
11/07/2025
Ushai jiuliza mbona ushikishangi ma customer cuzo?😂 customer akishanunua kwako mara ya kwanza na ya pili mara ya tatu harudi next utamuonea kwa jirani.
Saiyo unauza vitu same k**a huyo neighbour. Bei, quality ni same. Mwenye ana supply vitu kwake ni the same person or company na mwenye anakuletea.
Yani customers wana prefer kupanga line kwa jirani ata ikitake a whole hour they are ready to wait borake tu wanunue hapo. Saizo uko pekeako kwa shop yko akuna mtu unainua tu shingo ukichungulia kwa jirani🤣 unaona vile anauza
Hapo ndio unaanzanga kusema jirani alitembea kitui🤣 (sina ubaya na watu wa kitui nawalove😂💖) unaeneza propaganda vile unanyang'anywa customers.
Inaenda ivyo hadi mnakosana na huyo neighbour
Waheto ebu jichunguze because the whole problem lies within and with you juu wewe saa zote unakuanga na ma attitude ata ujuangi ukiseve customer na matharau.
Yani ata a simple "thank you" just to show appreciation to your customer husemangi
Customer anauliza bei ya kitu unajibu k**a mwenye alilima shamba ten acres jana yake huna hata nguvu ya kuongea
Stress zako unaleta kwa kazi hehe waheto😂 nani atanunua kwako?
Class dismissed coming with part2 of this.
Remember i run perfume errands within Nakuru
call 0705370052(wholesale)