25/07/2026
Toka kwenye group✍🏽
Left footer magician ibrahim jabaar rasmi ni mnyama kwa mkataba wa miaka 02
Jamaa ni kiraka ana uwezo mkubwa wa kucheza kiungo mkabaji ,kiungo mshambuliaji, kiungo mchezeshaji na winga pia
Umri wake ni miaka 24 tu ni raia wa nigeria 🇳🇬🇳🇬 na ni mchezaji aliyetokea stellenbosch ya africa kusini
Ni mchezaji ambaye amepikwa na steve barker toka akiwa kinda na kocha barker ametumia ushawishi mkubwa sana mpaka jamaa anatua bongo
Karibu SIMBA SC Ibrahim jabaar 🇳🇬