19/10/2025
updates
Licha ya Spurs kutangulia kwa goli la mapema haijawanyima Villa sababu za kuondoka na alama tatu katika mchezo wa leo.
Tottenham kachapika kwake na villa wamepata ushindi wa tano mfululizo katika miachuano yote msimu huu🤯🔥. wako 🔥
Haya sasa tusogee kwa majogoo kuna sherehe nyingine huko.