Ally Kamwe

Ally Kamwe Journalist
• Media & Communication manager
•Holds coaching license B

Tumefika salama IRINGA TOWN Na kupokelewa na Straika Clement Francis Mzize  "Clementinho" .. Huwezi kuamini Iringa Yote ...
13/07/2026

Tumefika salama IRINGA TOWN Na kupokelewa na Straika Clement Francis Mzize "Clementinho" .. Huwezi kuamini Iringa Yote stori ni moja tu .. TAMASHA LA KESHO Uwanja wa Samora 🔥👊🏼

Natamani kuandika mengi ila Ngoja Niangalie namna ya Kupambana na Hili Baridi la huku kwanza ..

I bera woch my Baridi hia 🤩

DEPU HATARI NA NUSU
13/07/2026

DEPU HATARI NA NUSU

Usajili wa Mwaka Huu ni wamoto sana Wananchi.. Viongozi wetu wako makini kwa Utulivu na umakini mkubwa kuhakikisha Tunaj...
10/07/2026

Usajili wa Mwaka Huu ni wamoto sana Wananchi..

Viongozi wetu wako makini kwa Utulivu na umakini mkubwa kuhakikisha Tunajenda TIMU ITAYOITETEMESHA AFRIKA Msimu Ujao🧠👊🏼

Hakuna Jambo Litavuja wala Kutoka ili kuondoa Presha kwa wachezaji tunaowahitaji

KIMYA KIMYA WANAUME TUKO KAZINI

HATUCHEKI NA KIMA 🔪

Wachambuzi Kabla Msimu haujaisha“Yanga wachezaji wengi wamechoka. Wanatumika sana hadi wameshuka Ubora. Msimu huu watate...
10/07/2026

Wachambuzi Kabla Msimu haujaisha

“Yanga wachezaji wengi wamechoka. Wanatumika sana hadi wameshuka Ubora. Msimu huu watateseka sana

Wachambuzi Baada ya Msimu kuisha

“Yanga wawe makini kwenye usajili, wasajili kidogo sana kwa sababu timu yao bado ni nzuri sana. Wanahitaji wachezaji wapya wachache sana”.

YANGA WENYEWE JIBU LAO

𝐌𝐖𝐀𝐊𝐀𝐍𝐈 𝐓𝐄𝐍𝐀😀😀🙌🏽

Karibu Young Africans SC Kocha Mkuu MANQOBA MNGQITHI𝐇𝐀𝐓𝐔𝐂𝐇𝐄𝐊𝐈 𝐍𝐀 𝐊𝐈𝐌𝐀🔰
10/07/2026

Karibu Young Africans SC Kocha Mkuu MANQOBA MNGQITHI

𝐇𝐀𝐓𝐔𝐂𝐇𝐄𝐊𝐈 𝐍𝐀 𝐊𝐈𝐌𝐀🔰


Congratulations kocha wa makombe💚💛💪
10/07/2026

Congratulations kocha wa makombe💚💛💪

Kesho itakuwa ni mara yangu ya kwanza kufika IRINGA ..🤩 Sasa wataalam mlioizunguka Tanzania Naombeni maelekezo mapema ni...
10/07/2026

Kesho itakuwa ni mara yangu ya kwanza kufika IRINGA ..🤩 Sasa wataalam mlioizunguka Tanzania Naombeni maelekezo mapema ni vitu Gani vya kubeba kwenda navyo

Jambo la Clement Mzize_49 "Clementinho" Limefika na Mwenyekiti Nitakuwepo huko kuipa Jamii ya Iringa Furaha

26/06/2026

Msimu ujao utakuwa wa furaha zaidi��

Good kabisa
26/06/2026

Good kabisa

👑🤩
26/06/2026

👑🤩

Address

Dar Es Salaam
Arusha

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Ally Kamwe posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share