Tom Onyao

Tom Onyao TV enable you carry live interview with main audience on news events and comedy's

03/06/2025

Burkina Faso President Duma Boko Joins Traore !

ππ„π„πŒπ€ πŸππƒ 𝐉𝐔𝐍𝐄 π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒 Anyway As We Wait Video ..Written Updates Is hear ...Tufike 500 followers by 12:00A-MMy P...
30/05/2025

ππ„π„πŒπ€ πŸππƒ 𝐉𝐔𝐍𝐄 π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒
Anyway As We Wait Video ..Written Updates Is hear ...Tufike 500 followers by 12:00A-M

My People Tufike 500 followers before Midnight
𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟏
Its been long since tumuone Ian..leo ndio haka,kalikuja kakapata uncle Mark amekaa hapo na anakaa sana wa mawazo ,akamuuliza unclr Mark mbona unakaa wa wasiwasi sana ama ni ju uliuliza nyumba ya babu yako? Mark akamwambia apana,ni mawazo tu ya watu wazima.

Good news ililetwa na Neema,passports za Kate na Tom ziko ready hadi k**a familia wameamua kuenda kusherehekea huko at least finally Kate na Tom watapata kusafiri.

Lakini hali ya huzuni,machonzi na hali ya taharuki,ni kwa mistress wa Solomoni,na kwa bahati njema aligongwa ndio lakini alinusurika kifo hadi yuko hosi,just because alikataa kupeana location ya kwenye Kate na Tom yuko.

Mark alimcall Uncle Lari akamwambia Tom na Kate kesho wanaenda majuu..Uncle Lari akamwabia thats good,atakua huko kuwapa bye bye...mako! Makosa...kwa nini,kwa sababu Lari akiongea na Mark kwa simu,akiambiwa Kate wanatravel kesho,nyuma yake gaidi wa Solomoni,alikua anasikia so ashajua kitu moja,akitaka kumpata Kate,amfuate Lari,wah! Makosa sana.

Richard alimcall Neema akamwambia guess what,unajua wewe ni billionaire..Neema akamwambia come on acha jokes kwani naomokea wapi? Richard akamwabia sikiza,unajua Eddy akienda alieka 1.5million kwa account but ikawa frozen ju ya deni,but ju Mark alilipa deni wewe na Mark mkatoka ndani,your money has been unfrozen so wewe una pesa na haujui..Neema alifurahi sana akajua sasa ile nyumba ya Mark wanaeza buy back😍😍😍😍Neema hajawai furahia hivyo.

Jojo na Joseph wamepanga kufanyia Kate na Tom kakitu before waende na Joseph akasuggest zile picha zao wapange into slide wawatumie...Joseph akamwambia itabidi twende kwa hotel nichukus flash disk yangu.Jojo akamwambia what of Jayden? Joseph akamwambia si lazima ajue,ju hatutakaa saana,so Jojo na Joseph wakapanga waend ekwa hotel achukue flash disk ndio warudi but! But Jayden asijue,lakini makosa yenye walifanya ni,wakati wanapanga,Val aliwasiki baaaaaaasi.

Wakati tu Jojo wameondoka,Val akamcall Jayden,akamwambia sikiza Jayden,unagongewa..nimesikia Jojo na Joseph wakisema wanaenda ka hote for 1hr ndio warudi...Jayden alishtuka sana. Val amesikia wakisema wanaenda kwa hotel wachukue flash disk warudi but Val akaamua kuambia Jayden ati wamesema wanaenda kwa hotel wakae for 1hr..Hii yote ni kawivu Val ako nako kwa Jojo kuspend time na JosephπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

On other side Tom na Kate wako very happy,wanaamini in hours watakua wanafly majuu..huh! As if they will...

𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟐
Jojo na Amani walifika kwa hotel,kuna flash Joseoh wamekua tu wapeak waende but shida ni Val amewaset...

Lari alicall mamake Kate akamwambia by kesho wanafly...mamake Kate akaambia Solomoni,chunga sana watu wa Solomoni wasiwe wanawafuata na akatuma salamu zake kwa Kate na kuwatakia heri anasafari njema.

