11/06/2026
Kulingana na Familia ya Empress Peris mwili wa marehemu utatolewa katika Hospitali ya St. Joseph Ikanga siku ya Jumatatu, tarehe 15 Juni 2026, na baadaye kupelekwa nyumbani Bughuta.
Mazishi yatafanyika siku ya Jumanne, tarehe 16 Juni 2026, nyumbani Bughuta, ambapo marehemu atapumzishwa katika makazi yake ya milele.