Obama Media

Obama Media Our Commitment is to deliver compelling content remains unwavering.

Kisioki Moitiko ashinda kura za maoni katika kuwania nafasi ya Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Monduli kwa kipata...
01/12/2025

Kisioki Moitiko ashinda kura za maoni katika kuwania nafasi ya Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Monduli kwa kipata kura 15 huku aliye mfwatia alipata kura 13

27/11/2025

WAZEE WAKIMILA WAMSHUKURU MAMA REGINA LOWASSA KWA KUTIMIZA AHADI KWA KUWAPA VITI 150

Diwani kata ya Selela Mhe.Kisioki Moitiko achukua fomu ya kuwania nafasi ya Mwenyekiti wa Halmashauri ya Monduli.
20/11/2025

Diwani kata ya Selela Mhe.Kisioki Moitiko achukua fomu ya kuwania nafasi ya Mwenyekiti wa Halmashauri ya Monduli.

Mbunge Mteule wa Monduli, Izack Joseph Copriano (Kadogoo), ashiriki kikao cha kwanza cha Bunge la 13 jijini DodomaIzack ...
12/11/2025

Mbunge Mteule wa Monduli, Izack Joseph Copriano (Kadogoo), ashiriki kikao cha kwanza cha Bunge la 13 jijini Dodoma

Izack Joseph Copriano, maarufu k**a Kadogoo, Mbunge mteule wa Jimbo la Monduli (CCM), leo tarehe 11 Novemba 2025, ameshiriki kwa mara ya kwanza kikao cha Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kinachoendelea jijini Dodoma.

Kikao hiki ni sehemu ya Bunge la 13, ambacho kimeanza leo na kujumuisha wabunge wapya pamoja na wale waliorejea, wakitarajiwa kuapa baadae leo kabla ya kuanza rasmi majukumu yao.

Mhe. Kadogoo, anayejulikana kwa ushindi wake wa kishindo Oktoba 29, 2025, ameonekana akiwa na ari, nidhamu na hamasa kubwa ya kulitumikia Taifa, huku akisisitiza dhamira yake ya kuleta maendeleo kwa wananchi wa Monduli na Watanzania kwa ujumla.

29/10/2025

Mbunge mstaafu wa Jimbo la Monduli Mhe.Fred Lowassa akipiga kura Kijiji Cha Ngarash Wilayani Monduli.

23/10/2025
21/10/2025

Leo Mbunge Mstaafu Wa Jimbo la Monduli, Mh Fredrick Lowassa ameshiriki Sherehe ya Kimila ya kufungua Kisu kwa Vijana wa Megoliki katika Kata ya Lashaine.

Amewakumbusha Wazee wa Lashaine, kwamba Kata hii ndiyo imejenga Mahusiano ya Ujirani na Chuo chetu cha Mafunzo ya JWTZ, na ndiyo maana Mhe Rais Samia Suluhu Hassan ameendelea kulinda Malisho ya Wilaya yetu kwasababu ya Mahusiano hayo mema. Na kuwasisitiza tutoke wote kwa Nguvu kujaza Kura za CCM tarehe 29 Oktoba.

18/10/2025

UZINDUZI WA KAMPENI KATA YA MESERANI VIBE K**A LOTE KUMPOKEA MBUNGE MTEULE ISACK KAPRIANO

13/10/2025

Mgombea Udiwani kata ya Monduli mjini Husein Kuney ashiriki uzinduzi wa kampeni kata ya Monduli Juu na kuomba kura za Mgombea Udiwani kata ya Monduli Juu Ndugu Musa na kura za Rais Samia Suluhu Hassan.

12/10/2025

Uzinduzi wa kampeni kata ya Monduli Juu na Mhe. Musa Kamaika Huku Mgombea Ubunge Jimbo la Monduli Mhe Isack Joseph Capriano akishiriki kuomba kura kwa Ccm.

MGOMBEA UDIWANI KATA YA MONDULI JUU MUSA K**AIKA MEINGARANA AZINDUA KAMPENI KATA YA MONDULI JUU HUKU MGOMBEA UBUNGE JIMB...
12/10/2025

MGOMBEA UDIWANI KATA YA MONDULI JUU MUSA K**AIKA MEINGARANA AZINDUA KAMPENI KATA YA MONDULI JUU HUKU MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA MONDULI MHE ISACK KAPRIANO AKIMSINDIKIZA KUOMBA KURA ZA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN.

Address

Monduli
Arusha
255

Telephone

+255767635060

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Obama Media posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Obama Media:

Share