22/10/2025
follow
Kwa updates zaidi zitakazo fuata baada ya hii.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo,Bw. Gerald Mweli amefanya mkutano na wamiliki wa kampuni ya WATCO inayomiliki viwanda vya Katumba na Mwakaleli wilayani Rungwe, mkoani Mbeya; akiwemomwakilishi wa wafanyakazi pamoja na chama cha wafanyakazimashambani tarehe 21Oktoba2025 jijini Dodoma.
Mkutano huo pia umewashirikisha Bw.Abdulmajid Nsekela, Mwenyekiti wa Bodi ya Chai Tanzania ambaye pia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB; na Bi.
Beatrice Banzi, Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Chai ya
Tanzania.
✍️ Cc:
Sponsored by kwa usafirishaji wa mizigo mikoa yote Tanzania tupigie 0714388314 shekilango dar es salaam.