anold_media

anold_media THIS PAGE OWNED BY Arnold Emmanuel

SEMION MOGILEVICH — JINA LINALOTAMKWA KWA WOGA NA SERIKALI ZA DUNIA...🔍 UNAMJUA MAFIA ALIYETUMIA AKILI KULIKO BASTOLA?We...
27/05/2025

SEMION MOGILEVICH — JINA LINALOTAMKWA KWA WOGA NA SERIKALI ZA DUNIA...

🔍 UNAMJUA MAFIA ALIYETUMIA AKILI KULIKO BASTOLA?

Wengi wakisikia neno mafia, wanawaza mtu mwenye bastola, suti nyeusi na sura ya kutisha.
Lakini vipi k**a tunakuambia kuwa mafia hatari zaidi duniani alikuwa mtu wa kawaida kabisa — mwenye shahada ya uchumi?

👉 Karibu umjue Semion Mogilevich – “The Brainy Don” – aliyekuwa mfalme wa uhalifu wa kifedha duniani 🌍💼

🎓 Nani ni Semion Mogilevich?
Alizaliwa Ukraine, 1946. Alianza kwa kuwatapeli Wayahudi waliokuwa wanahama kwenda Israeli.
Kisha akatumia elimu yake ya uchumi kuanzisha mtandao wa uhalifu ulioenea dunia nzima.

🌐 Uhalifu Wake Ulitapakaa:
▪️ Uuzaji wa silaha
▪️ Madawa ya kulevya
▪️ Biashara ya binadamu
▪️ Ulaghai wa masoko ya hisa
▪️ Utakatishaji wa mamilioni ya fedha kupitia kampuni feki

💣 YBM Magnex – Ulaghai wa Kihistoria
Semion alitapeli zaidi ya $150M kupitia kampuni feki nchini Marekani & Canada.
Hili likamweka kwenye rada ya FBI mwaka 2009.

🚨 Lakini Hajawahi Kuk**atwa!
Alikimbilia Moscow, Urusi.
Anaaminika kuwa na kinga ya kisiasa kutoka kwa viongozi wa juu.
🎭 Anaishi huru hadi leo, licha ya kuwa kwenye orodha ya FBI ya watu 10 wanaotafutwa zaidi!

🧠 Mafia Aliyetawala Kimya Kimya
Hakutumia bunduki — alitumia karatasi, mabenki, na kampuni.
Walimuita:
“The Brainy Don” 🧠
“Mafia’s Accountant” 📊
“Invisible Boss” 👤

📌 Leo hii bado yupo huru... lakini kwa nini dunia imeshindwa kumk**ata?
Je, ni haki kwa mtu aliyetapeli mamilioni kuendelea kuishi maisha ya kawaida? 🤔

✍️ Imeandikwa na:
📧 Wasiliana nasi: [email protected]
📍 Dar es Salaam, Tanzania

Kupitia ukurasa wake wa instagram msemaji wa klabu ya simba sc AHMED ALLY ameandika haya.....Dodoma Jiji jana kafungwa m...
26/12/2024

Kupitia ukurasa wake wa instagram msemaji wa klabu ya simba sc AHMED ALLY ameandika haya.....

Dodoma Jiji jana kafungwa magoli mawili ya Uwongo, Moja la Offside na pili Penati ya uongo lakini Kocha wao hajalalamika kuonewa wala kudhulumiwa zaidi amesema AMESTAHILI KUFUNGWA

Rejea mechi ya Dodoma Jiji Vs Simba, baada ya sisi kufunga goli la Penati ya halali alitoa mapovu kulaumu Waamuzi yote ni kuaminisha watu kuwa tumemdhulumu na kutaka kutia dosari kazi nzuri inayofanywa na Simba Sports msimu huu

Nimeyasema haya ili Wana Simba tuone vita ni kubwa iliyombele yetu ni namna gani Wapinzani hawapendi kufungwa na sisi lakini wanafurahi kufungwa na wengine, ndio maana haishangazi kuona tunapata ushindi wa jasho na damu

Wale wanaosema tunashinda lakini tunashikilia roho sio kwa sababu tuu ya ubora ni kwa sababu wapinzani wanauma meno kupitiliza na sisi ndio tunapenda ushindani wa aina hiyo

