Carrymastorytv2

Carrymastorytv2 CARRYMASTORY MEDIA

28/05/2026

..
PRESSURE WASHER
♨️SIFA ZA PUMP HII
✴️Ni rahisi kutumia
✴️Inaosha MAGARI
✴️Ina rahisisha kwa wakulima wa Umwagiliaji
✅BETRI 2
TSH 140,000
Call / Whatsapp
0744442220
0628066650

28/05/2026

😂😂😂😂😂😂😂 angalia mpaka mwisho akili za anazijua mwenyewe tu 😂😂😂😂

27/05/2026

🏠✨ PLOT / NYUMBA INAUZWA – MWANANYAMALA “A” KISIWANI 📍

💰 BEI: MILLION 58 TU 📌

😮‍💨 Hii sio nyumba ya kupita pembeni boss…
Hii ni opportunity ya mtu mwenye maono ya kutengeneza pesa 💸🔥

📍 Nyumba ipo ya 3 kutoka lami
🚗 Accessibility ni nzuri muda wote

🏡 Ina jumla ya VYUMBA 7
✅ Vyote vina wapangaji tayari

💰 Tayari unaingia kwenye income siku hiyo hiyo baada ya kununua 😮‍💨🔥

📈 Lakini hapa ndipo wenye akili ya biashara wanaona mbali zaidi…

Unaweza:
✔️ Kufanya renovation kidogo
✔️ Kuweka gypsum
✔️ Slide windows
✔️ Kuboresha mazingira

🔥 Na kodi zikapanda vizuri zaidi kila mwezi 💸

📍 Eneo linafaa kwa:
✔️ Apartment
✔️ Rental business
✔️ Air B&B
✔️ Hostel ndogo
✔️ Uwekezaji wa muda mrefu

😮‍💨 Mwananyamala kwa sasa ni moja ya maeneo yanayozalisha pesa sana kutokana na ukaribu wake na city

⚠️ Mali za maeneo k**a haya hazikai muda mrefu sokoni
Ukichelewa kidogo unakuta imeenda 🏃‍♂️🔥

📌 SERVICE CHARGE: 50K

☎️📞 0672 222 237
(Tigo Call / WhatsApp)

☎️📞 0753 222 237
(Voda Normal Call)

🏠 Unauza NYUMBA / PAGALE / SHAMBA / KIWANJA au GARI?
Tuma picha, bei na maelezo yote WhatsApp 📲

📍 Ofisi zetu:
Mlimani City nyuma ya Arusha Car Wash

👑 MR EVERYTHING 255
“NI KWAKO TAJIRI

27/05/2026

Uongozi wa timu ya mpira wa kikapu ya umeendelea kugusa jamii baada ya kutoa msaada kwa watoto wenye mahitaji maalumu ikiwa ni sehemu ya kurudisha kwa jamii kupitia michezo.

Akizungumza wakati wa hafla hiyo, kiongozi wa timu hiyo Hasheem Thabiti amesema kuwa Dar City itaendelea kuwa karibu na jamii na kusaidia makundi yenye uhitaji kila inapopata nafasi.

Hasheem Thabiti amesema michezo si ushindani pekee bali pia ni chombo cha kuunganisha watu na kuleta faraja kwa jamii inayowazunguka.

Aidha, amewataka wadau wengine wa michezo na wananchi kujitokeza kusaidia watoto wenye uhitaji ili kuwapa matumaini na mazingira bora ya maisha yao ya kila siku.

27/05/2026
27/05/2026

Mi napenda wasanii k**a no fake zone 🙌😂😂😂😂 yani sasa watesi mnasema miguu yake inashida gani mtu yuko zake real 😂😂🤣🤣🤣

27/05/2026

Kumbe kuna watu jana kwenye wasap wamepata michuzi ya sikukuu??? Naqakumbusha kuwa sativa hayuko Instagram

27/05/2026

Kundi la hamasa la mashabiki wa timu ya mpira wa kikapu la tayari wamefika hapa katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwl Julius Kambarage Nyerere kwaajili ya mapokezi ya timu hiyo ambayo inawasili muda mchache ujao ikitokea Rwanda ambapo ilikuwa ikishiriki michuano ya Basketball African League (BAL 2026)

27/05/2026

🏠🔥 PLOT / NYUMBA ILIYOGUSA LAMI INAUZWA 📍✨ IPO NYUMA YA VICTORIA – KARIBU NA MAKUMBUSHO STENDI

💰 BEI: MILLION 85 TU 📌

😮‍💨 Watu wengi wataona nyumba…Lakini wenye akili ya biashara wataona MGODI WA PESA 💸🔥

🏡 Nyumba tayari ina wapangaji✅ Inatoa kodi nzuri sana kila mwezi

📍 LOCATION ni ya hatari kibiasharaMovement ya watu ipo juu muda wote 😮‍💨

🚗 Imegusa lami kabisaNa mazingira yana accessibility kubwa sana kwa biashara yoyote

🔥 Hapa unaweza kufanya:

✔️ FREM ZA BIASHARA✔️ APARTMENT ZA KISASA✔️ AIR B&B✔️ YARD✔️ GODOWN✔️ SHOWROOM✔️ AU BIASHARA YOYOTE YA MJINI

😮‍💨 Hii ni aina ya eneo ambalo ukiweka akili yako vizuri…Linabadilika kuwa CENTER YA KUTENGENEZA PESA kila mwezi 💰🔥

📄 DOCUMENT:Residential License ✅Unaweza kwenda kufanya SEARCH wizarani kwanza ukaridhika

⚠️ Maeneo ya center k**a haya hayakai muda mrefu sokoniUkichelewa kidogo tu… unakuta yameenda 🏃‍♂️🔥

📌 SERVICE CHARGE: 50K

☎️📞 0672 222 237(Tigo Call / WhatsApp)

☎️📞 0753 222 237(Voda Normal Call)

🏠 Unauza NYUMBA / PAGALE / SHAMBA / KIWANJA au GARI?Tuma picha, bei na maelezo yote WhatsApp 📲

📍 Ofisi zetu:Mlimani City nyuma ya Arusha Car Wash

👑 MR EVERYTHING 255“NI KWAKO

Address

Sinza
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Carrymastorytv2 posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category