SAS Media TZ

SAS Media TZ ROOM OF NEWS DISCUSSION
Ukurasa huu ni Maalum Kwa habari mbalimbali za Michezo, Kijamii na Burudani

Arsenal wamemsajili kiungo Martin Zubimendi kutoka Real Sociedad kwa mkataba wa dau la  £51M. Mchezaji huyo wa kimataifa...
06/07/2025

Arsenal wamemsajili kiungo Martin Zubimendi kutoka Real Sociedad kwa mkataba wa dau la £51M.

Mchezaji huyo wa kimataifa wa Uhispania ametia saini kandarasi ya miaka Mitano atayaoitumikia katika uwanja wa Emirates baada ya Arsenal kukubali uhamisho huo tangu mwezi Machi.

Zubimendi atavaa jezi nyenye number 36 mgongoni akiwatumikia wekundu hao wa London.

NB:
Msimu huu sio wa kugombea nafasi ya pili tena.. Ni Ubingwa tu..

Arsenal sasa wanakaribia kukamilisha Usajili wa Mshambuliaji wa Sporting Viktor Gyokeres. Victor Gyokeres Hatarudi kweny...
06/07/2025

Arsenal sasa wanakaribia kukamilisha Usajili wa Mshambuliaji wa Sporting Viktor Gyokeres.

Victor Gyokeres Hatarudi kwenye mazoezi ya klabu kwa sababu anataka kuondoka na anataka kujiunga na Arsenal.

Taarifa kuhusu habari kubwa za Viktor Gyökeres ni kwamba Gyökeres amefikia makubaliano na Arsenal kuhusu masharti ya kandarasi na kuwafahamisha Sporting kuhusu nia yake ya kujiunga na Arsenal.

Gyökeres Hana chaguzi zingine zaidi ya kutaka kujiunga na Arsenal haraka.
tanzania mshindwe nyinyi tu.

Get well soon
06/07/2025

Get well soon

Ni utu na Ubinadamu📌
05/07/2025

Ni utu na Ubinadamu📌

Mshaleta Kocha la Makombe, sasa muje mulete visingizio vyengine..😂😂Powered By
05/07/2025

Mshaleta Kocha la Makombe, sasa muje mulete visingizio vyengine..😂😂

Powered By

Huyu kijina Kila msimu amekua mzururaji tu😂😂
05/07/2025

Huyu kijina Kila msimu amekua mzururaji tu😂😂

Mohammed Salah  aeleza hisia zake kifo Cha Diogo Jota 😭😭😭
04/07/2025

Mohammed Salah aeleza hisia zake kifo Cha Diogo Jota 😭😭😭

The Difference 😂
02/07/2025

The Difference 😂

Liverpool imemtambulisha beki wa kushoto Milos Kerkez kuwa mchezaji wao mpya akitokea klabu ya Bournemouth kwa ada ya Pa...
26/06/2025

Liverpool imemtambulisha beki wa kushoto Milos Kerkez kuwa mchezaji wao mpya akitokea klabu ya Bournemouth kwa ada ya Pauni Milioni 40.

Huu unatakua usajili wa Nne kwa Liverpool katika harakati za kujiandaa na msimu mpya.

Mamadashvilli ✅
Jermie Frimpong ✅
Milos Kerkez ✅
Florian Wirtz ✅

Unadhani mchezaji Gani mwengine anafata kusajiliwa na Liverpool baada ya hao.

Unaonaje huu Usajili?

Picha ya kufungia msimu. Hii picha Ina Maelezo mengi sana 🫣🫣🫣
25/06/2025

Picha ya kufungia msimu. Hii picha Ina Maelezo mengi sana 🫣🫣🫣

Baada ya vuta nikuvute ya nje Uwanja na timu zote kukubali kupeleka timu uwanjani.Mwamuzi wa kimataifa wa Misri Amin moh...
23/06/2025

Baada ya vuta nikuvute ya nje Uwanja na timu zote kukubali kupeleka timu uwanjani.

Mwamuzi wa kimataifa wa Misri Amin mohamed Omar ndiye atakuwa mwamuzi wa kati katika mchezo wa Ligi Kuu kati ya Young Africans dhidi ya Simba utakaochezwa Juni 25,2025 uwanja wa Benjamini Mkapa kuanzia saa 11:00 jioni.

Omar atasaidiwa na Mahamud Ahmed El Regal, Samil Gamaal Saad Mohamed na Ahmed Mahrous Elghandour wote raia wa Misri.

Mchezo huu ndio utaamua bingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu 2024/25 kwani Simba na Young Africans zimepishana alama moja pekee

Yanga SC 79 pts
Simba SC 78 pts

Basi Kuna watu washapiga simu Misri huko kuomba namba ya Mwamuzi 😂😂😂😂

Beki wa kushoto kutoka Taifa la Hungry Milos Kerkez afuzu kujiunga na Liverpool, usajili wake umekamilika rasmi.📸 Picha ...
23/06/2025

Beki wa kushoto kutoka Taifa la Hungry Milos Kerkez afuzu kujiunga na Liverpool, usajili wake umekamilika rasmi.

📸 Picha ya kwanza ya beki wa kushoto huyo imenaswa akielekea `Merseyside` kwa ajili ya vipimo na kusaini Jumanne.

💰 Dili la £40m limekamilika rasmi Kerkez ni Mali ya Liverpool

Address


Alerts

Be the first to know and let us send you an email when SAS Media TZ posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to SAS Media TZ:

Shortcuts

  • Address
  • Alerts
  • Contact The Business
  • Claim ownership or report listing
  • Want your business to be the top-listed Media Company?

Share