Hcc THINK AND MAKE IT HAPPEN

23/01/2025

MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024

MAAZIMIO YA KAZI 2025 SOFT AND HARD COPYTsh.2500 onlyCall and Whatsapp 0783002098
14/12/2024

MAAZIMIO YA KAZI 2025 SOFT AND HARD COPY

Tsh.2500 only
Call and Whatsapp 0783002098

JE KOMPYUTA YAKO INATUMIA HDD AU SSD? SOMA HAPAKompyuta inayotumia SSD (Solid State Drive) ina kasi kubwa katika kuchaka...
05/12/2024

JE KOMPYUTA YAKO INATUMIA HDD AU SSD? SOMA HAPA

Kompyuta inayotumia SSD (Solid State Drive) ina kasi kubwa katika kuchakata taarifa tofauti na kompyuta yenye HDD (Hard Disk Drive), pia kompyuta yenye SSD (Solid State Drive) huuzwa ghali kuliko kompyuta yenye HDD (Hard disk Drive).
Unaweza kutumia kompyuta yako kwa mda mrefu na usijue aina ya uhifadhio (storage) iliyopo kwenye kompyuta hasa utawezaje kujua k**a kompyuta yako inatuma SSD au HDD.

kwenye kompyuta yako bonyeza ” Window button +s ”

Ukiwa kwenye sehemu ya kuandika, Andika neno “defrag” kisha chagua “Defragment & Optimize Drives”
Baada ya hapo utaona orodha ya vihifadhio (Drives) zikiwa zimeonyesha k**a ni SSD (Solid State Drive) au k**a ni HDD (Hard Disk D
Hii ni njia nzuri na nyepesi ya kujua k**a kompyuta yako inatumia SSD au HDD, ni muhimu kuelewa kompyuta yako inatumia vifaa vya namna gani, au hata kabla ya kununua ni vizuri kujua baadhi ya vitu kwenye kompyuta hasa hasa huu upande wa teknolojia ya kuhifadhi taarifa.

03/09/2024

TEARS OF THE SUN
Baada ya waasi kuingia ndani mateka wote waliamrishwa kusimama na wote bila ubishi walitii amri “Ongoza nje”ilitolewa amri na wote wakaanza kutembea kuelekea nje.Walipita korido nyingi ambapo palikuwa vyumba kadhaa ambavyo hawakuelewa vilikuwa vinatumika kwa kazi gani.baada ya muda wa dakika k**a saba hivi walitoka sehemu ya nje ambayo ilikuwa ya wazi.Na walikuta baadhi ya vikosi vya waasi vikifanya mazoezi katika uwanja huo.Na mara wakasikia mlio wa helkopta na wakati wakishangaa mara ilitokea ndege moja ambayo ilikuwa ikirusha mabomu mfulilizo na risasi na vikosi vya waasi vilianza kujibu mashambulizi.Kutokana na mapigano hayo EUDIA na wanzake walianza kukimbia hovyo wakati mapambano yakiendelea.Huku askari hao waasi wakiachana nao na kuendelea kupambana.Na mmoja wa wanawake hao alipigwa risasi akaanguka chini na wale wengine wote waliendelea kukimbia.

Moja ya vionjo ndani ya hadithi tamu ya Tears of the sun, Inakujia kuanzia kesho asubuhi kaa tayari, share comment and like twende pamoja.

14/04/2024

MAKOMBORA YA IRAN DHIDI YA ISRAEL

14/04/2024
13/04/2024
13/04/2024

kujua k**a komuta yako Williams ni mtumiaji wa kompyuta/Computer utakuwa umekutana na maneno k**a HDD (Hard Disk Drive) au SSD (Solid ...

13/04/2024

Airplane mode ni mfumo uliopo katika vifaa vya mawasiliano hasa katika simu zetu mpanguso(janja)pamoja na tablets.Inawezekana umewa...

13/04/2024

JE UNAELEWA NINI KUHUSU HISA? Makampuni mengi yanayokuwa na mitaji mikubwa si kwamba huo mtaji wameupata wenyewe bali kuna michango mi...

Address

Arusha Chini

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Hcc posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Hcc:

Share