
25/09/2025
| Msanii Lulu Diva-Amerusha maneno kwa huyu Binti-Anayedai kuwa ni Mwanae. Sasa almost miaka kumi na Sita-🥹 ukijakuangalia mbona Kuna ukweli -Huyu Binti anaumri wa Miaka Kumi na Sita- Mpaka-Sasa.
_________ Na Ameanza kumtafuta Mama AKE Tangia 2018 🥹 mpaka Nachanganyikiwa| .....
: Kwahiyo hata nyie mliobeba Mimba miezi tisa mnakataaga Watoto wenu! Nadhani kila tatizo lina chanzo chake.
Msanii Lulu-Diva ana mtoto wakike Mwanae kabisa wa kumzaa ila yeye alimkataa na kumuacha huko kijijini kwa babaake na Lulu Diva akaja town kusaka maokoto! Mwanae anapambana akutane na Mama ake lakini Wapi anamfungia vioo!!
Ugomvi wa Wazazi inakuwaje mpaka kwa mtoto jamani! Sijapenda Dada angu! Sawa ila hii ni dunia na Tunapita. Mwanao amekuwa mtu wa Media sana kila interview anakuzungumzia Wewe ila bado hujamsikia basi mpokee mwanao mtoto halali wa Lulu Diva! Afu utasikia lulu diva anadai hana Mtoto 😂😂
Wasanii wenzako wakikew wanalilia kupata watoto wewe unamkataa mwanao. Kiukweli ni jambo la Aibu. Mtoto mmefanana kila kitu..
Me yangu ni hayo nawatangazia umma
BoBongoStory Tztrendingnow .
________________ MIE NAONA MKUTANE.....
MEDIA