14/07/2026
Pacome anaondoka nchini😥Rasmi tunaenda kushuhudia Dabi ya Ngao ya Jamii bila Profesa wa Ball, Ligikuu inaanza bila Pacome too SAD💔...
"Pacome ameshatoka Hospital, na hivi sasa yupo nyumbani kwake anajiandaa na safari ya kwenda Paris kwa matibabu rasmi...
..kuhusu atapona lini, kwanza tunasubiri wiki sita zipite ili tupate ripoti ya madaktari ambayo itatuelekeza sasa kwamba ni kwa kipindi gani anaweza kuwa nje ya uwanja". Ali Kamwe akizungumzia hali ya Pacome!
Tufuatilie Instagram
Facebook
YouTube
TikTok
Tumekuchagua|Tutakuhudumia