Carrymastorytv2

Carrymastorytv2 CARRYMASTORY MEDIA

Zaidi ya Watoto 2,500 wa kawaida na wenye mahitaji maalumu katika Jimbo la Kivule wamenufaika na ugawaji wa vifaa mbalim...
12/01/2026

Zaidi ya Watoto 2,500 wa kawaida na wenye mahitaji maalumu katika Jimbo la Kivule wamenufaika na ugawaji wa vifaa mbalimbali vya Shule vyenye thamani ya Tsh. milioni 40 ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa ahadi ya Mbunge wa Jimbo hilo, Ojambi Massaburi .
Vifaa vilivyogawiwa jana January 11, 2026 ni pamoja na sare za shule, taulo za k**e, sabuni, miswaki na mahitaji mengine ya msingi yanayowasaidia Wanafunzi kuendelea na masomo katika mazingira bora na rafiki.
Akiongea wakati wa zoezi hilo, Mbunge Ojambi Masaburi amesema ugawaji wa vifaa hivyo ni hatua ya kuwasaidia Watoto kutoka Familia zenye kipato cha chini pamoja na kuhakikisha Wanafunzi, wakiwemo wenye mahitaji maalumu, hawakatishwi masomo kutokana na ukosefu wa mahitaji ya msingi.
Amesema kuwa jitihada hizo zinaenda sambamba na maboresho makubwa ya miundombinu ya elimu yanayotekelezwa na Serikali ya awamu ya sita chini ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ikiwemo ujenzi wa Shule mpya, madarasa ya kisasa na kuimarishwa kwa upatikanaii wa walimu.
Ugawaji huo umefanyika kupitia Ofisi ya Mbunge wa Jimbo la Kivule kwa kushirikiana na Mtara Wanje Foundation, Apex Foundation pamoja na Mfuko wa Jimbo, kwa lengo la kupunguza changamoto ndogondogo zinazowakabili wanafunzi katika safari yao ya elimu.

Na kweli Wakati Wa Mungu Mwenyewe kuchukua Magari Yake Ndio wakati Sahihi Alikua Na Jeuri Sana huyu Baba  🤣🤣😂😂😂🤣🤣🤣
12/01/2026

Na kweli Wakati Wa Mungu Mwenyewe kuchukua Magari Yake Ndio wakati Sahihi Alikua Na Jeuri Sana huyu Baba 🤣🤣😂😂😂🤣🤣🤣

Game ya muziki imeanza usgindani sasa 😀😀😂😂  usilale Jux ukubwa umempa wewe baada ya Colabo zako 😂😂😂🙌
12/01/2026

Game ya muziki imeanza usgindani sasa 😀😀😂😂 usilale Jux ukubwa umempa wewe baada ya Colabo zako 😂😂😂🙌

Haya Ujumbe Huo kutoka Kwa jeshi la watu wawili 🙌🙌
12/01/2026

Haya Ujumbe Huo kutoka Kwa jeshi la watu wawili 🙌🙌

Watanzania muwe nahuruma na  😂😂😂😂😂 Yani humu insta mi sijawahi Kuwa Serious ukiwa serious hutoboi utakasirika tu na kila...
12/01/2026

Watanzania muwe nahuruma na 😂😂😂😂😂 Yani humu insta mi sijawahi Kuwa Serious ukiwa serious hutoboi utakasirika tu na kila kitu 😂😂😂🙌

Ameandika officialbabalevo Naamini  Ametumia Kila Njia Kuhakikisha Mzee Wetu Mkubwa Fela Anapata Matibabu INDIA ...!!!Am...
11/01/2026

Ameandika officialbabalevo Naamini Ametumia Kila Njia Kuhakikisha Mzee Wetu Mkubwa Fela Anapata Matibabu INDIA ...!!!
Ametoa Pesa Nyingi Sana Za Kwake Na Za Marafiki Zake Ili Kupigania Uhai Wa Mzee Wetu..!!
Sioni K**a Ina Maana Sana Kumlaumu Kwa Sasa Kwasababu Tayari Mkubwa Ameshapata Matibabu
India Na Amerudi Tanzania Kwa Ajili Ya Matibabu
Mengine Tanzania.!!
Ikiendelea Hivi Itabidi Tutaje Kila Shilingi Iliyotolewa
Na LUKUGA. Na Mpaka Leo Bado Anaendelea Kuhangaikia Maisha Ya Mzee Wetu📌

Ameandika  Naamini  Ametumia Kila Njia Kuhakikisha Mzee Wetu Mkubwa Fela Anapata Matibabu INDIA ...!!!Ametoa Pesa Nyingi...
11/01/2026

Ameandika Naamini Ametumia Kila Njia Kuhakikisha Mzee Wetu Mkubwa Fela Anapata Matibabu INDIA ...!!!
Ametoa Pesa Nyingi Sana Za Kwake Na Za Marafiki Zake Ili Kupigania Uhai Wa Mzee Wetu..!!
Sioni K**a Ina Maana Sana Kumlaumu Kwa Sasa Kwasababu Tayari Mkubwa Ameshapata Matibabu
India Na Amerudi Tanzania Kwa Ajili Ya Matibabu
Mengine Tanzania.!!
Ikiendelea Hivi Itabidi Tutaje Kila Shilingi Iliyotolewa
Na LUKUGA. Na Mpaka Leo Bado Anaendelea Kuhangaikia Maisha Ya Mzee Wetu📌

Address

Sinza
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Carrymastorytv2 posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category