African Football Magazine AFM

African Football Magazine AFM Discuss about football

10/04/2023

DRC to TZ

Simba SC na Eric Kabwe (21) wamefikia makubaliano ya mdomo kwa nyota huyo wa AS Vita Club kujiunga na wababe hao wa Tanzania msimu ujao.

Hakuna mkataba wa awali ambao umetiwa saini bado lakini ni makubaliano ya mdomo tu katika hatua hii.

Klabu za Afrika Kusini, Sudan, Morocco, Algeria na Saudi Arabia zimewasiliana na wakala wake kwa ajili ya kutaka kuhama lakini mchezaji huyo aliweka wazi kuwa atachezea Simba.

Elewa; Kabwe atajiunga k**a mchezaji huru.

Discuss about football

Address

Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00

Telephone

+255743111841

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when African Football Magazine AFM posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to African Football Magazine AFM:

Share

Category