Zagwa Bukoba

Zagwa Bukoba Zaagwa Holdings Limited is a private Company which was incorporated on 6th July 2020. The Company mai

Mkurugenzi wa Zagwa,Siku ya Tatu ya mapumziko ,Rwazi ,Kahororo,Bukoba Mjini
09/10/2025

Mkurugenzi wa Zagwa,Siku ya Tatu ya mapumziko ,Rwazi ,Kahororo,Bukoba Mjini

Miaka sita  baada kuwa Rwazi,Kahororo Bukoba Mjini,tunabadili mandhali ya mji bila kuwa kwenye siasa,tulitangulia na kuf...
08/10/2025

Miaka sita baada kuwa Rwazi,Kahororo Bukoba Mjini,tunabadili mandhali ya mji bila kuwa kwenye siasa,tulitangulia na kufungua njia ya makazi mapya wengi Sasa wanatufuata Rwazi

Tuna push wenyewe kuleta maendeleo eneo la Rwazi ,Kahororo Bukoba Mjini ,serikali itatufuata baadae
06/10/2025

Tuna push wenyewe kuleta maendeleo eneo la Rwazi ,Kahororo Bukoba Mjini ,serikali itatufuata baadae

Maendeleo hayaletwi na siasa ni wewe binafsi na mipango yako,utajibadiliwi wewe binafsi na kubadili Dunia..Utasubiri na ...
06/10/2025

Maendeleo hayaletwi na siasa ni wewe binafsi na mipango yako,utajibadiliwi wewe binafsi na kubadili Dunia..Utasubiri na kulalamika sana ukitegemea siasa zibadili maisha yako na ya jamii

Bondia wa Zagwa Boxing Club,Paschal Protas akiwa anapata mawadha ya mwicho kutoka kwa Kocha,Robert Kyaruzi kabla ya kupa...
28/09/2025

Bondia wa Zagwa Boxing Club,Paschal Protas akiwa anapata mawadha ya mwicho kutoka kwa Kocha,Robert Kyaruzi kabla ya kupanda kwenye jukwaa kuwania ubingwa wa ridhha wa kanda ya ziwa ukifanyika Mwanza tarehe 26 - 27 September 2025

Mabodia kutoka mikoa ya Shinyanga,Tabora ,Mara ,Mwanza,Kagera walioshiriki mashindano ya ngumi ya ridhaa kutafuta bingwa...
27/09/2025

Mabodia kutoka mikoa ya Shinyanga,Tabora ,Mara ,Mwanza,Kagera walioshiriki mashindano ya ngumi ya ridhaa kutafuta bingwa wa Kanda ya Ziwa yaliyofanyika kwenye Jiji la Mwanza 26- 27 Septemba 2025

Bondia wa Zagwa Boxing Club,Rwegoshora Protas akiwa na medali ya dhahabu baada kuwa bingwa wa Kanda ya Ziwa kwenye mashi...
27/09/2025

Bondia wa Zagwa Boxing Club,Rwegoshora Protas akiwa na medali ya dhahabu baada kuwa bingwa wa Kanda ya Ziwa kwenye mashindano ya ngumi ya ridhaa yalifanyika kwe Jiji la Mwanza 26- 27 Septemba 2025

Eric Kaijage,kijana wa kidato cha nne shule ya sekondari Kashai,Bukoba Mjini anajipatia ushidi wa kwanza kwenye mashinda...
27/09/2025

Eric Kaijage,kijana wa kidato cha nne shule ya sekondari Kashai,Bukoba Mjini anajipatia ushidi wa kwanza kwenye mashindano ya ngumi ya ridhaa ya kutafuta bingwa wa Kanda ya ziwa yanaendelea Jiji la Mwanza

Bondia Paschal Protas akifanya vipimo yakiwa ni maandalizi kabla ya pambano la n gumi za ridhaa  linatorajiwa kufanyika ...
26/09/2025

Bondia Paschal Protas akifanya vipimo yakiwa ni maandalizi kabla ya pambano la n gumi za ridhaa linatorajiwa kufanyika Leo tarehe 26 September 2025 kutafuta bingwa wa Kanda ya ziwa

Bondia Erick Kaijage akifanya vipimo yakiwa ni maandalizi kabla ya pambano la n gumi za ridhaa  linatorajiwa kufanyika L...
26/09/2025

Bondia Erick Kaijage akifanya vipimo yakiwa ni maandalizi kabla ya pambano la n gumi za ridhaa linatorajiwa kufanyika Leo tarehe 26 September 2025 kutafuta bingwa wa Kanda ya ziwa

Bondia Rwegoshora Protas akifanya vipimo yakiwa ni maandalizi kabla ya pambano la n gumi za ridhaa  linatorajiwa kufanyi...
26/09/2025

Bondia Rwegoshora Protas akifanya vipimo yakiwa ni maandalizi kabla ya pambano la n gumi za ridhaa linatorajiwa kufanyika Leo tarehe 26 September 2025 kutafuta bingwa wa Kanda ya ziwa

Address

Plot No. 41 Block ‘A’. Rwazi Area, Kahororo
Bukoba
110110

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Zagwa Bukoba posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share