Hub of Wisdom Inc.

Hub of Wisdom Inc. - Media -
‣ Our Mission is TO BUILD YOU
‣ Our Business is TO BUILD YOURS
‣ Join the family .club.11
‣ 📹 Inquiries —> 0753825794
‣ Visit us👇You’ll love it!

28/10/2025

"Ni hiari, ndio maana aliyeanzisha ndoa mwenyewe hakuoa. Kwa mantiki hiyo kumbe ndoa sio kila kitu kwenye maisha yetu, ingawa jamii inasukuma lakini ndoa sio lazima." Anasema Pr. John Peter "Lakini ukishasema 'mimi sioi.' basi na kunanilii pia usinanilii. Kwasbabu kinachotofautisha mahusiano ya ndoa na mahusiano mengine yote ni kunanilii."

Je, ni lazima kuoa au kuolewa? ❤️ Una maoni gani kuhusu hili?

Angalia somo hili kupitia H.W Tv kwa njia ya YouTube. Shiriki mijadala hii na mingine mingi katika kurasa zetu za mitandao ya kijamii .inc au tembelea tovuti yetu www.hubofwisdom.com/media....................................................

28/10/2025

"Kwenye phone book yako jina la Mungu liwe juu kabisa pale.. ukikutana na magumu Muite Mungu.. "Kumbuka yasiyowezekana kwa wanadamu, kwa Mungu yanawezekana.”
Lk 18:27
~ Busara za John Pombe Magufuli



28/10/2025

“Kwahiyo nakuchia wosia ndugu yangu; tufanye kazi, na kazi inalipa. Nakutia moyo kijana, kubali kuanzia chini. Ni kaburi tu ndio huanzia juu. Kubali kujituma, kubali kujifunza kutoka kwa wengine." Anasema "Ukifanya kazi kwa bidii hakika utatoka, hakika taishi maisha mazuri."

Hotuba yenye nguvu kutoka kwa Marehemu Askofu Getrude Rwakatale (R.I.P) yanayoendelea kugusa na kuhamasisha vizazi hadi leo. 🌹

Tazama kwenye YouTube kupitia Hub of Wisdom. Shiriki maoni yako kupitia mitandao ya kijamii .inc | 0753825794
-------------------------------------

27/10/2025

"Anaweza hata akasema unakojoaga kwenye kitanda, kumbe haujawahi kukojoa... 😂 "Umegombana na mwenza wako mpaka unaenda kwa balozi, akajue na shida zako, Kaeni pale mtangulizeni Mungu myamalize mambo yenu." ~ Busara za John Pombe Magufuli


inc

27/10/2025

"Katika mambo ya msingi usiseme 'Ndiyo' na dhamira yako inakataa... na utalipa gharama katika kusimamia mambo ya msingi." Anasema Mwl. Julius Kambarage Nyerere "Haikuwa nia yangu kujenga taifa la watu waoga sanaa! k**a matokeo yake ni hayo, mimi nasema 'Mwenyezi Mungu nisamehe.'"

Angalia hotuba hii kwenye Hub of Wisdom kwa njia ya YouTube. Tunathamini maoni yako... Shiriki mjadala huu na mingine mingi katika kurasa zetu za mitandao ya kijamii .inc au tembelea tovuti yetu www.hubofwisdom.com/media...........................................

27/10/2025

"We umeajiriwa, unafanya dharau, unaponda ile biasahara, umepiga uvivu, hutaki kujituma, umekaa tu unanong'ona, kila saa ni kumchapa jamaa na maneno.

K**a haukuweza kuwa mwaminifu katika mali ya mwingine hakuna atakayekupa biashara yako mwenyewe."

Unataka kukua? --> Follow .inc

26/10/2025

Imesimuliwa na Dr. Eliona Kimaro "Maana ujapotaabika, Mungu atakufuta machozi."

Hadithi ya kweli ya mama mjane aliyepitia milima na mabonde ya maisha pamoja na watoto wake, lakini hakukata tamaa. Kutoka katika machozi ya huzuni hadi furaha ya ushindi — simulizi hii itakugusa, itakufundisha, na itakutia moyo kupambana hata katika hali ngumu zaidi.

💔 Umewahi kukata tamaa?
😢 Umewahi kuhisi umeachwa peke yako?
🙌 Basi video hii ni kwa ajili yako!

BONYEZA PLAY ujifunze kutoka kwa safari hii ya maumivu, imani, na ushindi.
Usikose kuangalia simulizi zingine k**a kupitia Hub of wisdom kwa njia ya YouTube.. na kushare video hii kwa ajili ya kumtia moyo mwingine anayeumwa kimya kimya.

Usikose matoleo mengine yanayokuja na yaliyopita. Hakikisha unatazama hadi mwisho na subscribe kwa maudhui zaidi yenye manufaa!

Tunathamini maoni yako. Shiriki nasi katika mitandao ya kijamii .inc au tembelea www.hubofwisdom.com/media

26/10/2025

"Si unajiita boss lady; peleka watoto wako sehemu wapige mtoko. Peleka mama, peleka."

26/10/2025

"WAZURI WANATUMIKA TU." | KINACHOTOKEA MPAKA WENYE SURA NA SHAPE ZA KAWAIDA KUWA NDIO WANAODUMU NDOANI ~ Dr. Mwaka

"Walipata bahati ya kuwa na kivutio, cha kumvuta mtu lakini wamekosa hekima ya kumshika mtu. Wale mnaosema eti hawa ni wabaya kuna vitu viwili hamvijui, kwasababu wanajijua kwamba hawavutii kivile wanafanya jitihada za ziada za kufanya matendo mazuri na hayo ndio yanamshika mwanaume." Anasema Dr. Mwaka "Wanawake huwa wanakuwa na jeuri juu kwasababu ya maumbile yao sababu tu hawajui tu vile vina maana gani na vina thamani gani na kwa muda gani. Kwa mwanaume huwa vina thamani siku chahce sana, ni kivutio tu akishakugusa vile tena havina thamani."

📲 Tunathamini maoni yako. Angalia H.w Tv kwa njia ya YouTube na Shiriki mjadala huu katika kurasa zetu za mitandao ya kijamii: .inc au tembelea tovuti yetu www.hubofwisdom.com/media.

📺 Kumbuka maudhui haya yamelenga kutoa elimu kwa jamii ya watu wazima pekee.
....................................................................
Session Credits: East Africa Radio

25/10/2025

😂Kwahiyo masikini haaminiki kabisa au sio.

Unataka kukua? --> Follow .inc

25/10/2025

"Msiwaeleze watu vitu ambavyo sio uhalisia. Lazima tujifunze kuona kwa jicho la tatu." Anasema Mwl. Madulu. "Mwanadamu ana nafsi, ana roho na ana mwili. Nafsi inakula maarifa, roho inakula imani, mwili unakula lishe. Nafsi ikibebwa na mwili wenye shida inaumia. Vita huwa inaanzia kwenye roho halafu inakuja kwenye nafsi, vikizidiwa vyote viwili... mwili ndio unatolewa kafara."

Shiriki mijadala hii na mingine mingi katika kurasa zetu za mitandao ya kijamii .inc au tembelea tovuti yetu www.hubofwisdom.com/media....................................................

25/10/2025

Ukikataliwa... songa mbele na upambane.
~

Unataka kukua? --> Follow .inc

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Hub of Wisdom Inc. posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Hub of Wisdom Inc.:

Share

Category