CLEMENT SHARI

CLEMENT SHARI Habari mbalimbali za michezo Kitaifa na Kimataifa na habari za kawaida hapa ndo mahala pake.

SIMBA YAENDELEA KUCHELEWESHWA KUKUTANA NA NYUKI WA TABORA...ℹ️ Bodi ya Ligi Kuu imefanya maboresho ya ratiba ya michezo ...
16/12/2024

SIMBA YAENDELEA KUCHELEWESHWA KUKUTANA NA NYUKI WA TABORA...

ℹ️ Bodi ya Ligi Kuu imefanya maboresho ya ratiba ya michezo miwili ya timu ya soka ya Simba SC Tanzania .

• Mchezo dhidi ya Singida Big Stars ambao awali haukupangiwa tarehe sasa utachezwa Disemba 28, 2024 kwenye Uwanja wa Liti mkoani Singida.

• Mchezo dhidi ya Tabora United ambao ulipangwa kuchezwa Disemba 28, 2024 kwenye Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi mkoani Tabora umeondolewa na utapangiwa tarehe mpya.

WAZIRI KABUDI AWASHUKIA SIMBA UHARIBIFU WA VITI
16/12/2024

WAZIRI KABUDI AWASHUKIA SIMBA UHARIBIFU WA VITI

MAN U KAIBONDA MAN CITY KWAKE...FT MANCHESTER CITY 1-2 MANCHESTER UTDJioooooooooooni
15/12/2024

MAN U KAIBONDA MAN CITY KWAKE...

FT MANCHESTER CITY 1-2 MANCHESTER UTD

Jioooooooooooni

KUNDI LA SIMBA LINA UGUMU WAKE
15/12/2024

KUNDI LA SIMBA LINA UGUMU WAKE

MZIGO WA MAMA UMETUA SALAMA MSIMBAZI...
15/12/2024

MZIGO WA MAMA UMETUA SALAMA MSIMBAZI...

HUYU KIBU DENGA NI MOTO CHINI....JioooooooooooniFT SIMBA 2-1 CS SFAXIEN
15/12/2024

HUYU KIBU DENGA NI MOTO CHINI....

Jioooooooooooni
FT SIMBA 2-1 CS SFAXIEN

SIMBA WANAINGIA NAMNA HII KUWINDA ALAMA TATU MUHIMU...
15/12/2024

SIMBA WANAINGIA NAMNA HII KUWINDA ALAMA TATU MUHIMU...

HAIJAISHA HADI IMEISHA...FT TP MAZEMBE 1-1 YANGA
14/12/2024

HAIJAISHA HADI IMEISHA...

FT TP MAZEMBE 1-1 YANGA

TIKETI BADO ZIPO ZA KUTOSHA
14/12/2024

TIKETI BADO ZIPO ZA KUTOSHA

KIKOSI CHA YANGA VS TP MAZEMBE
14/12/2024

KIKOSI CHA YANGA VS TP MAZEMBE

LUBUMBASHI
14/12/2024

LUBUMBASHI

KLABU BINGWA AFRIKA LEO..
14/12/2024

KLABU BINGWA AFRIKA LEO..

Address

Arusha

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when CLEMENT SHARI posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category