Tabora Kumekucha

Tabora Kumekucha News/Trending Stories/ Entertainment & Football News โ€ผ๏ธ
๐Ÿ“ฒ+255693 878 611

*Tunakutangazia Biashara yako inchi Zima Facebook na Instagram..

Nahodha wa Simba SC, Mohamed Hussein maarufu k**a "Tshabalala", amethibitisha kuondoka rasmi ndani ya kikosi hicho baada...
19/07/2025

Nahodha wa Simba SC, Mohamed Hussein maarufu k**a "Tshabalala", amethibitisha kuondoka rasmi ndani ya kikosi hicho baada ya mkataba wake kumalizika.

Tshabalala, ambaye amehudumu kwa muda mrefu akiwa sehemu muhimu ya timu hiyo, ameagana na Wekundu wa Msimbazi huku akiacha kumbukumbu ya mchango mkubwa uwanjani na nje ya uwanja.

Lamine Yamal sasa ndiye mchezaji mpya wa Barcelona anayevikwa jezi namba 10 โ€” jezi yenye heshima kubwa iliyowahi kuvaliw...
16/07/2025

Lamine Yamal sasa ndiye mchezaji mpya wa Barcelona anayevikwa jezi namba 10 โ€” jezi yenye heshima kubwa iliyowahi kuvaliwa na magwiji k**a Lionel Messi, Ronaldinho na Rivaldo. ๐Ÿ˜ˆ๐Ÿ‘

Kijana huyu mwenye umri wa miaka 17 ameendelea kuvutia dunia kwa kiwango chake cha juu licha ya umri mdogo, na sasa klabu imemzawadia jukumu hilo kubwa k**a ishara ya imani kwa kipaji chake cha kipekee.

:CHELSEA 3-0 PSGโšฝ๏ธCole Palmer  22โ€โšฝ๏ธCole Palmer 30โ€โšฝ๏ธJoao Pedro  43โ€FIFA CLUB WORLD CUP 2025 FINAL๐ŸŸ MetLife Stadium โ€ผ๏ธ๐Ÿ”ฅ
13/07/2025

:CHELSEA 3-0 PSG

โšฝ๏ธCole Palmer 22โ€
โšฝ๏ธCole Palmer 30โ€
โšฝ๏ธJoao Pedro 43โ€

FIFA CLUB WORLD CUP 2025 FINAL

๐ŸŸ MetLife Stadium

โ€ผ๏ธ๐Ÿ”ฅ

Mshambuliaji kutoka Cameroon, W***y Onana, amesaini mkataba wa miaka miwili na klabu ya CS Sfaxien ya Tunisia ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ณโœ๏ธBaada ...
12/07/2025

Mshambuliaji kutoka Cameroon, W***y Onana, amesaini mkataba wa miaka miwili na klabu ya CS Sfaxien ya Tunisia ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ณโœ๏ธ

Baada ya kucheza katika ligi za Cameroon, Rwanda, Tanzania na Libya โ€” sasa anaanza ukurasa mpya nchini Tunisia.

Klabu ya Singida Black Stars imemtangaza rasmi kurejea nyumbani beki wao wa zamani, Kelvin Kijili, akitokea Simba SC ali...
10/07/2025

Klabu ya Singida Black Stars imemtangaza rasmi kurejea nyumbani beki wao wa zamani, Kelvin Kijili, akitokea Simba SC alikocheza kwa msimu mmoja pekee. Rejeo hilo linaongeza nguvu kwenye safu ya ulinzi ya timu hiyo kuelekea msimu mpya wa mashindano.

โ€ผ๏ธ๐Ÿ”ฅ

Wa kumzuia PSG ni yanga tu๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ โ€ผ๏ธ๐Ÿ”ฅ
09/07/2025

Wa kumzuia PSG ni yanga tu๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

โ€ผ๏ธ๐Ÿ”ฅ

Madrid wanalalamika wanacheza na timu Tatu PARIS, SAINT na GERMAIN ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
09/07/2025

Madrid wanalalamika wanacheza na timu Tatu PARIS, SAINT na GERMAIN
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Aishi Salum Manula Kipa wa Timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars  ameondoka Simba SC na kurejea Azam FC kwa kusaini Mkat...
09/07/2025

Aishi Salum Manula Kipa wa Timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars ameondoka Simba SC na kurejea Azam FC kwa kusaini Mkataba wa miaka mitatu (2028), Manula aliondoka Azam FC 2017 na kwenda kuitumikia Simba SC kwa miaka nane.

HALF TIMEFluminense ๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ท 0๏ธโƒฃ โž– 1๏ธโƒฃ Chelsea ๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟโšฝ 18' Joao PedroNusu Fainali ya Kombe la Dunia la Vilabu โ€ผ๏ธ๐Ÿ”ฅ
08/07/2025

HALF TIME
Fluminense ๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ท 0๏ธโƒฃ โž– 1๏ธโƒฃ Chelsea ๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ
โšฝ 18' Joao Pedro
Nusu Fainali ya Kombe la Dunia la Vilabu

โ€ผ๏ธ๐Ÿ”ฅ

Barbra Banda, mchezaji mahiri wa timu ya taifa ya wanawake ya Zambia, ameweka historia kwenye WAFCON 2025 baada ya kufun...
06/07/2025

Barbra Banda, mchezaji mahiri wa timu ya taifa ya wanawake ya Zambia, ameweka historia kwenye WAFCON 2025 baada ya kufunga bao ndani ya sekunde 58 tu kwenye mchezo wa Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake linaloendelea nchini Morocco. Bao hilo limefungwa kwenye pambano kali kati ya Morocco na Zambia lililomalizika kwa sare ya mabao 2-2! ๐Ÿ”ฅโšฝ


DEMBELE AFUNGA BAO LA USHINDI PSG WAKIWA WACHEZAJI 9 DHIDI YA BAYERN NA WANATINGA NUSU FAINALI YA KOMBE LA DUNIA LA VILA...
05/07/2025

DEMBELE AFUNGA BAO LA USHINDI PSG WAKIWA WACHEZAJI 9 DHIDI YA BAYERN NA WANATINGA NUSU FAINALI YA KOMBE LA DUNIA LA VILABU!! ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ’ช๐Ÿฝ

๐Ÿ—ฃ โ€œMke wangu aliniacha nilipofungiwa kucheza na kupoteza umaarufu. Alikuwa pale kwa ajili ya pesa na umaarufu tu.โ€Pogba ...
01/07/2025

๐Ÿ—ฃ โ€œMke wangu aliniacha nilipofungiwa kucheza na kupoteza umaarufu. Alikuwa pale kwa ajili ya pesa na umaarufu tu.โ€
Pogba anasema kuwa mara tu alipokuwa hana tena mwanga wa umaarufu, marafiki walitoweka. Hakuna tena mialiko. Hakuna tena simu. Hakuna tena mapenzi ya kweli.

โ€œWatu waliacha kunialika kwenye matukio. Mke wangu aliniacha. Hapo ndipo nilipojua nani alinipenda kwa dhati โ€” na nani alikuwa kwa ajili ya faida.โ€

โ€ผ๏ธ๐Ÿ”ฅ

Address

Dar Es Salaam

Telephone

+255768281793

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Tabora Kumekucha posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share