Orkonerei FM Radio

Orkonerei FM Radio 📻 Orkonerei FM 94.3
Sauti ya Jamii – Redio ya kwanza ya kijamii 🇹🇿
Terrat – Simanjiro, Manyara

Matukio katika picha kwenye mkutano wa wajumbe na watiania wa nafasi ya udiwani kupitia chma cha mapinduzi tawi la Terra...
01/08/2025

Matukio katika picha kwenye mkutano wa wajumbe na watiania wa nafasi ya udiwani kupitia chma cha mapinduzi tawi la Terrat Simanjiro

Mtia nia wa Ubunge Jimbo la Simanjiro kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mwajuma Bakari Ally, leo tarehe 01 Agosti 2025,...
01/08/2025

Mtia nia wa Ubunge Jimbo la Simanjiro kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mwajuma Bakari Ally, leo tarehe 01 Agosti 2025, amegonga vichwa vya habari baada ya kupiga magoti mbele ya wajumbe wa Tawi la CCM Terrat wakati akiomba kura za kupitishwa kugombea ubunge.

Mwajuma, ambaye ni mwanamke pekee kati ya watia nia sita, alifanya tukio hilo kuonesha unyenyekevu wake na dhamira ya dhati ya kulitumikia Jimbo la Simanjiro.Alimuombea kura Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na yeye mwenyewe, akisisitiza kuwa ana ndoto ya kuleta maendeleo jumuishi kwa wananchi wa Simanjiro.

“Naomba kura zenu kwa moyo wa unyenyekevu” alisema Mwajuma mbele ya mkutano huo wa chama.

"Wajumbe wa Terrat waangalie waweze kupima kwa hoja kwa uwezo wa kuleta maendeleo waweze kumtafuta kiongozi,kwa namna hi...
01/08/2025

"Wajumbe wa Terrat waangalie waweze kupima kwa hoja kwa uwezo wa kuleta maendeleo waweze kumtafuta kiongozi,kwa namna hiyo naweza kujipigia chapuo wanifikirie waangalie kwamba nikijana ninayeweza kuwavusha kutoka hatua moja kwenda nyingine" Justin Robert Lukumay mgombea wa nafasi ya udiwani (CCM) kata ya Terrat.

Ameyazungumza hayo mapema leo kwenye kipindi cha Amsha amasha wakati akifanyiwa mahojiano kuelekea zoezi la upigaji kura wa ndani ya chama cha Mapinduzi Agosti 4,2025.

31/07/2025

Mapema leo kwenye kipindi cha amsha amsha Mtia nia wa nafasi wa udiwani katika kata ya Terrat kupitia chama cha Mapinduzi amesema kuwa alifurahi pale alipoona jina lake limepita katika mchujo wa kwanza wa CCM.

Jackson Matery amekuwa diwani wa kata ya Terrat kwa miaka 10 sasa.

31/07/2025

Mtia nia wa nafasi ya Udiwani ambaye jina lake limerudi (CCM) kata ya Terrat Ndg Jackson Matery

"Kwanini nataka nirudi,kuna viporo vimebaki kwenye miundombinu mfano barabara ,kituo chetu cha afya unajua kinatakiwa ki...
31/07/2025

"Kwanini nataka nirudi,kuna viporo vimebaki kwenye miundombinu mfano barabara ,kituo chetu cha afya unajua kinatakiwa kiwe na mortuary (Mochwari-chumba cha kuhifadhi maiti) na ndiyo maana nataka niwaombe wajumbe wanipe kura ili nikakamilishe haya yaliyobaki" Mtia nia ya Udiwani kata ya Terrat Ndg Jackson Matery kupitia CCM.

Ameyazungumza hayo katika kipindi cha amsha amsha siku ya leo akijibu swali la ikiwa amehudumu kwa miaka 10 na bado anahitaji kurejea tena.

30/07/2025
30/07/2025

Katibu wa CCM wilaya ya Simanjiro Ndg.Amos Shimba akizungumza na Orkonerei FM ametangaza orodha ya Majina ya waliopita mchujo wa kwanza wa ndani na sasa ni kwenda kupigiwa kura za maoni na wajumbe.

30/07/2025

Evanda anasema kwa maeneo ya wafugaji wa Ng'ombe nyama inatakiwa kuwa bei chee na bei ya mazao ya baharini iwe juu Unakubaliana naye kwa asilimia ngapi??

Kwako vipi?
30/07/2025

Kwako vipi?

Address

P O Box 12785 Arusha
Arusha
27613-16

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Orkonerei FM Radio posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Orkonerei FM Radio:

Share

Category