Huh! Kumbe Jayden aliwafuata hadi akapata room wako ndani,kuingia Jayden akamrukia Joseoh akamuuliza,buda unaleta manzi yangu kwa room k**a nani? Jayden amejam anataka hadi kumpiga Joseph lakini Jojo alikuja akamuuliza Jayden shida yako ni nini? Jayden anamwambia unaletwa kwa room k**a nani ni upuzi gani mnafanya nini? Jojo akamuulza oh upuzi,ndio hii nupuzi tunafanya..Jojo akamuoyesha Jayden ile kazi ya editting wanafanya..Hapo ndio Jayden akajua woi amechoma...

Jojo alijam na Jayden sana akamwambia you know what..its over between me and you.Jojo akatoa ile pete akamrushia Jayden. Jayden alimfuata akaanza kubeg Jojo akamwambia please,ni wewe tu mtu nimebaki na yeye kwa hii dunia usiniache..lakini Jojo alimwambia this is too much Jayden I cant take it anymore. Jayden hadi alilia,akaambia Jojo please nisamehe tu,ni wewe tu ndio napenda. Jojo alifeel akaambia Jayden its ok na akarudishiwa ile pete.

Jayden huwa anaoverreact.

Lari anakuja kumeet na akina Kate but makosa ni anafuatwa na yule gaidi.

Mark,Neema,kila mtu wamekuja kuwaaaga akina Kate na kila mtu ako happy na wao na Mark,Richard na Neema walikua washajituma wakachanga taslimu elfu mia tisa n wakampa Kate at least waanzie maisha huko. Like kila mtu alikua very happy sana kuwatakia akina Kate na Tom safe journey.

Lari ashafika ndio anapanda stairs aingie kwa nyyumba but nyuma yake hana habari amefuatwa..woi,,balaa sasa. Gaidi akaona pahali na nyumba yenye Lari ameingia kisha akamcall Solomon akamwambia bossy,nimemfuata Lari na nimeona penye ameingia na kuna watu wengi sana nifanyaje? Solomoni akamwambia subiri watu watoka kisha umalizana na Kate na uhakikishe amekufa ku! Maskini wa Mungu Kate,umetoka mbali ndio kuhepa umehepa,lakini as long as your father is still alive,your life is in danger each and every minute.

My People Let's Push To 500 Followers Before Midnight

NEEMA CITIZEN TV 2ND JUNE FULL EPISODE COMING IN THE NEXT 6MINUTES MY PEOPLE ..LETS PUSH TO 500 Followers by Midnight
30/05/2025

NEEMA CITIZEN TV 2ND JUNE FULL EPISODE COMING IN THE NEXT 6MINUTES MY PEOPLE ..LETS PUSH TO 500 Followers by Midnight

ππ„π„πŒπ€ πŸπŸ—π“π‡ πŒπ€π˜ WRITEN UPDATES ...Takes Lets Follow TO 5K Followers MY PEOPLE \\\\\,𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟏 Mark washarudi home wanachill ...
29/05/2025

ππ„π„πŒπ€ πŸπŸ—π“π‡ πŒπ€π˜ WRITEN UPDATES ...Takes Lets Follow TO 5K Followers MY PEOPLE \\\\\
,

𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟏
Mark washarudi home wanachill hapo kwa bed na Neema wake..Jojo alikuja akaambia mamake ashatengeneza bed anaeza enda akatulia sasa,kisha akaambia Mark,manze asante sana,k**a siwewe sai tungekua tunapanga matanga. Joseph alikuja kupaka babake mkono alikua ameumia kiasi huku Mark anamwambia Joseph,I really wish ningeona ukizaliwa hadi nikufunze bike. Joseph akamwambia that would have meant ungekua na mamangu pamoja as a happy family.

Siku iliyofuata,asubuhi na mapema,Val alimcall Jayden akamwambia zile taarifa za Neema karibu achomekee kwa hotel huko kwa far, kisha akamwambia for what happened jana,Jayden ajue Jojo anampenda tu sana hakuna kitu yao kati yake na Joseph but Jayden akamwambia hayo ni mambo yangu na Jojo so please STFI...kumbuka jana Jayden kureact,ni Val alimwambia ati Jojo wako huko ndani na Joseph ndio Jayden akareact akidhani huyo ni Jojo...

