MORE FLEX MEDIA

MORE FLEX MEDIA ■ Official More Flex Media page

■ We control the world of news

🚨 𝗛𝗜𝗦𝗧𝗢𝗥𝗜: Yaya Touré amekua kocha wa kwanza kutoka Afrika kuiongoza timu katika hatua ya ligi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya...
27/08/2026

🚨 𝗛𝗜𝗦𝗧𝗢𝗥𝗜: Yaya Touré amekua kocha wa kwanza kutoka Afrika kuiongoza timu katika hatua ya ligi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya (UEFA Champions League).

Kiungo hamisi wa zamani wa Manchester City na Ivory Coast aliiongoza Slovan Bratislava kupitia hatua ya mchujo baada ya kuichapa Celje 3-2 kwa jumla ya mabao yote mawili.

Hili ni tukio la kihistoria kwa ukocha wa Kiafrika barani Ulaya. 🇨🇮⚽
MORE FLEX MEDIA

Beyoncé ametangaza mchango binafsi wa dola milioni 1 ili kusaidia juhudi za dharura za uokoaji nchini   kufuatia janga k...
27/08/2026

Beyoncé ametangaza mchango binafsi wa dola milioni 1 ili kusaidia juhudi za dharura za uokoaji nchini kufuatia janga kubwa la asili.

​Tetemeko la ardhi lenye ukubwa wa 7.4 katika kipimo cha Richter lilikumba eneo la Chocó magharibi mwa Kolombia mnamo Agosti 10, 2026.

​Janga hili lilisababisha vifo vya angalau watu 312, liliharibu takriban nyumba 29,000, na kuwakimbisha makazi yao takriban watu 69,000.

​Fedha hizo, zilizotolewa kupitia kampuni ya Parkwood Entertainment, zimetengwa maalum ili kutoa chakula na vifaa vya makazi vya haraka katika maeneo yaliyoathirika zaidi.

​Taarifa rasmi inahimiza msaada zaidi kutoka kwa umma kupitia mashirika ya kibinadamu yanayoaminika k**a vile Food For The Poor na World Central Kitchen.

MORE FLEX MEDIA

Mwanamuziki maarufu wa Mali, Salif Keïta, amefuta Matamasha yake yaliyokuwa yamepangwa kufanyika Afrika Kusini, akisema ...
27/08/2026

Mwanamuziki maarufu wa Mali, Salif Keïta, amefuta Matamasha yake yaliyokuwa yamepangwa kufanyika Afrika Kusini, akisema hawezi kupuuza taarifa za vurugu za chuki dhidi ya Wahamiaji kutoka Mataifa mengine ya Afrika.

Keïta, mwenye umri wa miaka 76, amesema uamuzi huo ulikuwa mgumu kwake, lakini amesisitiza kuwa hauwalengi Wananchi wa Afrika Kusini.

Amesema amesikitishwa na taarifa za Wahamiaji kushambuliwa, akieleza kuwa watu hao wanaenda Afrika Kusini kutafuta kazi, usalama na maisha yenye heshima.

Afrika Kusini imekumbwa na maandamano dhidi ya Uhamiaji haramu, baadhi yao yakigeuka kuwa ya vurugu.

Keïta amesema uamuzi wake si wa kuufunga mlango wa Afrika Kusini, bali ni wa kupinga vurugu, akisisitiza kuwa anachokataa ni chuki dhidi ya wageni, si watu wa Afrika Kusini.

MORE FLEX MEDIA

27/08/2026

Kaka kasema kwamba anavyo Tambuwa yeye Autotune kazi yake nikufanya ngozi iwe nzuri ukiogeya

MORE FLEX MEDIA

27/08/2026

Muone Eagle pro kwenye Challenge za MOREFLEX kasema kwamba Flag ya Malawi aina rangi Nyeupe

MORE FLEX MEDIA

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimemfukuza uanachama aliyekuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Emmanu...
26/08/2026

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimemfukuza uanachama aliyekuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Emmanuel Nchimbi.

Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Asha-Rose Migiro, amesema uamuzi huo umefikiwa na vikao vya chama, ikiwemo Kamati Kuu, katika hatua za kinidhamu na kimaadili kwa baadhi ya wanachama.

Akizungumza na waandishi wa habari leo Agosti 26, 2026, katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam, Balozi Migiro amesema maamuzi hayo yanalenga kusimamia misingi, kanuni na maadili ya chama.

Amesema uamuzi wa kumfukuza Dkt. Nchimbi uanachama umeambatana na kuondolewa kwake katika nafasi ya Makamu wa Rais.

Media ya Nyarugusu imekosea kuandika jina "Paranza", mpaka ikasikika tafauti sanaa hatujui kuwa walifanya kimakusudi, ki...
26/08/2026

Media ya Nyarugusu imekosea kuandika jina "Paranza", mpaka ikasikika tafauti sanaa hatujui kuwa walifanya kimakusudi, kipindi Wana promote ngoma ya "Dada yako". Unaishauri Nini kwenye comment section richa ya wao ku post poster ya ngoma ambayo jina Paranza liliandikwa poa? 👇
https://www.facebook.com/61553215419896/posts/122253338138107180/?app=fbl

MORE FLEX MEDIA

Mzee wetu Bichebechebe ame tuacha Leo ma mida ya jioni shabiki WA DZALEKA future fc  May his soul rest in peace MORE FLE...
26/08/2026

Mzee wetu Bichebechebe ame tuacha Leo ma mida ya jioni shabiki WA DZALEKA future fc

May his soul rest in peace

MORE FLEX MEDIA

26/08/2026

Tizama performance fupi ya Tiwa Savage hapa Music crossroads Malawi , Moreflex Media tulikuwepo kukuleteya kila Tukio 💃

Address

Lilongwe

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when MORE FLEX MEDIA posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share