Chombo brand

Chombo brand I hate who hate me

Kheri ya eid El fitri.
31/03/2025

Kheri ya eid El fitri.

More life bint KIJUMBE
31/03/2025

More life bint KIJUMBE

Ijumaa kalim
15/11/2024

Ijumaa kalim

Smile is most make photogenic📞ForLocation 📸+255710095025
21/09/2024

Smile is most make photogenic
📞
For
Location
📸
+255710095025

31/08/2024
Klabu ya Singida Black Stars imethibitisha kumuuza beki wake Benjamin Tanimu (22) raia wa Nigeria kwenda klabu ya Crowle...
31/08/2024

Klabu ya Singida Black Stars imethibitisha kumuuza beki wake Benjamin Tanimu (22) raia wa Nigeria kwenda klabu ya Crowley Town Fc inayoshiriki League One Nchini England kwa Dau Nono la zaidi ya Shilingi Bilioni 2.3 za Kitanzania.

Taarifa ya klabu hiyo imebainisha kuwa makubaliano hayo yanajumuisha ada ya uhamisho ya moja kwa moja (Direct Fee) na Ada za Mauzo ya baadae (Sell-on Fee 20%) pamoja na ada za ubora na mafanikio ya mchezaji na timu kwa misimu miwili ijayo inayokadiriwa kutopungua $850,000.

“Biashara hii inaenda sambamba na kufungua ushirikiano kati ya klabu zetu mbili kwa maendeleo ya soka.” imesema sehemu ya taarifa hiyo.

“Tayari Benjamin Tanimu amekwenda Uingereza kwa ajili ya kuanza majukumu na timu yake mpya, Hivyo uongozi wa Klabu ya Singida Black Stars unamtakia mafanikio mema mchezaji wetu katika maisha yake mapya nchini Uingereza.” imesema.

  Watu wanne wakiwemo wanafunzi watatu wamefariki dunia na wengine 30 kujeruhiwa kutokana na ajali iliyohusisha gari ya ...
31/08/2024

Watu wanne wakiwemo wanafunzi watatu wamefariki dunia na wengine 30 kujeruhiwa kutokana na ajali iliyohusisha gari ya abiria coaster ya Arusha-Katesh iliyokuwa imebeba abiria ambao ni wanafunzi wa shule ya sekondari Endasaki ambayo imegongana na lori. Ajali imetokea eneo la Gajal Mkoa wa Manyara

Kamanda wa mkoa Manyara Ahmad Makarani amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo ambapo amesema waliofariki ni pamoja na wanafunzi hao watatu na dereva mmoja

Wanafunzi hao wa shule ya Sekondari Endasaki, iliyopo wilayani Hanang' Mkoani Manyara walikuwa safarini kurudi majumbani baada ya kufunga shule

my son
23/05/2024

my son

📸 studio  booking now is available weka order mapema
10/05/2024

📸
studio
booking now is available weka order mapema

29/01/2024

location photography
📸 by Chombo brand
At Tanzania
Call number 0623 616 059
For our services

Address

Arusha
2222

Telephone

+255623616059

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Chombo brand posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Chombo brand:

Share