Obama Media

Obama Media Our Commitment is to deliver compelling content remains unwavering.

07/05/2026

BARAZA LA MADIWANI MONDULI

06/05/2026

Leo katika baraza la madiwani Mhe.Hussein Olekuney akiwasliisha hoja kuhusu Vibanda vya soko la Kila siku Kata ya Monduli mjini apata majibu ya Papo Kwa hapo na kuongezewa muda wa Miaka mitatu ILi kurudisha gharama za Ujenzi wa Vibanda hivyo
wakati wananchi Hao waliomba waongezewe muda wa Miaka 10 mingine badala ya Miaka nane walio pewa Ili kurudisha gharama zao Baraza hilo la madiwani likiongozwa na Mhe.kisioki Moitiko ambaye ndie Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Monduli wameadhimia kuongeza Miaka mitatu k**a motisha ya wapangaji wa Vibanda hivyo Ili kurudisha gharama za Ujenzi wa Vibanda hivyo

01/05/2026

*CHANGAMOTO ZA CHUO CHA UWALIMU MONDULI ZATUA KWA MBUNGE WA MONDULI.

Katibu wa Mbunge Jimbo la Monduli Bw.Denis Murindati akimuwakilisha Mbunge wa Jimbo la Monduli Mhe.Isack Joseph Corpiano ambaye ni Mgeni Rasmi katika Mahafali ya 60 katika chuo cha Ualimu Monduli.

Katika risala Iliyosomwa kwa Mgeni rasmi Bw.Denis uliainisha moja changamoto inayokumba chuo hicho hasa ukosefu wa maji ya dharura kipindi cha kiangazi chuoni hapo wameomba kupata matenki ya kuhifadhia maji pamoja na ukosefu wa samani katika bwalo la kulia.

Hata hivyo kwaniaba ya Mbunge Jimbo Ndg.Denis Murindati amesema ofisi ya Mbunge itatoa fedha kiasi cha milioni 8 kutoka mfuko wa jimbo kutatua changamoto hizo,moja ya changamoto ikiwemo ni Kununua Matenki matano ya kuhifadhia maji yenya thamani ya milioni 5 na kununua meza 10 zenye thamani ya Kiasi cha milioni 3 pamoja na Samani zingine zitakazotumika kwenye Bwalo lakulia chakula.

Aidha muwakilishi wa ofisi ya Mbunge ndugu murndet ameahidi kuzungumza na wadau wa maendeleo kujenga uwanja wa basketball Ili kusapoti michezo Kwa afya za wanachuo hao.

*CHANGAMOTO ZA CHUO CHA UALIMU MONDULI ZATUA KWA MBUNGE WA MONDULI*Katibu wa Mbunge Jimbo la Monduli Bw.Denis Murindati ...
30/04/2026

*CHANGAMOTO ZA CHUO CHA UALIMU MONDULI ZATUA KWA MBUNGE WA MONDULI*

Katibu wa Mbunge Jimbo la Monduli Bw.Denis Murindati amemuwakilisha Mbunge wa Jimbo la Monduli Mhe.Isack Joseph Corpiano ambaye ni Mgeni Rasmi katika Mahafali ya 60 katika chuo cha Ualimu Monduli.

Katika risala Iliyosomwa kwa Mgeni rasmi Ndg.Denis iliainisha moja changamoto inayokumba chuo hicho hasa ukosefu wa maji ya dharura kipindi cha kiangazi chuoni hapo wameomba kupata matenki ya kuhifadhia maji changamoto nyingine ni ukosefu wa samani katika bwalo la chakula.

Hata hivyo kwaniaba ya Mbunge Ndg.Denis Murindati amesema ofisi ya Mbunge wa Monduli Mhe.Isack itatoa fedha kiasi cha milioni 8 kutoka mfuko wa jimbo ili kutatua changamoto hizo,
moja ya changamoto ikiwemo ni Kununua Matenki matano ya kuhifadhia maji yenya thamani ya milioni 5 na kununua meza 10 zenye thamani ya Kiasi cha milioni 3 pamoja na Samani zingine zitakazotumika kwenye Bwalo lakulia chakula.

Aidha muwakilishi wa ofisi ya Mbunge ndugu murndet ameahidi kuzungumza na wadau wa maendeleo kujenga uwanja wa basketball Ili kusapoti michezo Kwa afya za wanachuo hao.