Kuelekea mechi zijazo Wana Simba tunapaswa kuunganisha nguvu kweli kweli, tupambane kwa nguvu sawa kuhakikisha tunatimiza malengo yetu

Nguvu Moja💪 Ubaya Ubwela 🦁

Msanii maarufu wa Bongo Fleva, Marioo, amesheherehekea mafanikio makubwa ya wimbo wake mpya, "Unanchekesha," ambao umefa...
27/10/2024

Msanii maarufu wa Bongo Fleva, Marioo, amesheherehekea mafanikio makubwa ya wimbo wake mpya, "Unanchekesha," ambao umefanikiwa kushika nafasi ya kwanza kwenye chati ya Apple Music Tanzania. Akiandika kwenye ukurasa wake wa Instagram, Marioo alifichua kuwa alichukua dakika 9 pekee kuandika verse na chorus ya wimbo huo, huku mtayarishaji akitumia dakika 10 kuunda mdundo.

Marioo alisisitiza umuhimu wa ushirikiano na S2kizzy katika kufanikisha wimbo huo, akisema, "Ninajivunia sana kazi yetu ya pamoja. Tumefanya kazi kwa bidii na Mungu ametujalia matokeo mazuri." Wimbo huo umeendelea kuwa gumzo, na hivi sasa jina la Marioo linaonekana kwenye nyimbo 15 kwenye chati ya Apple Music, akionyesha nguvu ya kazi yake.

Ushindi huu unamfanya Marioo kuwa moja ya wasanii wanaoongoza katika tasnia ya muziki nchini, huku akitoa mfano wa jinsi ubora wa kazi unavyoweza kuleta mafanikio. Tunatarajia kuona nini kingine atakachokileta katika siku zijazo!

NBC PREMIER LEAGUE 🇹🇿FTSimba SC🇹🇿 3-0 Namungo 🇹🇿Kapombe🇹🇿, Ahoua 🇨🇮and Debora🇨🇬
25/10/2024

NBC PREMIER LEAGUE 🇹🇿

FT

Simba SC🇹🇿 3-0 Namungo 🇹🇿

Kapombe🇹🇿, Ahoua 🇨🇮and Debora🇨🇬

Elon Musk yupo katika hatua za mwisho za kukamilisha maroboti ya k**e ambayo yatatumika k**a wake wa watu. For the first...
24/10/2024

Elon Musk yupo katika hatua za mwisho za kukamilisha maroboti ya k**e ambayo yatatumika k**a wake wa watu.

For the first time, wanaume mtapata wanawake ambao hawatakua na tabia za maringo, usaliti, kuomba hela au hata kula nauli.

10/10/2024

😆😆😆

MATCH DAY 🦁🦁🦁
22/09/2024

MATCH DAY 🦁🦁🦁

AMERIPOTI FARHAN KIHAMU
15/09/2024

AMERIPOTI FARHAN KIHAMU

Yapi maoni yako kuelekea mchezo ujao.
15/09/2024

Yapi maoni yako kuelekea mchezo ujao.

msanii wa muziki wa RAP kutoka Marekani Belcalis Marlenis Cephus maarufu k**a Cardi B amejifungua mtoto wa tatu Jumamosi...
12/09/2024

msanii wa muziki wa RAP kutoka Marekani Belcalis Marlenis Cephus maarufu k**a Cardi B amejifungua mtoto wa tatu Jumamosi ya Septemba 7 mwaka huu.
Cardi B ame-share picha akiwa hospitali pamoja na familia yake ikiwemo baba wa mtoto huyo Offset ambaye imekuwa ikisemwa kuwa wameachana kwa takribani miezi michache sasa.

Kwa sasa Cardi B na Offset wana watoto watatu, wak**e wawili na wakiume moja.

FOOTBALL | Klabu ya  leo umethibitisha kuachana na aliekuwa kocha wa  JUMA MGUNDA Baada Ya mkataba wake kumalizika.✍ Ano...
08/09/2024

FOOTBALL | Klabu ya leo umethibitisha kuachana na aliekuwa kocha wa JUMA MGUNDA Baada Ya mkataba wake kumalizika.

✍ Anold sports

Address

Mloganzila
Dar Es Salaam
65005

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when anold_media posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to anold_media:

Share

Category