16/04/2026
SERIKALI YABADILI MFUMO WA ELIMU β MIAKA 10 SASA NI LAZIMA! πΉπΏπ₯
Serikali ya Tanzania imetangaza rasmi kuwa elimu ya msingi sasa itakuwa ya lazima kwa kipindi cha miaka 10 π
π Tangazo hilo limetolewa na Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba, akieleza kuwa ni sehemu ya mageuzi makubwa chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan
Haya siyo mabadiliko ya kawaida:
- Ni mageuzi makubwa zaidi tangu mwaka 1967 π
- Elimu ya lazima imeongezwa kutoka miaka 7 hadi 10
- Lengo: Kila mtoto apate elimu bora na ya uhakika
π₯ Nini kinabadilika hasa?
- Mitaala inaboreshwa π
- Miundombinu ya shule inaongezwa π«
π Mfumo wa βsecond selectionβ umeondolewa β
- Ujenzi wa madarasa 79,000 umekamilika
π οΈ Elimu ya ufundi yapewa kipaumbele:
- Shule zimeongezeka kutoka takribani 5 hadi zaidi ya 300 π³
- Zingine zikilenga masomo ya kihandisi βοΈ