
19/06/2025
Wait wait don't scroll just tap Dj SETH 254 KE then follow baaass vunulu kick off ๐คฃ๐คฃ๐คฃNikampelekea maji bafu๐nikarudi kwa hao nikamwonyesha penye bafu iko then nikamshow natoka kidogo but narudi๐ฅhii ni ya kupass tu time amalize kuoga๐
Natasha:okay๐take care๐na don't take long๐
Me:sure I will not๐
After ameenda bafu nikachukua simu nikatoa password ikakua free mode๐venye uko sahi hata no need ya kuzima data juu huna bundles๐anyway after kutoa password nikaacha simu hapo kwa bed๐this is the only way to make a woman trust you๐but after umedelete evidence๐๐nikatoka nikaenda kutembea hapo nje๐nikafika kwa mzee wa mayai akanipigia moja๐tukaanza kupiga story venye economy ya Kenya imeharibika na Mr.politicians ni kutuchezea tu wanajifanya enemies na sahi wanasaidiana nร baba ๐ama wanataka kutuua wauzie China hii shamba ya Kenya yote๐after 10 minutes nikarudi kwa hao๐kumbe bibi alikua ameanza kupika na on her hand alikua ameshika my phone๐nikajua tu gaidi Iko loyality test๐inapitia texts na calls๐๐lakini mi nilikua nimedelete important things๐alikua amedress design ingine sexy๐shati yangu ya Lakers๐ilikua inakaa refu kwake๐alafu na short ingine fupi yenye ilikua imepotelea kwa shati๐men kaa dem yako hajai dress hivi๐ขhuyo sijui sasa๐hakua ameninotice๐nikaenda polepole nikamshika kiuno๐
Me:I thank God for blessing me with a beautiful lady like you๐i wish we had met early
Natasha: I also thank God for giving me a handsome man like you๐
Me:my love to you is like a copied exercise๐i can't explain๐
Natasha; that's so funny๐
Me:can I help you cook๐
Natasha: Mmmh if you wish to๐
Me:okay๐where do I start from
Natasha: I was just joking I can handle everything here๐by the way aunty yako alikupigia simu
Me:(aaai nishachoma bet mbona nilisahau kumblock huyu sugarmummy๐)alisema nini
Natasha: sikupick๐
Me:(Thanks to God waah na angepick ingekua aje)anyway you did the right thing๐because ungepick angejua nimeanza mchezo na huwanga ananiamini๐