SimonayTz

SimonayTz OFFICIAL MY PAGE PLEASE FOLLOW ME UP🙏



WHATSAPP NO 0761542021

HABARI ZA ASUBUHI WANASIMBA WENZANGU🦁Simba mkali tayari kuwang’ata walipa kodi 🦁
29/10/2025

HABARI ZA ASUBUHI WANASIMBA WENZANGU🦁

Simba mkali tayari kuwang’ata walipa kodi 🦁


🛬 Tumefika Tabora tukitumia Air Tanzania.
28/10/2025

🛬 Tumefika Tabora tukitumia Air Tanzania.

Kikosi cha Simba kikiongozwa na Meneja Mkuu (Demitar Pantev) kikiwa Airport safarini kwenda kuwavaa Wakusanya Ushuru wa ...
28/10/2025

Kikosi cha Simba kikiongozwa na Meneja Mkuu (Demitar Pantev) kikiwa Airport safarini kwenda kuwavaa Wakusanya Ushuru wa Tabora 'TRA UNITED' Oktoba 30, 2025 uwanja wa Al Hassani Mwinyi.

MWISHO: PIRA SIGARA LINAHAMIA TABORA 🔥 SIKU AMBAYO WATU WASHATIKI 😎 NACHOKA MIMI BABA ENU CLEMENT MWANDAMBO

Jana tumefuzu kuingia hatua ya makundi klabu bingwa kwetu sio stori Ila kwa sasa akili dua,na mawazo yetu tuuaelekeze kw...
27/10/2025

Jana tumefuzu kuingia hatua ya makundi klabu bingwa kwetu sio stori Ila kwa sasa akili dua,na mawazo yetu tuuaelekeze kwenye NBC premier league

Tuna mechi 3 ngumu ndani ya siku 7 tu na kampeni yetu ni kukusanya alama zote 9

Dhidi ya tra united ugenini , dhidi ya azam fc nyumbani na dhidi ya jkt tanzania ugenini

Dua na sala ziwe nyingi sana na kampeni yetu itimie ya kukusanya alama 9 ikamilike



MWANASIMBA KWA HABARI ZA MICHEZO KUHUSU KLABU SimonayTz

Tumetinga kwenye hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika.
26/10/2025

Tumetinga kwenye hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika.

Dakika 4 Za Nyongeza Simba 0-0 Nsingizhini Aggregate (3-0)
26/10/2025

Dakika 4 Za Nyongeza
Simba 0-0 Nsingizhini
Aggregate (3-0)

SIMBA SC FORMATIONKuna Staili ya Uchezaji kuanzia Dakika 10 umebadilika.Yusuf kagoma anabakia nyuma k**a beki wa Mwisho ...
26/10/2025

SIMBA SC FORMATION

Kuna Staili ya Uchezaji kuanzia Dakika 10 umebadilika.

Yusuf kagoma anabakia nyuma k**a beki wa Mwisho yaani center half
Chamoue Carabour anakaa Kushoto then Antony Mligo anapanda mbele k**a winga
Wakati kulia anasimama Rushine De Reuck then David Kameta anasogea mbele.
Morice Abraham anarudi namba Sita lakini k**a Box to box Midfielder anakata Sana umeme kwenye Kiungo anapumzi ya Kutosha....

Timu inaposhambuliwa Kila Mchezaji Anarudi kwenye position yake kwa Haraka Mligo anarudi Kagoma anapanda tena namba 6
Kameta anarudi, Rushine De Reuck Anarudi namba 5 na Nne anarudi chamoue Carabour.


HALF-TIMESimba sc ( 0 - 0 ) Nsingizini fc
26/10/2025

HALF-TIME
Simba sc ( 0 - 0 ) Nsingizini fc


KAIZE CHIEFS WAMEPATA PA KUEGEMEA 😄
26/10/2025

KAIZE CHIEFS WAMEPATA PA KUEGEMEA 😄

Kikosi cha leo.    FOLLOW MY PAGE SimonayTz
26/10/2025

Kikosi cha leo.


FOLLOW MY PAGE SimonayTz

LEO UNAZIONA NGAPI KWA MNYAMA 🦁✌️👇👇👇 bora
26/10/2025

LEO UNAZIONA NGAPI KWA MNYAMA 🦁
✌️👇👇👇
bora


Siku ya kumaliza kazi.
26/10/2025

Siku ya kumaliza kazi.

Address

Dar Es Salaam
2001

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when SimonayTz posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to SimonayTz:

Share