29/04/2026

Mbunge 2020-2025 wa Jimbo la Monduli Mhe Fred Lowassa atoa salamu za Rambirambi kwenye ibada ya mazishi Kwa familia ya Mzee Lengisugi iliyo fanyika katika Kanisa la KKKT Monduli Mjini Leo tar 29/4/2026

26/04/2026

Leo katika mahafali ya kidato cha sita Shule ya Sekondari moringe Mgeni Rasmi ndugu Taiko kulunju ambae ni mdau wa maendeleo na mfanya biashara mererani atoa kiasi cha milioni NNE fedha taslim mara baada ya kusikiliza changamoto Kwenye risala iliyo somwa na wanafunzi wa kidato cha sita shule ya Sekondari moringe.

miongoni mwa changamoto zilizokua zimetajwa ni uzio kwenye mabweni ya wasichana kua hafifu mpaka kufikia wezi kuingia nakuwaibia wanafunzi vifaa vyao vyakusomea hivyo wanafunzi kuishi Kwa hofu kwenye mazingira ya Shule hiyo.

Aidha mgeni huyo ameweza kupongeza juhudi za walimu Kwa kupadisha ufaulu Hadi kufikia kiwango cha daraja la Kwanza na lapili tuu na kusisitiza wabaki na daraja moja ambalo ni division One.

akizungumza na Obama media mkuu wa Shule ya moringe SOKOINE ndugu.Lazaro Ndoki amemshukuru mgeni rasmi Kwa kutimiza malengo hayo huku akiamini zile siku 21 alizo zitoa Mgeni Rasmi kua atamalizia kiwango kilicho bakia Ili kufikia milioni 7 ambae ni Bei ya kukamilisha uzio huo

24/04/2026

MTAALA MPYA KUANZA 2027-2028 MKUU WA DIVISION ELIMU SEKONDARI WILAYA YA MONDULI NDG.HELEN MSEWE

21/04/2026

SIKILIZA NONDO ZA MR.SHAYO JUU YA WATENGENEZA MAUDHUI MTANDAONI kwanza na utu

19/04/2026

Mkurugenzi kutoka kampuni ya FAIDIKA na KILIMO Ndugu.SHANEY MAULID BUNDALA awafikia wakulima na kuwapa semina kuhusu Namna nzuri ya kufaidika na kilimo kupitia bidhaa za madawa aina ya super Grow yenye kuboost mimiea na kuweka mbolea yenye ubora katika kilimo,

Pia anahusika na dawa za binadamu zinazotokana na tiba lishe zenye kutibu kisukari,presha ,vidonda vya tumbo ,Nguvu za kiume,kupunguza sumu mwilini,Gaut pamoja na dawa zingine nyingi.

ANAPATIKANA JENGO LA MEGA COMPLEX MAENEO YA STEND KUBWA GOROFA NAMBA 4 PIA KWA MAWASILIANO ZAIDI MPIGIE KUPITIA NAMBA.
0625652415

19/04/2026

C.E.O WA FAIDIKA NA KILIMO NDUG.SHANEY BUNDALA ATANGAZA FURSA KWA VIJANA 20 KUPITIA BIDHAA ZA SUPER GROW ILI KUWA WASAMBAZAJI KWA WATEJA MBALIMBALI SEHEMU TOFAUTI TOFAUTI ILI KUJIPATIA KIPATO KUPITIA KAMPUNI HIYO PIGA SIMU.
KWA MAELEZO ZAIDI
0625652415 au
0745664416

13/04/2026

KUMBUKIZI YA MIAKA 42 YA HAYATI EDWARD SOKOINE YAHITIMISHWA LEO NA DC.MONDULI

Mkuu wa wilaya ya Monduli Mhe.Gloriana Kimath akabidhi zawadi kwa washindi wa Bonanza la kumbukizi ya Hayati Edward Moringe Sokoine

Mkuu wa wilaya ya Monduli Mhe.Gloriana Kimath amehitimisha Bonanza la Michezo lililo kutanisha Shule Tano za Sekondari zinazotoka kata ya Monduli Mjini na Kata ya Engutoto kwa kushirikiana na Sokoine Foundation huku mwenyeji akiwa ni Shule ya Sekondari ya Moringe.

Katika kuhitimisha Bonanza hilo Mhe.Dc Gloriana Kimath amekabidhi zawadi mbali mbali kwa washindi wa Bonanza hilo ikiwemo Fedha Taslimu,Medali na Makombe.

Hata hivyo Mhe.Dc Gloriana amewataka na kuwasihi wanafunzi hao kuendelea kujifunza Uzalendo kwa nchi yao k**a Hayati Edward Moringe Sokoine ilivyofanya na kuwataka wanafunzi hao kusoma kwa bidii ili waweze kutimiza Ndoto zao.

Bonanza hilo la Kumbukizi ya Hayati Edward Moringe Sokoine limekutanisha Timu tano kutoka Shule ya Sekondari ya Moringe Sokoine,Engutoto,Irkisongo na Shule ya Alfa Omega.

Address

Monduli
Arusha
255

Telephone

+255767635060

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Obama Media posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Obama Media:

Share