Neema pia washaamka anataka kupitia restaurant aone kuko aje..Mark alimwambia tutaenda pamoja tuone venye kuko lakini punde si punde,mlangoni kukabishwa..kumbe ni Babu,Sharon na Dancan wamekuja kuona Neema.

Babu alikua ameshtuka sana but at least ameona msichana wake ako sawa...Dan pia anajifanya sana kuumizwa na kila kitu na ni yeye alisababisha.

Neema aliwaambia anataka sana afike huko ajue ni nini kilifanyika..Sharon akatoa wazo akasema maybe tutafute pastor awaombee hii lazima ni mashetani..ama maybe ni mashetani zilifungiwa nyumba huku Nairobi 😁😁😁😁😁

Dancan na yeye akauliza Neema k**a washajua mtu aliwasha moto kuchoma..Neema akamwambia zii bado wanafanya uchunguzi.Sharon akauliza kwani kuna mtu aliwasha ama..Babu akasema k**a ni mtu alichoma,pia achomeke kabisa aishie kutoka kwa hii dunia,Dancan akamwambia yoh,Babu Jay,usiseme hivyo,unajua ukisema kitu mbaya hurudia mtuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Dan anajua ni yeye,so alitaka tu kujua k**a ashajulikana.πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

All in all Neema is safe & O.K..Dancan aliombea Neema kupona haraka na akaambia Neema incase of anything ampigie simu.

Jojo alikuja jikoni,akafuatwa na Joseph..Val kuona hivyo,pia akawafuata ju hataki kuacha Jojo na Joseph wakiwa togetherπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Val aliambia Jojo,kuna kitu nataka kukuambia na najua utajam but nakuambia tu..Jojo akamwambia niambie nisikie..Val akamwambia usiache hii story yako na Joseph iharibu uhusiano wenu,mko too close sana na yeye na imagine wewe uko engaged...acha watu k**a sisi tuwe close na yeye tuko single but wewe uko na mtu bwana acha kubehave k**a sijui nii unataka kila kitu for yourself..tumia akili huoni unakasirisha Jayden?πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟐
Jayden ndio anafika kwa Mark and guess nani alienda kumfungulia...JosephπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚hawa wawili wanachukiana vibaya sana.

Jayden alileta pole zake na akauliza k**a kuna kitu anaeza saidia but Mark akamwambia asijali wako sawa. Jayden akaulizia Jojo na akaambiwa ako jikoni na hakoo kakaenda kumuona. Joseph akiona hivyo anaboeka sana,na kumbe Mark alinoticeπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Mark aliuliza Joseph,kuna shida yako na Jayden? Joseph akasema zii maybe ni yeye ana shida na mimi...Mark akamwambia Jayden ni kijana mpoa sana but mkiwa na yeye kuna venye...Joseph akajibu Mark kijasanda,akamwambia yeah Jayden ni kijana mzuri sana,ako na heshima na hata ni son law wakoπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Mark akaona wah! Hii gunia inaongea vibaya aje.

Jayden alionana na Jojo na hata k**a kawaida k**a dawa hawakuongea for 3min,Jayden akajitoaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚kumbe time walikua hapo,Babu aliwasikia akikuja.

Jayden kuondoka,Babu akaambia Jojo,nishasikia issue yenu na Jayden na namuelewa pia,nikawaida ya mwanaume kufeel hivyo akikuona karibu na mwanaume mwingine so check it out.

Alah! Wait a minute..yule gaidi,ndio huyu ameshika copy ya marriage cert ya akina Tom na Kate na hata copy birth cert ya mtoto ako nayo..kumbe maskini wa Mungu,kuna mtu alisnitch na sasa hadi penye akina Kate wanaka sai,kwa Richard,kushajulikana,wah! Makosa sana...Kate,kimeumana sasa!

Neema wamefika kwa farm na restaurant imechoka vibaya sana. Kumbe Eddy pia alikuja na k**a kawaida amekuja na DancanπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Neema akamuuliza umekuja kufanya nini? Eddy akamwambia nimekuja kuona the damage..Neema ako stressed sana anashindwa atalipaje bossy? Eddy akamwambia usijali,naeza kulipia kila kitu remember wewe ni wife yangu,lakini Neema akamwambia sikiza, k**a uko na pesa sana venye unadhani then lipa Mark deni lake alah...

