SimonayTz

SimonayTz 1) OFFICIAL MY PAGE

2) PLEASE FOLLOW ME YOUTUBE CHANNEL https://youtube.com/-j9e?si=BNE1FIgqk61W4EPc

WHATSAPP NO 0761542021

 KLABU YA SIMBA SC IMETANGAZA UJIO WA KOCHA MSAIDIZI KRISTOPHER BERGMAN.Karibu Simba SC, Kocha msaidizi Kristopher Bergm...
16/01/2026



KLABU YA SIMBA SC IMETANGAZA UJIO WA KOCHA MSAIDIZI KRISTOPHER BERGMAN.

Karibu Simba SC, Kocha msaidizi Kristopher Bergman.


  JEAN AHOUA NA SIMBA NDIO BASI TENA.Kila la heri Jean Charles Ahoua 🙌🏾🙌🏾🙌🏾Klabu ya Simba inategemea kuvuna kiasi cha za...
16/01/2026



JEAN AHOUA NA SIMBA NDIO BASI TENA.

Kila la heri Jean Charles Ahoua 🙌🏾🙌🏾🙌🏾

Klabu ya Simba inategemea kuvuna kiasi cha zaidi ya Tsh bilioni 2 kwa mauzo ya Jean Charles Ahoua

Ahoua anaenda kuungana na kocha wake wa zamani Fudlu Davis katika timu ya Raja.



  Maandalizi ya mchezo wa Ligi kuu ya NBC Kati ya Simba Sc dhidi ya Mtibwa Sugar yanaendelea ✍️Ikumbukwe Simba itacheza ...
16/01/2026



Maandalizi ya mchezo wa Ligi kuu ya NBC Kati ya Simba Sc dhidi ya Mtibwa Sugar yanaendelea ✍️

Ikumbukwe Simba itacheza mchezo wa Ligi dhidi ya Mtibwa Sugar siku ya jumapili ya Tar 18,2026 saa 16:00 jion uwanja wa General Isamuhyo

Alama 3 zinatafutwa .




MWANASIMBA USIPITE BILA KUNI SUPPORT FOLLOW UKRASA HUU SimonayTz

Mchezaji Mzamiru Yassin ametolewa kwa mkopo kwenda TRA United.
15/01/2026

Mchezaji Mzamiru Yassin ametolewa kwa mkopo kwenda TRA United.



AFCON 2025 Semi-finals 🔥🇲🇦 Morocco 🆚 🇳🇬 Nigeria🇸🇳 Senegal 🆚 🇪🇬 EgyptNani unaona anaenda fainali… na nani anabeba kombe? ...
11/01/2026

AFCON 2025 Semi-finals 🔥
🇲🇦 Morocco 🆚 🇳🇬 Nigeria
🇸🇳 Senegal 🆚 🇪🇬 Egypt
Nani unaona anaenda fainali… na nani anabeba kombe?

NAOMBA USIPITE BILA KUNI SUPPORT FOLLOW UKRASA HUU SimonayTz

KISASI NI HAKINOW TO REVENGEAkor Adams amelipa kisasi cha DR Congo kwa Algeria. Hii ni baada ya Mohamed Amoura wa Algeri...
10/01/2026

KISASI NI HAKI
NOW TO REVENGE

Akor Adams amelipa kisasi cha DR Congo kwa Algeria.

Hii ni baada ya Mohamed Amoura wa Algeria kumfanyia dhihaka shabiki wa DR Congo,Kuka Mbolandinga kwenye mchezo wa 16 bora



DEAL DONE🖊️🖋️  Mshambuliaji Baraka Mwangosi aliyekuwa anafanya majaribio ndani ya Simba SC, kwenye Mapinduzi Cup amesaji...
10/01/2026

DEAL DONE🖊️🖋️

Mshambuliaji Baraka Mwangosi aliyekuwa anafanya majaribio ndani ya Simba SC, kwenye Mapinduzi Cup amesajiliwa moja kwa moja akitokea Mbeya City.

Baraka Mwangosi kwenye kikosi cha Simba SC kilichocheza Mapinduzi CUP alikuwa anavaa jezi namba 29.

Kwa mujibu wa chanzo Baraka Mwangosi amesaini mkataba wa miaka miwili wenye kipengele cha kuongeza mwaka mmoja.

Sasa Simba Sc itakuwa na washambuliaji wanne (4) Jonathan Sowah, Selemani Mwalimu, Steven Mukwala na Baraka Mwangosi 🔥

JE, Ukiwa K**a Mwanasimba Unaupa Asilimia Ngapi huu usajili....

MWANASIMBA K**A BADO HUJANI FOLLOW NAOMBA USIPITE BILA KUNI SUPPORT FOLLOW UKRASA HUU SimonayTz

Salamu wafuasi wangu wapya! Nina furaha kuwa nanyi! Kelvin Damian, Rashidy Ramadhan Jr., Kipson Omar, Muddy Wanoma, Malk...
10/01/2026

Salamu wafuasi wangu wapya! Nina furaha kuwa nanyi! Kelvin Damian, Rashidy Ramadhan Jr., Kipson Omar, Muddy Wanoma, Malkizedek Lory, Mauridi Mnamba, Jumbe Abdillah, Husseini Rashidi, Jeladi Mukondya, Simba Nguvumoja, Abdul Azizi, Enock Kabada, Malyos MalyosJr

Mwaka huu mwanzoni Ni uchaguzi mkuu ndani ya Simba. Huu ndio muda wa wanachama kua makini kuliko kawaida tusiwekewe tati...
08/01/2026

Mwaka huu mwanzoni Ni uchaguzi mkuu ndani ya Simba. Huu ndio muda wa wanachama kua makini kuliko kawaida tusiwekewe tatizo lingine ambalo litadumu ndani ya miaka 5 mingine ijayo

Hakuna mafanikio ambayo Mwenyekiti aliyepo naweza kusema kayaleta k**a kiongozi na mbaya zaidi anamaliza muda wake akiwa hana uhusiano mzuri hata punje na wanachama wa klabu.

WANACHAMA KUENI MAKINI.

WANASIMBA MNASEMAJE HAPO TUMCHAGUE TENA AU TUACHANE NAE.




MWANASIMBA K**A BADO HUJANI FOLLOW NAOMBA USIPITE BILA KUNI SUPPORT FOLLOW UKRASA HUU SimonayTz

Furahia maadhimisho ya ufuasi kwa wafuasi wangu wazuri. Washukuru kwa msaada wako! Hery Fares, Mtötö Wä Bäbä
08/01/2026

Furahia maadhimisho ya ufuasi kwa wafuasi wangu wazuri. Washukuru kwa msaada wako! Hery Fares, Mtötö Wä Bäbä

Klabu ya Simba imefanya mazoezi ya mwisho kuelekea mchezo wa kesho dhidi ya AZAM FC wa kombe la mapinduzi yanayofanyika ...
07/01/2026

Klabu ya Simba imefanya mazoezi ya mwisho kuelekea mchezo wa kesho dhidi ya AZAM FC wa kombe la mapinduzi yanayofanyika Zanzibar.


Address

Dar Es Salaam
2001

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when SimonayTz posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to SimonayTz:

Share