Orkonerei FM Radio

Orkonerei FM Radio πŸ“» Orkonerei FM 94.3
Sauti ya Jamii – Redio ya kwanza ya kijamii πŸ‡ΉπŸ‡Ώ
Terrat – Simanjiro, Manyara

10/06/2026

Taasisi ya Utafiti wa Mifugo Tanzania (TALIRI) imewataka wadau wa sekta ya maziwa nchini kushiriki katika Siku ya Wazi ya Ubunifu na Teknolojia za Maziwa itakayofanyika Juni 11, 2026 katika Kituo cha TALIRI Tanga.

Source

04/06/2026

Katibu wa NEC, ITIKADI UENEZI NA MAFUNZO CCM Ndg. Kenani KihongosI Tarehe 03 Juni 2026 amempongeza Mkuu wa wilaya ya Simanjiro Mwl. Fakii R. Lulandala.

03/06/2026

Kiongozi wa Mila wa jamii ya Kimasai Alaigwanani Ole Teteyo ameyasema hayo Makuyuni Monduli katika hafla ya kumuapisha kiongozi wa Mila Sinandei Makko tarehe 30 May 2026.
Cc

Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso, ametangaza mabadiliko ya vituo vya kazi na uteuzi mpya wa watendaji katika sekta ya ma...
03/06/2026

Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso, ametangaza mabadiliko ya vituo vya kazi na uteuzi mpya wa watendaji katika sekta ya maji nchini. Lengo kuu la uamuzi huu ni kuimarisha utendaji, kuongeza ufanisi, na kuhakikisha huduma za maji zinaboreka na kuwafikia wananchi kwa wepesi zaidi.

​Mabadiliko haya yanagusa maeneo mbalimbali muhimu ya kiutendaji, ikiwemo:

πŸ’§ Wakurugenzi Wasaidizi ngazi ya Wizara.

πŸ’§ Uhamisho na uteuzi wa Wakuu wa Maabara za Maji.

πŸ’§ Mameneja wa Mikoa wa RUWASA.

πŸ’§ Wakurugenzi Watendaji wa Mamlaka za Majisafi na Usafi wa Mazingira.

02/06/2026

Serikali ya Msumbiji imesema raia wake watano wameuawa katika mashambulizi ya chuki dhidi ya wageni nchini Afrika Kusini mwishoni mwa wiki, huku wengine wawili wakifariki katika ajali ya barabarani wakirejea nyumbani.

Na

02/06/2026

Akizungumza leo Juni 1, 2026, Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha, Zauda Mohamed, amesema madereva waliokamatwa ni Reginald Nzonda aliyekuwa akiendesha gari lenye namba T 869 EJP na Hatibu Kapire aliyekuwa akiendesha gari lenye namba T 136 EFP, yote yakiwa aina ya Scania..

Madereva hao wamekiri kufanya makosa hayo kwa lengo la kutafuta umaarufu mtandaoni na kueleza majuto yao.

30/05/2026

Mratibu wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), Onesmo Ole Ngurumwa amelaani vikali mauaji ya muwekezaji raia wa nchini China Baozhang Gen na kuiasa jamii kutonyooshea vidole kabila la jamii ya kimasai kwa tuhuma za mauaji.

Mtangazaji wa kituo cha Orkonerei FM Radio (), Isack Dickson Lukumay, ameibuka mshindi katika msimu wa 16 wa Tuzo za Uma...
30/05/2026

Mtangazaji wa kituo cha Orkonerei FM Radio (), Isack Dickson Lukumay, ameibuka mshindi katika msimu wa 16 wa Tuzo za Umahiri wa Uandishi wa Habari Tanzania (EJAT).

Katika hafla hiyo iliyofanyika tarehe 29 Mei katika Hoteli ya Four Points by Sheraton jijini Dar es Salaam, Isack ameshinda katika kipengele cha Habari Bora za Vijijini (Best Rural Reporting) kwa kazi zilizofanyika mwaka 2025.

Tuzo hizo zinazoandaliwa na Baraza la Habari Tanzania (MCT), zinalenga kutambua na kuthamini mchango wa waandishi wa habari wanaofanya vizuri katika kuibua na kuripoti masuala muhimu kwenye jamii.

Ushindi huu unaangazia jitihada za Orkonerei FM katika kutoa kipaumbele kwenye habari zinazogusa maisha ya wananchi wa vijijini na maeneo ya pembezoni.

Eid El Adha Njema kwako!!
27/05/2026

Eid El Adha Njema kwako!!

27/05/2026

Kamati ya Usalama ya Wilaya ya Arusha ikiongozwa na Mkuu wa Wilaya hiyo, Mhe. Joseph Modest Mkude, leo Mei 26, 2026 imeridhishwa na maendeleo ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo ya Jiji la Arusha yenye thamani ya jumla ya Shilingi Bilioni 35.2 inayotekelezwa katika kata mbalimbali za jiji hilo.

Address

P O Box 12785 Arusha
Arusha
27613-16

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Orkonerei FM Radio posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category