wa siku😭😭

Nitawajuza siku ya kumsitiri nzomo
It is well
Mola ailaze roho yake pema palipo na wema
Ni pigo..nihuzuni ila kazi ya Mungu Haina makosa.
Tuweni pole sote.
Aliandika Chilibasi

Address


Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Bango/Nzele News Updates posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Bango/Nzele News Updates:

  • Want your business to be the top-listed Media Company?

Share