Bossy alikuja akaongea na Neema akamwambia hajui tu venye atamlipa but Bossy akamwambia wee usijali,cha muhimu uko uhai na hata sai sai tu nimeongea na DCI washafanya uchunguzi na wamejua hii place ilichomwa na petrol...Eddy na Dancan wakashtukaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚kinaenda kuwaramba soon. Neema alishindwa sana nani huyo anaeza choma pahali pake...

Tom na Kate wako breakfast wanakula rice na ndengu,kisha Uncle Lari akamcall Kate,akamwambia nimeongea na babako amesema atakua away kiasi for 2 weeeks but nyinyi kueni makini sana. Hawana habari,details zao zishajulikana.

Dancan ameanza kujiblame sasa hadi wakiwa kwa gari wakienda,alianza kuambia Eddy,aki hatungefanya hivyo,ona sasa inaanza kuleta shida,kwanza kuna DCI ndani...Eddy alimwambia wee nyamaza ulifanya kazi yako na ukalipwa na mimi I did this because of my family. Dancan anatetemeka mbaya sanaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Jayden aliona k**a ishara kuu alikuja kuomba Joseph msamaha kwa vile alifanya jana but Joseph alimwambia uache kuwa too much jealous sana inaeza kucost sana but Jayden akamwambia sikukuja hapa kupea advice na wewe nilikuja kuomba msamahaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Joseph aliambia Jayden,ukiendelea kupush sana Jojo she might do something you are afraid of..and k**a wanaume wakasolve vitu zao.

Jojo alikua pembeni na akafurahia sana kuona at least hawa wanaume washakua mabeshte. Val pia alikua hapo akawaambia maguys now that mshakua mabeshte mnaonaje twende out? Joseph akasema kuna kitu anafanya hana time,kisha Jojo akaambia Jayden babe unaonaje si twende ndani tuchill...Val akawambia si pia nikuje niko free lakini Jojo akamwmabia aje "No,haters" πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Val aliumwa sana but sasa angedu! NothingπŸ˜€πŸ˜œπŸ˜œπŸ˜œπŸ˜œπŸ˜œπŸ˜œπŸ˜œπŸ˜œπŸ˜œ......Mwisho WA Neema Updates Date 29TH THURSDAY .....

Team Onyao Lets Take This Page To 5K Followers .......................

DEAL DONE !DAN POCKETS 300,000Sh From Eddy After Burning Down NEEMA Working Place ....Hotel .. ..Dan The Guru πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯
28/05/2025

DEAL DONE !DAN POCKETS 300,000Sh From Eddy After Burning Down NEEMA Working Place ....Hotel .. ..Dan The Guru πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯

Sad ! NEEMA FAINTS , HOTEL BURNS DOWN SO SAD !NEEMA 😭😭😭😭😭😭😭
28/05/2025

Sad ! NEEMA FAINTS , HOTEL BURNS DOWN SO SAD !NEEMA 😭😭😭😭😭😭😭

Love Means a lot πŸ˜πŸ’•πŸ’•True bond .Mark Saves NEEMA From Fire Trauma .Takes Her To Hospital ....Mark The Savior ....Neema Ci...
28/05/2025

Love Means a lot πŸ˜πŸ’•πŸ’•True bond .Mark Saves NEEMA From Fire Trauma .Takes Her To Hospital ....Mark The Savior ....Neema Citizen Tv Updates

23/05/2025

PARINEETI 23RD FRIDAY MAY FULL EPISODE | Watch it More On YouTube -(Onyao Media )

23/05/2025

NEEMA CITIZEN TV 23RD FRIDAY MAY FULL EPISODE | Onyao Media -YouTube Subscribe ^

21/05/2025

NEEMA CITIZEN TV 21ST WENESDAY MAY FULL EPISODE

19/05/2025

NEEMA CITIZEN TV 20TH TUESDAY MAY 2025 FULL EPISODE .

Address


Telephone

+254703845401

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Tom Onyao posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Tom Onyao:

Shortcuts

  • Address
  • Telephone
  • Alerts
  • Contact The Business
  • Claim ownership or report listing
  • Want your business to be the top-listed Media Company?

Share