10/05/2026
Pumzika kwa amani ,Mama nakumbuka toka nizaliwe ni wewe peke yako hukuwahi hata siku Moja ya maisha yangu kuniita kwa jina langu la ubatizo la WALLACE ,ulinitaa siku zote MWOMBEKI,jina lililokuwa na Maono na ndoto kubwa kwako na Mimi mwanao