21/03/2025
Shalom..!
Huku Kazi ya Huduma & Kanisa letu linahitaji Kwa Kweli Mkono wako wa Uwezesho/Sapoti ya Kifedha.
Nakuomba Mheshimiwa & Rafiki yangu Usitusahau Kwa SADAKA & Mbegu Zako Maalum za MICHANGO, NADHIRI, SHUKURANI, Sadaka za KIAGANO n.k..n.k.
Mpendwa Mheshimiwa & Rafiki yangu, NINAWASILISHA Kwako Kwa HESHIMA & UNYENYEKEVU Mezani pako & Mbele yako hitaji letu Kwa Ajili ya Kazi ya Mungu ya Huduma & Kanisa letu.
Na Naomba lipate Kibali Kwa Neema ya Mungu Mbele yako, Amen..!
KUMBUKA Daima:
UTOAJI Kwa ajili ya Kazi ya Mungu ni faida Kubwa Kwetu na Kwa Vizazi Vyetu, na Kwamba Mungu husema hivyo Ktk Neno lake:
Zaburi 50 (Biblia Takatifu)
"⁵ Nikusanyieni wacha Mungu wangu Waliofanya agano nami kwa dhabihu.
⁶ Na mbingu zitatangaza haki yake, Kwa maana Mungu ndiye aliye hakimu.
¹⁴ Mtolee Mungu dhabihu za kushukuru; Mtimizie Aliye juu nadhiri zako.
¹⁵ Ukaniite siku ya mateso; Nitakuokoa, na wewe utanitukuza.
²³ Atoaye dhabihu za kushukuru, Ndiye anayenitukuza. Naye autengenezaye mwenendo wake, Nitamwonyesha wokovu wa Mungu."
Na tena Mungu husema:
“Kwa maana tokea maawio ya jua hata machweo yake jina langu ni kuu katika Mataifa; na katika kila mahali unatolewa uvumba na dhabihu safi kwa jina langu; maana jina langu ni kuu katika Mataifa, asema Bwana wa majeshi”
— Malaki 1:11 (Biblia Takatifu)
Na Pia Mungu husema Ktk Neno lake:
Mathayo 6 (Biblia Takatifu)
"¹⁹ Msijiwekee hazina duniani, nondo na kutu viharibupo, na wevi huvunja na kuiba;
²⁰ bali jiwekeeni hazina mbinguni, kusikoharibika kitu kwa nondo wala kutu, wala wevi hawavunji wala hawaibi;
²¹ kwa kuwa hazina yako ilipo, ndipo utakapokuwapo na moyo wako."
Church ACCOUNT:
NBC Bank Account No - 014172000577
Jina - NAIOTH PROPHETIC VISIONS CENTRE.
(Kwa Mawasiliano Piga:
(+255 758 200 782
+255 787 200 782)
Thomas Mwaruka Keya,
(Presiding Bishop)
Na Mungu na AKUTENDEE Mema Wewe na Vizazi Duniani Kwa MCHANGO, Sadaka, Mbegu yako Kwetu, Amen..!